Shirika la ndege la taifa ukraine lilikuwa ndo shirika linalomiliki ndege kubwa kuliko zote za mizigo duniani...usiku wa jana...ndege iyo iliharibiwa vibaya kiasi ambacho itatakiwa $billion 3 kifanyia ukarabati ndege hiyo ili iweze kurudi katika shughuli zake za kiuchumi kuchangia pato la nchi hiyo na itachukua duration ya miaka 5. Na shirika ilo limedai linatarajia russia kuhusika kwenye gharam hizo!
My take: mara baada ya mgogoro huu kuisha , russia anaweza ambiwa ili vikwazo vilegezwe au kuondolewa inabidi atoe fidia ya uharibifu wote uliotekea pale ukraine.
View attachment 2134186
View attachment 2134188