kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kiufupi Ukraine amisha lost kwa sababu zifuatazo,kwa kuwa yeye ndio kakubali mazungumzo so Odds zipo against yeye.akisema amukubalie Urusi madai Yale maana yake Urusi anaenda kuweka kambi ya jeshi hapo Ukraine na unakuwa mwisho wa USA na NATO-kitu ambacho USA na washirika wake kukibali itakuwa ngumu.
Vilevile,akisema asikubali kunakwenda kuibuka Vita kubwa-maana atapata back up ya NATO&USA-ndio maana Putin Jana alicheza movie ya kimaneno kabla ya Kikao chao cha Leo.
Ukraine kete IPO mkononi make,akubaliane na Urusi vita iishe na NATO wa ondoke forever,au akatae Nchi yake igeuke uwanja wa vita kati ya Urusi&USA.
Chaguo ni lake.
Kachagua vita