LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
img_1_1646183902895.jpg
wanakwambia mtoto akililia wembe mpe naam urusi ilikuwa inatumia silaha za kawaida mno basi jana putin kaamua kutumia silaha za kiutu uzima angalieni raman ya urusi ilivyo ongezeka kwa ghafla hicho ni kipigo cha usiku wa leo tafute video kuna pigo utafirikir limeshushwa bomu la nyuklia ukraine imebaki na kuund propaganda
 
Nahofia sana maisha ya raia wa Ukraine waloambiwa na Russia wakimbie ili amalize kazi Kyiv na wameamua kubakia kupigana.

Majeshi ya Russia yameingia rasmi Kyiv vikibakia vitongoji vichache.

Usiku wa leo ni usiku wa kiza kwa Ukraine.

Kama Syria ilivoharibiwa ndivyo itavyokuwa usiku wa leo Ukraine.

Russia imepanga kulipua makao makuu ya ujasusi ya Ukraine pamoja na mifumo yake yote na kisha kuyalaza majengo yote ya wizara ya ulinzi ya nchi hiyo.
Kumekucha sasa,Kiev ishakuwa majivu Mkuu? Wengine hatuna access na TV tunawategemeeni mtupe update za uhakika.
 
View attachment 2135789wanakwambia mtoto akililia wembe mpe naam urusi ilikuwa inatumia silaha za kawaida mno basi jana putin kaamua kutumia silaha za kiutu uzima angalieni raman ya urusi ilivyo ongezeka kwa ghafla hicho ni kipigo cha usiku wa leo tafute video kuna pigo utafirikir limeshushwa bomu la nyuklia ukraine imebaki na kuund propaganda
Hii Chai haina sukari
 
Master wa Komedian ameanza kuchachawa huku kichapo ndio kwanza kimeanza atulie hahaha mpaka Amesahau kutaja “Ukrainian” ameita “Iranian”[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Au matamshi mbona nimesikia ukrenian people
 
I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.

Urusi hajanishawishi kama anaweza wage an all out war with NATO. Hata asipowekewa vikwazo akawa na uchumi uleule na support kubwa kwake ila uwezo wake kwenye field ni hauridhishi. Unapigana na jirani, alafu some of your troops wanakosa mafuta wanatelekeza silaha. Ukisafiri 10,000 km itakuaje si majeshi yanakuwa isolated.

Tatizo la Urusi ni logistics. Vita na Japan napo Urusi ilifeli kufanya mobilization ya wanajeshi na silaha kutoka central na Western kwenda far East. Vita ya kwanza walikuwa poor hivihivi walipigwa na Ujerumani karibia battle zote, ila Ujerumani ya WW1 ilikuwa inapiga hakuna mfano. Vita ya pili ndio walifanya mass production pale Stalin alipodai "Quantity has a quality all its own" wakatoa units nyingi za silaha ila ubora wa kawaida na walishinda kwa hili.

Wanajeshi wa Urusi kufa sana haiwatishi kivile. Vita zao zote huwa wanakufakufa. Nchi inayoogopa zaidi wanajeshi kufa ni Israel
Nadhani CNN wamesha ku brainwash hayo mambo ya air cover wewe umeona wapi hawana kweli unataka kuniambia Makamanda wa Russia hawajui vita vinapiganwa namna gani? Kama hawana air cover kwanini Ukraine jana wameomba UK na USA kufunga anga, unajuwa jibu walilopewa? No hatuwezi kufunga anga ni hatari. UK Prime minister tena alimjibu yule mama nakwambia ukweli tu hilo ni gumu kufanya litaleta balaa zaidi. Hivi mnasahahu vita vya Iraq ilikuwa jumuiko kubwa la nchi kuwahi kutokea pamoja na walikuwa superior air power lakini 43 days walipigana.
 
PRO NATO mnaweweseka sana kojoa ulale mtaonea wote ila sio urussi uyo kashindikana. Kama mnajiamin ingieni kati.
Umeshindwa kujibu hoja yake umekimbilia mipasho,nilitegemea upangue hoja yake aliyokuuliza,jeshi zima la Rassia lipo Moscow kutokana na umbali wa google uliotuletea,hapo ndipo tunaomba ushushe nondo zako,achana na maneno ya reja reja Mkuu.
 
Achana na propaganda za huyu mduanzi.
Kama Ukraine inaisumbua Russia,kama NATO ikiingilia kati Warusi wangeomba poo .Sanasana Putin atakimbilia KuActivate Nuclear,mikwara ya kizamani!
Hao USA kumtoa Assad syria tu walishindwa. Afhganstan tu pale walipigana mpaka kamasi unadhani vita unatembea tu. Ukraine ni nchi ya pili ukubwa ki size katika eastern Europe. Sasa nitajie vita alivyopigana USA vikaisha wiki 2? NATO miezi mingapi walipigana Libya?
 
Sasa hivi ukienda site ya CNN wamebadili gear wamejaza picha za watoto Ukraine wanalazimisha kuonesha watu kuwa Russia wanauwa watoto wanatumia nguvu sana kuaminisha watu wamejaza picha za vichanga uhalisia wanajuwa sio hivyo wanatafuta huruma za watu. Hawa CNN ndio maana Trump aliwaita fake. Siku hizi hawa report ila wanatoa maoni yao na ukiona mtu kaalikwa basi ujuwe ana mawazo kama yao wamekuwa kama TBC tu kama sio kada huitwi kumbe tulikuwa tunawalaumu TBC bure tu.
 
kwanini wasiingilie kati na waliapa kuingilia kati kijeshi? Nato walimuogopa ayatullah wa iran ndo wamvagae mrusi?
Vita sio best option ukichukulia nchi nyingi zimetoka kupambana na uchumi ulioporomoka sababu ya Covid 19 . Putin ameingia choo Cha kike.Baada ya muda akiendelea na hii mipango yake Russia itakuwa kama North Korea!
 
Soma vizuri mkuu, nimekwambia kanusa plan ya Mmarekani na genge lake la NATO. Ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kupanga kombora lake moja likaangukia Poland au Lithuania ambao ni wanachama halisi wa NATO, basi Putin na nchi yake watakuwa wakimbizi wa kisiasa huko China. Maana hatoweza kuhimili balaa la hawa jamaa.
Mkuu unacheza
 
Back
Top Bottom