LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
⚡️ US authorizes voluntary departure of non-emergency employees, family members at Embassy in Moscow - State Dept
 
Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka
 
Obvious wewe upo kambi putin
 
kwenye mafanikio makelele mengi sana ila ukigeuka na kuwasikiliza hautaweza kufikia malengo. Putin waafrika tupo nyuma yako nipo tayari niwaletee kaka yangu Isa anayetumikia ADF kongo aje awape mbinu za guerrilla war
Sema wew upo nyuma yake .aliye kupa usemaj wa African Nan?
 
Mikoa ya luhansk na donetsk ilishachukuliw kitambo ndugu...ngoja tuone, kama hayo mazungumzo ya huko mpakani mwa belarus yatazaa mafanikio labda itakuwa kheri iyo vita iishe.
Hiyo mingine huoni au unajitoa ufahamu? Embu angalia Al jazeera muda huu
 
Wayahudi wako sehemu waliyovamia na kuteka maeneo ya majirani, kutokea uko wanaandamana kupinga Russia kuvamia Ukraine. Wao ukiandamana kupinga fujo zao unaitwa 'anti-semitic' na unapingwa vikali duniani.

Ukraine kuna white supremacist movement ambao ni neo-Nazi wanapigana, wale ni kama wavuta bangi huku. Hao dunia ikiwa na amani wanapingwa sana ila sahivi wamepewa silaha na huwa wanapigana vizuri mno. Kuna hoja inatokea hizi silaha vita ukiisha watazirudisha zote kweli? Wazungu hawana rekodi watoe silaha vita iishe alafu wazibebe. Kwani juzi hapo Afghanistan Marekani alibeba silaha? Hata makampuni yao yakija kwenye miradi magari huwa wanatuachia mara nyingi. Hizi silaha zitakuja sumbua dunia kama zile za Yugoslavia.

Hivi mmegundua COVID-19 ilivyokuwa inakuzwa kuliko uhalisia. Nani anaifatilia sasa kule, raia waliochanjwa ni 35% na walioboost ni 1%. Sijaona aliyevaa mask, sijaona walioko kwenye metro wamezivaa na mule ndani hewa kidogo.
Vita ina mambo mengi
 
Haya sasa URUSI wako Serious nyie mnaopiga vita hapa JF na mliowaua wanajeshi 5000 wa Urusi humu mitandaoni endeleeni kuua hao askari.
Lakini huko UKRAINE hali tete, USA kama kawaida yake kwenye Vita hizi kubwa anajoin mwishoni sana wakati nchi zenu zimechapika kisawasawa.
 
Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka
Alafi kuna watu wanasema tuiombee Ukraine badala ya kuombea Waafrika wenzao.
Mzungu siyo wa kuombewa shenzi kabisa!
#INFIRIORITY COMPLEX!!
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka
ikawachukue na nini sasa na treni au maana ndo usafiri pekee angani akiahuki kituu ila all in all nawachukia wabaguzi [emoji83][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
 
Latvia, UK, na maitaifa mengi yameruhusu watuwake waende vitani Ukraine
Na kama kweli wameafiki na kulipitisha hilo...hapo ndo nawez sema wako sahihi katika kumsaidia ukraine...ngoja tuone japo, masaa machache yaliyopita marekani kupitia ubalozi wake ameagiza watumishi wake wote wakiwemo wafanyakazi wa ubalozini na wanadiploasia wake...waondoke hii imemfanya russia kuhisi kwamba kunauwezekano usa na nato wanaplan direct heavy missile attack...hinyo nayeye amesharuhusu mazoezi ya vikosi vyake vya nyuklia kuwa active pindi atakapowapa amri kutokea sasa.

bwana mimi nachoomba hawa jamaa wasije wakasababisha vita ya 3 ya dunia/WWIII...maana believe me or not kila taifa lenye vinu na makombora ya nyuklua...washahisi harufu ya balaa na watakuwa wameshakaa mkao wa kujihami hapa nawazungumzia china na northen korea as well as Japan. Na kuna wadau wamekuja na calculation nyepesi zenye kuashiria hatari...kama unavyoona hapo!!!




NINI MAONI YAKO MKUU?...KUNA UKWELI WOWOTE HAPO??...WANASEMAGA NAMBA HAZIDANGANYI.
 
Your browser is not able to display this video.

TRUMP Alikuwa Genius sana pamoja Na ujinga wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…