LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
⚡️ US authorizes voluntary departure of non-emergency employees, family members at Embassy in Moscow - State Dept
 
kuhus safe passage kutoka Ukraine
Screenshot_20220228-160135_Chrome.jpg
 

Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka
 
Nimejaribu kuwafuatilia kwa muda humu nimeona wazi watu wengi wanaongozwa na mapenzi binafsi juu ya upande fulan hasa hawa wanaojionyesha NI PRO USA+NATO...unakuta mtu anakwambia eti siku ya tano leo mbona urusi hajaiteka kiyv(ambayo ndio mji mkuu wa ukraine)....HEBU WATOE HISTORY NI LINI NA WAPI MAREKANI WANAOMPIGIA CHAPUO HAPA AMEWAI SHINDA VITA KWA SIKU TANO???..wote tunafahamu humu mwaka 1950 mmarekani alishindwa vita dhidi ya taifa dhaifu kabisa la vietnam vita ile aliyopigana zaid ya miaka 4 na hakutoboa...unakuta mtu anakwambia mbona huyo putin kashindwa kuifanya ukrain majivu...ukweli ni kwamba URUSI HATAKI UKRAINE KUJIUNGA NA NATO NANDICHO ANAPINGA UTANUZI WA UMOJA WA NATO KUINGIZA WANACHAMA WAPYA KINYUME NA MAKUBALIANO AMBAYO AFISA WA ZAMANI WA MAMBO YA NJE YA RUSSIA ALIINGIA NA NATO 1992...YOTE HII MRUSI AKIWA ANA WASIWASI KUWA WANAWEZA MFANYIA MASTERPLAN WAKAIGAWA ZAIDI RUSSIA KAMA ILIVYOTOKEA KWA USSR HUKO AWALI. na kiuhalisia mji wa kyiv hauna waasi huo mji upo mikononi mwa serikali kwa miaka mingi...mikoa ya ukraine ambayo ilikuwa inawaasi wanaopingana na serikali ya ukraine ni miwili tu LUHANSK NA DONETSK ambayo russia alishasign hati ya kuitambua kama nchi huru na ndio mikoa ya kwanza kuitwaa kabla ya kuingia hapo kyiv tokea usiku wa tarehe: 26 kuamkia tarehe:27...na lengo la urusi si kutake over all the ukraine country ni kumega mikoa hiyo iliyokuwa inakaliwa na waasi na pia kumdhoofisha ukraine ili aachane na mikakati ya kujinga na nato...na mpaka sasa mikoa hiyo ya luhansk na donetsk imeshachukuliwa kutoka mikononi mwa ukraine na

Hadi ile tareh:25 mwezi huu rais wa ukraine aliomba msaada kutoka kwa wajumbe 27 wa nato na wote hawakuwa na dhamira ya msaada na kutoa jibu la moja kwa moja wataisaidia vipi ukraine na kitu icho ndo kimefanya rais wa ukraine kukataa msaada aliotak kupewa na biden kutoka kwenye simu aliyopokea tareh:27 asubuhi kutoka kwa biden...na kwa kitendo icho TAYARI KIMEONYESHA DHAMIRA YA RAIS HUYO KUWA HATAKUWA TAYARI KUJIUNGA TENA NA NATO MARA BAADA YA MZOZO HUU KUISHA MAANA AMEGUNDUA NI WANAFIKI NA NDIOMAANA "ALIANZA KUHIMIZA VITA HII TUTASHINDA NA KILA RAIA WA KIUME UKRAINE WA UMRI KUANZIA MIAKA 18 HADI 60 ASHIKE SILAHA KUIPAMBANIA NCHI YAO WENYEWE"...na ukweli ndo huo marekani na washirika wake wa nato ni wanafiki maana inakuwaje mtu mnayemhimiza ajiunge nanyie nato anavamiwa hadi Mikoa yake ya mipakani LUHANSK NA DONETSK inachukuliwa na amewaomba msaada hamkurespond na baadae ndo mnajifanya kumpigia simu na kumwambia mumsaidie financial wakati mtu anapigwa?...iyo itamsadia nin??...nandio maana rais wa ukraine akakataa hadharani kwenye akaunti yake ya insta hii ilimfanya marekani+nato waonekane hawana nia ya kuisave ukraine...na hatua hii ndo imepelekea USA kujinasibu kuwa itawasaidia ukraine ANTI-AIRCRAFT MISSILE STINGER ...huku nato walikutana kwa dharura na kukubaliana kuongeza SEVERE ECONOMIC SUNCTIONS KWA URUSI NA MAKAMPUNI YAKE....kitu ambacho hata korea kaskazin waliwekewa hivyo vikwazo miaka nenda rudi na bado wanasurvive freshy tu...sikatai itamdhohofisha putin kiuchumi lakini haitofanya lengo lake alitakalo kukamilika kiuhalisia that guy is a COWARD...yaan haogopi ivyo vikwazo na bila shaka alisha asses iyo risk kabla ya kuianza iyo vita hivyo alishacalculate wapi nato watakimbilia before.

UKITAKA KUJUA NATO+USA NI WANAFIKI RAIS WA UKRAINE ALIPOST HII.


IKIWA RAIS WA TURKEY BWANA EDORGAN ANAWEKA WAZI KUWA NATO WANAMFELISHA UKRAINE WEWE NI NANI HUMU JF kuwasifu nato na marekani kama msaada wa ukraine kwenye hii battle???


Ifahamike kuwa russia hajafanya full scale invasion kwa ukraine kama alivyofanya pale syria dhidi ya waasi wa asadi...angefanya ivyo maana ake angetumia kila silaha aliyonayo na ukraine isingekuwa salama hadi ivi sasa...maana inafahamika wazi kiuwezo wa kijeshi Ukraine bado sana kwa russia kwa msiojua labda.


Nato hawana meno direct dhidi ya mgogoro huu...ukilinganisha na madhara ambayo anayapata ukraine!...mitizamo ya watu walio wengi WALITAZAMIA KUMSAIDIA UKRAINE DIRECT KWA KUTUMA ARMED-TROOPS ZIKAMPIGE MRUSI PALE UKRAINE LAKINI CHAKUSHANGAZA KILA ANAYEJITOKEZA KUSAIDIA AKIWEMO CANADA NA UINGEREZA ANATOA MSAADA WA SILAHA KITU AMBACHO SIO GENUINELY KWENYE FIELD OF WAR MAANA WHAT IF WANAJESH WA UKRAINE HAWANA 100% EFFICIENCY YA KUTUMIA HIZO SILAHA ZA MISAADA MAANA HAWAKUWA WAKITRAIN NAZO TOKEA HAPO AWALI NA ZIMEKUJA WAKATI HUU KAMA MSAADA.





Watu waliowengi PRO USA+NATO WANATAZAMIA AIBU AMBAYO ATAIPATA RUSSIA ASIPOWIN HII VITA...WANASHINDWA KUJUA RUSSIA AMESHAPATA 80% YA MALENGO YAKE YAANI AMESHATWAA MIKOA YA LUHANSK NA DONETSK iliyokuwa inashikiliwa na waasi waliyoipinga serikali ya ukraine kama alivyofanya hivyo huko nyuma kwenye rasi ya Crimea iliyokuwa sehemu ya ukraine 2014 na hivisasa ni urusi...kilichobaki ni ukraine kutokubali kuingia NATO tu.

Tokea jana zipo taarifa kutoka kwa rais wa ukraine kuwa kuna mazungumzo kati ya ukraine na maafisa wa urusi yatakayofanyika mpakani mwa jirani yao Belarus...ikumbukwe mkutano huu haujaitishwa na urusi...ni rais wa belarus ndo amefanya juhudi hizi kuwakutanisha majirani zake.

Japo rais mwenyew wa ukraine anasema hana imani kama maongez hayo yatazaa matunda...beleive it makubaluano hayo yanaweza kuwa na kifungu cha kumlimit yeye ukraine kwa maandishi kwamba hatojiunga nato siku za usoni wala hapo miaka ya baadae...sasa itakuwa ni juu yake kukubali au kukataa na kufanya vifo vya watu wasio na hatia viendelee kutokea nchini kwake.

Obvious wewe upo kambi putin
 
kwenye mafanikio makelele mengi sana ila ukigeuka na kuwasikiliza hautaweza kufikia malengo. Putin waafrika tupo nyuma yako nipo tayari niwaletee kaka yangu Isa anayetumikia ADF kongo aje awape mbinu za guerrilla war
Sema wew upo nyuma yake .aliye kupa usemaj wa African Nan?
 
Mikoa ya luhansk na donetsk ilishachukuliw kitambo ndugu...ngoja tuone, kama hayo mazungumzo ya huko mpakani mwa belarus yatazaa mafanikio labda itakuwa kheri iyo vita iishe.
Hiyo mingine huoni au unajitoa ufahamu? Embu angalia Al jazeera muda huu
 
Wayahudi wako sehemu waliyovamia na kuteka maeneo ya majirani, kutokea uko wanaandamana kupinga Russia kuvamia Ukraine. Wao ukiandamana kupinga fujo zao unaitwa 'anti-semitic' na unapingwa vikali duniani.

Ukraine kuna white supremacist movement ambao ni neo-Nazi wanapigana, wale ni kama wavuta bangi huku. Hao dunia ikiwa na amani wanapingwa sana ila sahivi wamepewa silaha na huwa wanapigana vizuri mno. Kuna hoja inatokea hizi silaha vita ukiisha watazirudisha zote kweli? Wazungu hawana rekodi watoe silaha vita iishe alafu wazibebe. Kwani juzi hapo Afghanistan Marekani alibeba silaha? Hata makampuni yao yakija kwenye miradi magari huwa wanatuachia mara nyingi. Hizi silaha zitakuja sumbua dunia kama zile za Yugoslavia.

Hivi mmegundua COVID-19 ilivyokuwa inakuzwa kuliko uhalisia. Nani anaifatilia sasa kule, raia waliochanjwa ni 35% na walioboost ni 1%. Sijaona aliyevaa mask, sijaona walioko kwenye metro wamezivaa na mule ndani hewa kidogo.
Vita ina mambo mengi
 
Haya sasa URUSI wako Serious nyie mnaopiga vita hapa JF na mliowaua wanajeshi 5000 wa Urusi humu mitandaoni endeleeni kuua hao askari.
Lakini huko UKRAINE hali tete, USA kama kawaida yake kwenye Vita hizi kubwa anajoin mwishoni sana wakati nchi zenu zimechapika kisawasawa.
Screenshot_20220228-161212_Twitter.jpg
 

Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka

Alafi kuna watu wanasema tuiombee Ukraine badala ya kuombea Waafrika wenzao.
Mzungu siyo wa kuombewa shenzi kabisa!
#INFIRIORITY COMPLEX!!

 

Waafrika na wahindi wanazuiwa kuingia kwenye Treni kuelekea Poland,iambieni serikali yenu ikachukue watu wake wanateseka
ikawachukue na nini sasa na treni au maana ndo usafiri pekee angani akiahuki kituu ila all in all nawachukia wabaguzi [emoji83][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
 
Latvia, UK, na maitaifa mengi yameruhusu watuwake waende vitani Ukraine
Na kama kweli wameafiki na kulipitisha hilo...hapo ndo nawez sema wako sahihi katika kumsaidia ukraine...ngoja tuone japo, masaa machache yaliyopita marekani kupitia ubalozi wake ameagiza watumishi wake wote wakiwemo wafanyakazi wa ubalozini na wanadiploasia wake...waondoke hii imemfanya russia kuhisi kwamba kunauwezekano usa na nato wanaplan direct heavy missile attack...hinyo nayeye amesharuhusu mazoezi ya vikosi vyake vya nyuklia kuwa active pindi atakapowapa amri kutokea sasa.

bwana mimi nachoomba hawa jamaa wasije wakasababisha vita ya 3 ya dunia/WWIII...maana believe me or not kila taifa lenye vinu na makombora ya nyuklua...washahisi harufu ya balaa na watakuwa wameshakaa mkao wa kujihami hapa nawazungumzia china na northen korea as well as Japan. Na kuna wadau wamekuja na calculation nyepesi zenye kuashiria hatari...kama unavyoona hapo!!!

20220228_163649.jpg



NINI MAONI YAKO MKUU?...KUNA UKWELI WOWOTE HAPO??...WANASEMAGA NAMBA HAZIDANGANYI.
 

TRUMP Alikuwa Genius sana pamoja Na ujinga wake.
 
Back
Top Bottom