LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sasa mpira na siasa wapi wapi hawa wazungu hovyo sana waafrica gadafi anavamiwa umoja wa afric unakodoa macho
 
Wizara badla ya kuchukua long-term plan wanadili na short të ambayo Bado haina maana Kwa Sababu Bei zitabaki palepale au zitaongezeka kidgo... Moja ya hatua ni at least aweze kuagiza mafuta ya kutosha hTa ya miezi siita hadi Tisa....badla ya kudill na mia mia

Hayo mafuta utayahifadhi wap kaka?
Hatuna sehem za kuhifadhi hayo mafuta
 
Naona Putin amaeamua kufukuza high military officials Walio conduct operations sababu imekua na majibu hasi kutegemea na walivyo kusudia. Na usiku wa leo looks like they plan a very serious attack.
 
Unapoongelea NATO hawa watu wanacotrol mpk UEFA,FIFA mwaka huu wamemkumbusha hilo putin kwa kuzitimua timu zake, ukiachana na mambo ya kijeshi wanacontrol organizations nyng kias kwmb kupambana nao ni ngumu na very costly, haijalish mgogoro huu unaishaje ila image ya putin itakua imepata pgo sn kwakuwa ukiacha syria belarus myanmar na iran hakuna nch nyngn iliosema hadharan kuwa inasapoti operation ya russia nchn ukraine, kitendo cha china kutopinga azimio la kumlaan urusi UNSC kwa kujizuia kupga kura knathibitisha kutokukubaliana na uvamiz

We Bwege Kweli Unazani Urusi Wanashobo Na Mambo Ya Kijinga Kijinga
 
Acheni kulalamika. Hao weusi si wana kwao ambako hakuna vita? Kama ni raia wa Ukraine halafu wanabaguliwa hayo ni makosa lakini kama ni raia wa nchi nyingine hawawezi kuingia tu kiholela nchi nyingine. Kumbukeni kila nafasi anayopewa raia wa nchi nyingine huko Poland ni nafasi anayonyimwa mkimbizi wa kweli.
 
Naaam karibu tena tumalizie ungwe ya pili na naona timu zinatoka vyumbani tayari kuanza,bado sijaona mabadiliko hadi sasa ila wachezaji wa timu ya Urusi wanaanza kupasha kwa wingi. Jukwaa la Ukraine lipo na watu wachache waliokaa sehemu moja na huku wengi wa mashabiki hao wakitoka nje ya uwanja.
Mkuu, inakuwaje Russia aendelea kuwashughulikia Ukraine ilhali kuna majadiliano ya ceasefire?
 
Kwanza kbs napenda kutanguliza salam kwa wana JF wenzangu hapa jukwaani, pili naomba mods msiuunganishe huu uzi na uzi wowote unaohusiana na mambo ya Ukraine maana kila mtu ana uwasilishaji wake wa taarifa hapa jukwaan...

Screenshot_20220228-221227_Chrome.jpg
 
utilivu wa macron kivipi?
Macron ameamua kutuma msaada kama mwanachama wa EU na NATO lkn Macron mara zote anampigia Putin kuomba wamalize mzozo. Fuatilia, na hata hajatoa statement mbaya yoyote au shutuma, zaidi anawasihi wenzake watafute njia nzuri kwani Mapigano yanaweza kuchukua muda mrefu na nchi nyingi kuathirika.
 
Putin Putinler sio mbobezi wamaswala ya pesa na matumizi yake huyo gavana ndomtaalamu lazima ajiulize. Ukraine haitumii pesazake kilakitu msaada Putin hela ishapungua itakua kwamuda wasiku 3 tu lakini kubwa vikwazo vile sio mchezo hivyo lazima akae chini ajiulize anavokej Mana atapigana na nchi 31 au 32 kubwa kiuchumi duniani

nimefurahi kusikia kupiga moja mbili na Gavana
 
[emoji837] Hali mbaya na ya ubaguzi imeanza Ukraine kwa watu weusi wanaoishi nchini Humo [emoji3525][emoji3525]

" Kosa letu pekee ni kua na ngozi nyeusi. Inawezekana aje weusi tuu ndio wateseke zaidi kuliko wazungu na wakati sote tunahitaji kuikimbia hii vita » ameuliza mwanafunzi mkongo anaeishi Kiev miaka mitatu sasa...
Izo nchi za ki soviet zote ni wabaguzi kama kimbaaa ovyo sanaaa
 
Naona Putin amaeamua kufukuza high military officials Walio conduct operations sababu imekua na majibu hasi kutegemea na walivyo kusudia. Na usiku wa leo looks like they plan a very serious attack.
Tupe source mzee. Nasi tukadake madini haya.
 
Ngao ya Sponji Kuna vitu mnapenda sana kuvidandia bila tafakari pana. Naomba nikufikirishe kidogo:
1. Je hao raia wa Ukraine wanaoingia Poland na mataifa mengine wanaingia kwa utaratibu upi hadi hao "Waafrica" washindwe?

2. Je, serikali ya nchi zetu za Africa zimechukua hatua zipi kuhakikisha hao wenzetu wanakuwa salama? Tukubali kuwa sisi hatujali sana human security!

3. Hivi wewe ulishawahi kusafiri/kumpokea mgeni wako raia wa nchi nyingine ukaona usumbufu anao upata mpakani? Je

4. Mfano; wewe kwako pamevamiwa au umekumbwa na janga. Je, utamlaumu jirani yako kwa kushindwa kuchukua hatua kuwaokoa watu wako?

5. Hao vija Sisi tunafanya nini kuwaokoa watu wetu kama wao wanavowapambania watu wao?

Tusitafute vichaka vya kujificha
 
[emoji837] Hali mbaya na ya ubaguzi imeanza Ukraine kwa watu weusi wanaoishi nchini Humo.

" Kosa letu pekee ni kua na ngozi nyeusi. Inawezekana aje weusi tuu ndio wateseke zaidi kuliko wazungu na wakati sote tunahitaji kuikimbia hii vita » ameuliza mwanafunzi mkongo anaeishi Kiev miaka mitatu sasa...
Na huku Africa waliko kwa utalii na biashara tuwabague na tuwafanyie fitina
 
Back
Top Bottom