LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Anachotaka kufanya urusi Kwa akili yako ni sahihi ??? Huwezi kumchagulia ex wako Bwana wa kuishi naye 😊
Suala siyo kumpata ^bwana^ ake mwingine. Akaishi naye huko Marekani, basi kama kweli anapendwa kihivyo. Atoke kwenye chumba alichopangishiwa na eksi wake! Sijui kweli unaiona hoja ya Putin?
 
Nasikia hii inaitwa: ^Adui mtafutie sababu ya kuzidi kumtwanga!^
 
Tutaelewana tu kuwa aliyepoteza zaidi ni nani.

Wakimbizi zaidi ya nusu milioni toka Ukraine tayari wanatangatanga kama wakimbizi tuliokuwa tukiwapokea toka Burundi na Rwanda
 
Suala siyo kumpata ^bwana^ ake mwingine. Akaishi naye huko Marekani, basi kama kweli anapendwa kihivyo. Atoke kwenye chumba alichopangishiwa na eksi wake! Sijui kweli unaiona hoja ya Putin?
Si mmeshaachana mkagawana kila mtu kivyake , mwache Bwana mwingine aingie kwake , au umesahahu nini
 
Hzo bombs ziko wap wazee
 
Rais Muugizaji Zelensky, sasa ndio katambua kuwa katumika na mataifa ya magharibi baada ya Ukraine kubebeshwa maafa makubwa ya vita vya wakubwa wa dunia
 
Mimi nina mashaka sana na Russia kuhusu ukweli wa Silaha zake. Ninaona kama Fix hivi. Hii vita ikiendelea halafu NATO waingie unawezakuta hizo silaha alizoaminisha dunia huenda sio za kihiiiivyo. Hata nuclear unawezakuta zipo lakini low grade. Na akicheza hao NATO/USA wanaweza kum surprise wakazipiga hapohapo Russia.

Kuna uwezekano NATO wameshajua uwezo halisi wa RUSSIA na kugundua mbona ANAPIGIKA KIRAHISI TU.
 
Alisikika mMarekani mmoja huko Nanyamba baada ya kushiba kinywaji chake cha Mbege.

Hao wamagharibi unaowataja hapo wanachukulia siriaz kauli ya Putin halafu wewe waleta mzaha kwa kuwa tu hufahamu athari za silaha za nyuklia.

Kwani wewe nani hata porojo zako zitegemewe ktk kujaji uwezo wa nguvu za kijeshi wa Russia?

 
Putin anasema, vikwazo ama no vikwazo, hakuna ku-back off! Lengo lazima litimie. USA na NATO wanapaswa ku-surrender.
Nimepata taarifa kikao cha negotion kimeisha huko mpakani mwa Belarus kinachosubiliwa ni nini kilichojiri

 
Reactions: Tsh
Shirika la ndege la taifa ukraine lilikuwa ndo shirika linalomiliki ndege kubwa kuliko zote za mizigo duniani...usiku wa jana...ndege iyo iliharibiwa vibaya kiasi ambacho itatakiwa $billion 3 kifanyia ukarabati ndege hiyo ili iweze kurudi katika shughuli zake za kiuchumi kuchangia pato la nchi hiyo na itachukua duration ya miaka 5. Na shirika ilo limedai linatarajia russia kuhusika kwenye gharam hizo!

My take: mara baada ya mgogoro huu kuisha , russia anaweza ambiwa ili vikwazo vilegezwe au kuondolewa inabidi atoe fidia ya uharibifu wote uliotekea pale ukraine.



 
Hiyo ndege imebaki historia tu...

Hiyo ndio faida ya kukaribisha vita ipiganwe kwenye ardhi ya nchi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…