LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Unadhani EU wanaweza kukubali na kuangia vita na Russia kwa sababu ya Ukraine?
 
Kaka ...

By 02 March 2022..

Rais wa Ukraine atakuwa amekimbia na Ukrane itakuwa imechukuliwa na Urusi...
Hata Putin binafsi alikuwa anatamani iwe hivyo, lakini kwa bahati mbaya mambo yamekwenda ndivyo sivyo akaamua kunyoosha mikono juu.
 
Nakumbuka Gavana wa BoT wakati wa Nyerere mzee Mtei alikuwa akimkatalia Mwalimu mambo mengi kutokana na athari zinazoweza kujitokeza mbeleni lakini wanasiasa wa wakati ule wakamuona Mtei kama mtu mkorofi.

Leo Putin baada ya kubanwa mbavu amemuita faraghani gavana wa Benki kuu wayajenge.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mimi Niko urusi Jo, Kwa kuwa TU hawawapendi wasiojulikana was ulaya na Amerika kwa kivuli Cha nato, unanisemeaje bwana🤔
 

Huu utopolo wote ni paragraph 1 peke yake?
 
MR BEN mambo ya Ukraine ni mbali sana na yamekuzidi kimo sana, pambana na ya bongo kwanza
 
Wizara badla ya kuchukua long-term plan wanadili na short të ambayo Bado haina maana Kwa Sababu Bei zitabaki palepale au zitaongezeka kidgo... Moja ya hatua ni at least aweze kuagiza mafuta ya kutosha hTa ya miezi siita hadi Tisa....badla ya kudill na mia mia
 
Kiukweli sijasoma mpaka mwisho!Nilikuwa naruka Hadi mistari 4 Ili tu nipate picha Kwa ujumla!
WanaJF tujifunze kuandika Kwa namna itakayomvutia msomaji kuendelea kusoma mstari Kwa mstari!Nilichobaini ni kuwa haya maelezo yote yangeweza kuwa ndani ya aya mbili Tena kila Aya isichukue hata mistari 6!
Nikirejea kwenye topic,ni mtizamo wangu kuwa mleta mada hana uhakika na anachokizungumza,kaokoteza habari na kaweka maoni yake zaidi kuliko uhalisia!
 
A
Watanzania bwana kwa kujifanya wajuaji hatujambo!

Kila Mbongo ni Mchambuzi siku hizi. Kuanzia Siasa, Mpira, Kubet, Mapenzi, saikolojia, familia, kila kitu tuu wataalamu!
Acha kuwabana watu wasitoe maoni yao,hivi hujui kwamba kutoa maoni ni haki ya kikatiba?
 
Bajeti boss
 
Soma vizuri mkuu, nimekwambia kanusa plan ya Mmarekani na genge lake la NATO. Ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kupanga kombora lake moja likaangukia Poland au Lithuania ambao ni wanachama halisi wa NATO, basi Putin na nchi yake watakuwa wakimbizi wa kisiasa huko China. Maana hatoweza kuhimili balaa la hawa jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…