Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo kuna kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.
Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?
Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?
Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha
Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.
Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?
Kuna watu Huwa na vichwa vigumu na kufunga upeo wa mawazo yao na kubaki na mawazo yao kama maziwa ya mgando.
Mbona kuchambua hii vita ni unatumia hata akili ya darasa la 6 tu. Unajua kabisa Ukraine atapata support ya mataifa almost 7. Sasa unadai eti kwamba Ameishiwa katumia full force, ivi zimo kweli kichwani?
Unajua strategies za kivita, Unaijua full force ya Russia wewe? Vitu vingine ni utoto tu, Yani atumie full force kwa nchi jirani! Wakati unajua utakutana na mataifa mengi yakikupinga?
Swala la kusema kuwasha Nuclear ni kuonyesha kwamba yuko serious na anachokifanya na ndio uanaume, Unatishiwa na majambazi alafu unatishia kwa kunoa panga wakati una AKA 47 Hahaha
Dunia ijue kwamba, Russia ndio nchi pekeee kwenye kizazi cha leo ambayo imechukua mamuzi ambayo nchi nyingine imeshindwa kufanya, tumpongeze kwa hilo.
Kingine USA ndio watu pekee waliojichukulia mamuzi kama ya Russia bila kupewa vikwazo vyovyote, Jiulize USA akifanya hivi nani atamuonya au kumpa adhabu?
Hakuna Specialist wa vita humu bali kuna wachambuzi ambao tunatumia Akili kuchambua kinachoonekana. BBC, SKYNEWS, YOUTUBE, FACEBOOK, GOOGLE, CNN Vyote ni vibaraka vya USA na vingine vingi, So Hata ukiona utoaji wa Habari utagundua kitu, Russia karusha makombora afu unasikia wanajeshi wa Russia wamekufa .Tumieni hata akili ya chai jaba mtaweza kupata kitu.