LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
MANENO YAMEKUWA MENGI, UKRAINE INAHARIBIWA KILA SIKU, NATO, EU, UN na USA Muda wote wanakaa vikao na hawaji na option ya kumpiga URUSI. Hii vita nimekubali kuwa kwenye VITA hakuna wa kumtishia URUSI duniani.
Anayeona kuna nchi inamuweza MRUSI, apeleke jeshi UKRAINE au atangaze kufunga ANGA LA UKRAINE kwa niaba ya UKRAINE.
Tuache ushabiki maandazi, URUSI ni mnyama.
 
Kazidiwa wapi sema wameamua kupiga collabo, kimedani za vita Inaitwa kupiga miguu yote. Kiswahili inaitwa kupiga mande
 
Ila anasifiwa Kwa kumfundisha adabu njema⛹️⛹️⛹️⛹️⛹️
Ni kweli ila Isitokee tu akarusha kofi likamkosa afu dogo akampiga mtama akanguka kwa kukaa ikalia Ptaaaaa. Watamcheka majirani na mkewe atachekea ndanikwandani huku jamaa akimkazia macho akisubiri acheke aone.
 
Kuna jambo linanijia kichwani kuwa huyu Rais wa Ukraine pamoja na kuonekana akiongea Mara kwa Mara kwenye Tv na bendera ya nchi ikiwepo huenda akawa hayupo Ukraine japo anasema haondoki anabaki na wananchi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…