mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Haye mataifa uliyoyataja wananchi wake walikubali kushika silaha kupambana na kuziangusha serikali zao na Muamerica na wenzie wakasaidia kusaga kunguni. Tofauti na urusi, hao ni wavamizi, hawana tofauti na wezi au jambazi. Siku nyingine uwe unashirikisha ubongo kufikiri. Wananchi wenyewe wa urusi wanaona aibu kwa kinachofanywa na serikali yao. Ila wewe uliyopo Nanjilinji unajifanya unajua sana na kumsapoti huyo kichaa Putin. Huyu ni kama Idd Amin Dada alivyofanya kwa Tanzania.Vitendo vya kiharifu?? USA to Iraq, Libya Na Israel to parestina hivyo sio vitendo vya kiharifu???
Dawa inaingia mkuu[emoji4]
Ha ha ha...Mimi nilichofurahi mdogo vyombo vya magharibi mdogo mdogo wanaanza kuongea ukweli kuwa Ukrane anapigwa...
Sio zile propaganda zao eti kifaru cha Urusi kimeibiwa na mkulima, mara Ukrane imeua wanajeshi 4500...na mambo kibao
[emoji2]KUPATA kichekesho Kama hiki tunabonyeza ngapi mkuu?Urusi watalipa gharama zote za uharibifu na fidia kubwa sana hapo baadae.
Hahaha.. aliwambia wanajeshi wote wa Ukraine waweke silaha chini na kwenda majumbani mwao kulala. Vijana wakakaidi, na sasa hali ipo hivi kama ilivyo.Russia aliwadharau akaleta silaha zile mabaki ya ww2, akagundua kumbe bado wakaidi.
Leo anashusha missiles, Ukraine wameanza kulialia uko
KABISA,Tuache utani, Tuwaombee Ukraine, nimejikuta namuonea huruma Volodymyr, akubali kukaa kwenye meza ya mazungumzo.
HAKUNA KABURI LA MJINGA.
msamaha kwa sasa ni ngumKABISA,
Aombe msamaha, putin Yuko serious aisee[emoji44]
usiniambie ebu tupia picha hapaKievy inachapwa makombora
NATO na us Ni wanafiki Sana, uyu comedian Sijui analipeleka wapi taifa lake[emoji848]New statements by Volodymyr Zelensky:
- First, a complete ceasefire is needed in order to sit down at the negotiating table.
- If partners do not want us to be in NATO, we need security guarantees.
“Biden told me that it was not yet time to introduce a no-fly zone over Ukraine.
Jamaa wanazidi kumsaliti ukraine
Porojo TU, ghana nao wapeleke vikosi basiMjumbe Ghana UN General Assembly : We call Russia to ceasefire and withdrawal of their troops in Ukraine, we suggest diplomatic ways to solve the problem
Zekensky Hana ndege hata Moja,KAKA ENU YEYE VITA YAKE NI YA MITANDAO NA KUOMBA OMBA, UNAOMBA NINI NA WAKATI MMEWAUA WA RUSSIA WAKUTOSHA, KAZENI WAZEE WANGU MTAWAMALIZA RUSSIA HAWANA KITU[emoji1787]
View attachment 2135413
Hao ndo wanokufa hovyo wakitumia mabomu ya petroli.'Ukraine Releases Prisoners From Jail To Fight Russia'
Kuna ukweli wowote?