Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu wote hamjui kiyemen na kijamen ndio maana nimewatafunia wanangu hadi mwishomkuu uweunatupiamo na link ya habari au attachment
Hujui kitu kuhusu siasa za kimataifa,endelea tu kukaa hapo kijiweni Ufipa.Putin ni muaji mkubwa.
Mtambo mwingine wa kufua umeme wa nuclear umechukuliwa na warusi kutoka kwenye mikono ya jeshi la UkraineWanasonga mbele kuelekea Kremlin?
Putin ni muaji mkubwa.
Ndio maana sisi twafurahi vita hiyo kupiganwa kwenye ardhi ya Ukraine na si ardhi ya Russia.Vita mbaya sana na watu waisikie kwa Jirani tu
Na mimi pia naomba iwe hivyo kwani nilikutana na kadhia ya vita miaka 30 iliyopita najua mziki wake na ninawahurumia sana hao wananchi
kwenye mafanikio makelele mengi sana ila ukigeuka na kuwasikiliza hautaweza kufikia malengo. Putin waafrika tupo nyuma yako nipo tayari niwaletee kaka yangu Isa anayetumikia ADF kongo aje awape mbinu za guerrilla warMtambo mwingine wa kufua umeme wa nuclear umechukuliwa na warusi kutoka kwenye mikono ya jeshi la Ukraine
(Zaporizhzhia power plant)
Sasa nyie pigeni polojo wenzenu wanasonga mbele
Utakuwa humjui wewe Mkuu Kichuguu ,kuna members humu wakicomment unatulia kwanza unasoma kisha unajifunza kitu.Nakushauri chukua muda wako,uwe unamsoma vizuri na upate maarifa zaidi.Kumbe hujui historia ya Putin vizuri
Jamaa Alikuwa KGB mzuri SANA na lipelekwa Station ya German na kule hawatamsahau maana aliwatandika sawa SAWA
Jeshi la kizembe kabisa, lashindwa kudhibiti maeneo muhimu kama hayoMtambo mwingine wa kufua umeme wa nuclear umechukuliwa na warusi kutoka kwenye mikono ya jeshi la Ukraine
(Zaporizhzhia power plant)
Sasa nyie pigeni polojo wenzenu wanasonga mbele
Marekani wakishaanza kutoa raia ujue kuna kitu wanajua kinatokea. Urusi sijaelewa tangazo lao kama ni kufanya evacuation ya raia walio nchi za Ulaya au kuwaleta waliokuwa stranded kwa ndege zao kunyimwa ruhusa kupita, sijasoma taarifa kwa kina. Nadhani Russia ataamua kutumia bombers au missiles kama alivyofanya Georgia na Syria, Ukraine ndio hivyo imeongezewe fighters. Sijawahi ona dogfights nahisi zinakuja anga la UkraineUrusi wanawahimiza Raia kutoka kiev, the same time wanapanga kuwatoa Raia wao nchi za ulaya, the same time USA wanatoa Raia wao Urusi... Ni nini kinafuata..??