LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
MANENO YAMEKUWA MENGI, UKRAINE INAHARIBIWA KILA SIKU, NATO, EU, UN na USA Muda wote wanakaa vikao na hawaji na option ya kumpiga URUSI. Hii vita nimekubali kuwa kwenye VITA hakuna wa kumtishia URUSI duniani.
Anayeona kuna nchi inamuweza MRUSI, apeleke jeshi UKRAINE au atangaze kufunga ANGA LA UKRAINE kwa niaba ya UKRAINE.
Tuache ushabiki maandazi, URUSI ni mnyama.
 
Jeshi la Ukraine limedai kwamba wanajeshi wanchi jirani la Belarus, wamevuka mipaka wakiwa na vifaru na silaha nyingine nzito na kuingia nchini Ukraine kwa lengo la kwenda kuisaidia Urusi.

Taarifa hizo zinakuja saa chache baada ya Serikali ya Marekani kueleza kwamba inazo taarifa za kiintelijensia zinazoonesha kwamba Belarus inajiandaa kuvuka mpaka na kuingia nchini Ukraine kuisaidia Urusi.

Tangu kuanza kwa mzozo baina ya Ukraine na Belarus, rais wa nchi hiyo, Alexander Lukashenko ambaye ni swahiba mkubwa wa Rais Vladimir Putin wa Urusi, alitangaza kwamba nchi yake ipo tayari kuisaidia Urusi katika uvamizi wake nchini Ukraine.

*********

Je ndio kusema mrusi kazidiwa ikabidi aombe msaada?
Kazidiwa wapi sema wameamua kupiga collabo, kimedani za vita Inaitwa kupiga miguu yote. Kiswahili inaitwa kupiga mande
 
Ila anasifiwa Kwa kumfundisha adabu njema⛹️⛹️⛹️⛹️⛹️
Ni kweli ila Isitokee tu akarusha kofi likamkosa afu dogo akampiga mtama akanguka kwa kukaa ikalia Ptaaaaa. Watamcheka majirani na mkewe atachekea ndanikwandani huku jamaa akimkazia macho akisubiri acheke aone.
 
Warusi convoy zao zina nyanyaswa na haka kadude kadogo tu
1326233715.jpg
 
Kuna jambo linanijia kichwani kuwa huyu Rais wa Ukraine pamoja na kuonekana akiongea Mara kwa Mara kwenye Tv na bendera ya nchi ikiwepo huenda akawa hayupo Ukraine japo anasema haondoki anabaki na wananchi wake.
 
Back
Top Bottom