Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Tayari Ukraine itakuwa chini ya Urusi.Mnaenda mbele na kurudi nyuma au[emoji81]izo miles zina panda na kushuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Ukraine itakuwa chini ya Urusi.Mnaenda mbele na kurudi nyuma au[emoji81]izo miles zina panda na kushuka
Umefikia uku boss pole sana na bado kibano kiko pale pale nyambafu!!I don't argue with stupid.
Binafsi naona bora Urusi amalizane na Ukraine ashindwe mapema au ashinde mapema.
Ndio mimi yule yule tatizo kuna pro-Russians huwa wanaamini mimi ni mwenzao kisa nimejiita jina la kifaru chao. Mimi sipendi kutetea upande, kama ulizoea kwingine kama Syria naitetea Urusi sio kwamba nawashabikia. Inategemea wamefanya nini, na kwa hili la Ukraine wala sina upande ingawa kwa sasa nimeanza kutamani either mazungumzo yamalize vita au Kyiv ianguke.Mimi nimelivundua Hilo kitambo Sana huyu sio yupe T14 ninae mjua Mimi.
Maana Mimi Moja ya watu walio ni inspire kuwa humu Ni yeye,Nyani Ngabu,LeMutz,Malcom Lumumba,Abibu Anga,Matola,Mzee mwana Kijiji na wengine wa sampuli hyo. Ila huyu na gentacymane wamebadilika Sana.
Acha tu mkuuVita mbaya sana na watu waisikie kwa Jirani tu
Na mimi pia naomba iwe hivyo kwani nilikutana na kadhia ya vita miaka 30 iliyopita najua mziki wake na ninawahurumia sana hao wananchi
Kwamba Urusi naye kaharibu vifaa vya UkraineUmeelewa??
Yamekua haya tena.Putin ni muaji mkubwa.
unaongea hivyo ukiwa jiji gani hapo urusi ya buza
Uko sahihiTunatakiwa tulaani alichofanya USA na tulaani anachofanya Russia. Sio tunabariki anachofanya Russia kwa sababu USA anafanya na haambiwi kitu.
mid air war bampa to bampaUrusi wanawahimiza Raia kutoka kiev, the same time wanapanga kuwatoa Raia wao nchi za ulaya, the same time USA wanatoa Raia wao Urusi... Ni nini kinafuata..??
Na ndio mana Russia hakuvamia kwa jeshi zima, Pia hizi Tabia ni za USA pia Nazani tungeanza kumlaani huyo maana Hapati maonyo wala vikwazo, Tunalizungumziaje hiloMmh kwaiyo mpaka mnafikia hatua ya kuvamia haya yote mlikuwa hamyajui ama acheni ile kwenu tayari mmeshaa nasa