LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ni kweli jamaa yuko overated, sovit haitarudi tena na yeye ndio anacho amini. Siasa za ujamaa na maxism ni upuuzi mtupu, watu wana taka uhuru sio serikali ku control kila kitu
Binadamu waliozaliwa miaka ya 2000 uwaambie mambo ya kuabudu serikali hawataki. Na huko mbele ndo itakuwa ngumu zaidi.
 
Nyie si mna mabomu ya maangamizi basi yatumieni yawasaidia au mlitengeneza ya nini sasa ambayo hamwezi kuyatumia
 
Mzee issue ya Russia siyo kuteka Kiev. Ukraine na Russia ni ndugu kabisa. Lengo la Russia ni kumzuia Ukraine kujiunga NATO. Na hii imefanikiwa kwa 100%. Na tayari maafisa ya Ukraine wapo Belarus kuitikia wito wa Russia.

Usiichukulie Russia kama manzese.
 
Huyo marekani na NATO ni vita gani alishawahi kushinda kwa siku tano!?
Russia ndani ya siku tano yuko mji mkuu na hao NATO wanamuomba kumtorosha huyo raisi,
Nani ambaye hatumii sense?
Russia hawajaenda kuteka kitu kule na hakuna cha kuteka utaona kilichowapeleka wakimaliza.
 
Hii umecopy na sidhani kama umeelewa,
 
Sasa hii yako ni blah blah tu,hatumii nguvu nyingi kilichompfanya aanzishe vita ni nini sasa? Kubalini tu,kakutana na upinzani mkali,msianze kupindua maneno hapa na vijisababu vyenu
 
Kwa maafisa wa Russia wao wako wapi kuomba poo kwa Ukrain maana mlioomba mazungumzo ni nyinyi na sio Ukrain so kifupi mmepigwa n kitu kizito kichwani chali
 
Kwa maafisa wa Russia wao wako wapi kuomba poo kwa Ukrain maana mlioomba mazungumzo ni nyinyi na sio Ukrain so kifupi mmepigwa n kitu kizito kichwani chali
I don't argue with stupid.
 
Live life live life. Hili jina linatakiwa lipingane kabisa na majaribio ya mabomu duniani.
Kuishi duniani haitakiwi kupingana na uhalisia, Maisha yanakuwa matamu ukiukubali
uhalisia na kuukabili bila kinyongo.
Vitu vyote unavyoona sijui mataifa kupambana kuwa na technology kubwa, kuwa na uchumi
mkubwa, kuwa na elimu kubwa mwisho ili washinde vita na si ili tuishi kwa raha mstarehe.
So maisha ni vita.
 
Tunatakiwa tulaani alichofanya USA na tulaani anachofanya Russia. Sio tunabariki anachofanya Russia kwa sababu USA anafanya na haambiwi kitu.
 
Warusi wa kwa mtogole mmeanza vi propaganda vyenu uchwala,huyu Putin anashindwa nini kuigeuza sasa Ukraine kuwa majivu kwa sasa kama hiyo jeuri anayo? Dunia ya leo hii uigeuze Nchi kuwa majivu wakuangalie tu? Hebu kwanza kahangaikeni huko na vikwazo vya kiuchumi,sasa hivi pesa vao sasa inaporomoka kushinda hata madafu ya Mama Samia.
 
Kingine inatakiwa ujue kuwa vita inaishia kwenye mji mkuu na ndio mrusi alipo.
 
Magazeti ya leo Pakstan na Indonesia.
Mataifa ya magharibi na NATO wahaha wakosa usingizi, Ukraine wasaga meno Urusi Apeta
 
USA+NATO wanajua uwezo wa Urusi kijeshi na kutumia kila aina ya propaganda kumrudisha nyuma-lakini MTANZANIA aliyoko Tandale anakuwambia Russia sio chochote.
Na wewe mrusi wa Manerumango unajua nini kuhusu uwezo wa NATO + USA.
 
Wataleta kisingizio kwamba aliwahakikishia havamii ila kavamia. Ukraine ikilazimisha sana muda si mrefu tutaona Tu-22 zinakuja na dumb dombs mjini.

Su-29 za Ukraine zinazoletwa na EU zikapambane na Flanker family za Urusi. Hapo ni dogfights
Inaonesha Ulaya inataka Urusi ubabe wake uishe
 
“Since the launch of the operation, [Russian military] has destroyed 254 tanks and other armored combat vehicles, 31 aircraft on the ground, 46 multiple launch rocket systems, 103 pieces of artillery and mortars, 164 pieces of special military vehicles,” -Konashenkov stated( Russian defense ministry spokesman).

:- yesterday

Russian soldiers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…