LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
jamaa anasogea taratibu
Screenshot_20220302-020748_Twitter.jpg
 
me naona ukraine angekubali tu kuongea na russia kisha asiwe na upande hili zelenski kujiona hero akitegemea nato ambao wanawasha moto badala ya kumsaidia anaharibu nchi na kuumiza wanachi wake ! jamaa japo tunaambiwa wanachemka ila ndani ya mwezi wanatoboa
Screenshot_20220302-021206_Twitter.jpg
Screenshot_20220302-021157_Twitter.jpg
 
I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.

Urusi hajanishawishi kama anaweza wage an all out war with NATO. Hata asipowekewa vikwazo akawa na uchumi uleule na support kubwa kwake ila uwezo wake kwenye field ni hauridhishi. Unapigana na jirani, alafu some of your troops wanakosa mafuta wanatelekeza silaha. Ukisafiri 10,000 km itakuaje si majeshi yanakuwa isolated.

Tatizo la Urusi ni logistics. Vita na Japan napo Urusi ilifeli kufanya mobilization ya wanajeshi na silaha kutoka central na Western kwenda far East. Vita ya kwanza walikuwa poor hivihivi walipigwa na Ujerumani karibia battle zote, ila Ujerumani ya WW1 ilikuwa inapiga hakuna mfano. Vita ya pili ndio walifanya mass production pale Stalin alipodai "Quantity has a quality all its own" wakatoa units nyingi za silaha ila ubora wa kawaida na walishinda kwa hili.

Wanajeshi wa Urusi kufa sana haiwatishi kivile. Vita zao zote huwa wanakufakufa. Nchi inayoogopa zaidi wanajeshi kufa ni Israel
acha kupiga domo punguza mdomo kijana hamna watoto humu,acha urusi wafanye yao.
 
Boris Johnson wa Uingereza asema hakuna nchi yoyote ya NATO inayofikiria kuseti No-fly zone (kuzuia ndege kuruka) ktk anga la Ukraine. Kwani kufanya hivyo kutapelekea vita kati ya Russia na NATO. Hayo kajibiwa Zelensky baada ya kuomba msaada huo kwa NATO ili kuzuia mashambulizi ya anga yafanywayo na jeshi la Russia

SmartSelect_20220302-061745_Chrome.jpg
 
Huyu lazima atoke na kichwa cha mtu kwa sababu kuna mtu analengwa hapa au atalipua na watu wengi watakufa
Askari wa Russia walitegemea kupokewa na WaUkraeni vijiji vya mipakani matokeo yake imekuwa kinyume.
Pamoja na kushambulia miji kwa makombora Lakini Russia pia wamepoteza askari wao wengi .Sasa wameamua kubadili mbinu,kuvaa nguo za kiraia!
 
Back
Top Bottom