NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Ona hili naloKitendo cha Ukraine kuhold mpaka sasa wanahitaji pongezi haswa,ni Wanaume wa shoka,ile mikwara ya Putin kabla ya vita imekwisha,kadhalilika sana hata ajitutumue sasa hivi kuwabomb lakini tayari tushajua ni mkate wa Boflo mbele ya kikombe cha chai.Huyu ndiyo aje kupigana na NATO
Hana ubavu wa kugusa nchi mwanachama wa NATO, Ukraine mwenyewe anapigwa na Urusi na Belarus.kwa hadi sasa vita ya ukraine na urusi , marekani na member wa nato washasurrender ina maana ukraine inamalizwa soon,kinachosubiliwa endapo akimaliza kwa ukraine je atashambulia member kamili wa nato walioko karibu na urusi,na hapo ndo nadhani vita kamili itaibuka kwa sababu mkataba wa NATO unasema mmoja akivamiwa lazima wengine wampe sapoti ya kijeshi
Itakuwa wameshindwa kuvumilia ujinga wako.Duh, nimekula ban huko twitter. Yaan ukicomment vibaya kuhusu UKRAINE unakula mua.
Huu mchezo hauhitaji hasira😂😂😂Fake hakuna sucha a thing et ghost of kyiv
Kumbe hizi issue ni kweli?Duh, nimekula ban huko twitter. Yaan ukicomment vibaya kuhusu UKRAINE unakula mua.
Ona hill naloMtaandika maneno mengi kujustfy jinsi Putin alivyodharirishwa na mtoto mdogo lakini haiondoi ukweli kuwa kadharirishwa,hadi akapaniki kuingiza maswala ya Nuklia,hizo silaha nzito kwa nini hakuzi address kuzitumia kwanza badala yake akakimbilia kwenye mkwara wa kutumia Nyuklia?
Tunajua ukiwa jitu kubwa na ukapewa upinzani na mtu unaemzidi kwa kila kitu,Credi itakwenda kwa yule mdogo,uwanja na wake sasa ashushe hiyo mvua ya mabomu lakini keshadharirika.
Ni normal military op na ndio mana anawaepusha RAIAHuo uharibifu ushafanyika kwa kiwango kikubwa. Ile ni vita sio operation boss. Huwezi ukafanya demobilization of military ya nchi nyingine halafu useme ni operation, obvious ile ni war. Kuiita operation ni kuipunguzia tu attention isionekane kitu kikubwa sana.
bado washabiki maandazi wa Urusi wanakwambia Putin atatoboa tu no matter what... Kwa mfano leo siku ya tatu soko la hisa la benki kuu ya Urusi la Moscow limekwama tena kufanyika.Mwisho wa hii movie ni Russia kufirisika kabisa kiuchumi na hatimaye ndio utakuwa mwisho wa urais wa Putin pia Russia atalazimishwa kulipa War Reparations kwa Ukraine.
Russia hana miujiza ya kuweza kumuokoa dhidi ya kuporomoka kwa uchumi wake kwa sababu kuanzia sasa hawezi kuuza chochote nje baada ya kuondolewa kwenye mfumo wa malipo wa SWIFT na pia hawaruhusiwi kutumia dola.
nakuona nakuona vampire wa kimakonde**** kusimama na Urusi kupigwa kwa UKRAINE ni ushetani basi mm ni lucifer kwa sababu hadi mda huu bado sijalizishwa vizuri na umwagaji damu uliotokea. I need more blood to satisfy my hungry
Shabiki mchele subir mudabado washabiki maandazi wa Urusi wanakwambia Putin atatoboa tu no matter what... Kwa mfano leo siku ya tatu soko la hisa la benki kuu ya Urusi la Moscow limekwama tena kufanyika.
tangu kiduku awe na msimamo wa kijinga, raia wake hadi leo wanaishi kama ujima, wamefungwa macho na masikio hawajui kinachoendelea hapa duniani,na wanaamini wao ni nchi iliyoendelea sana. angalia south korea alivyoamua kuwa na busara, ni nchi ya 10 kwa utajiri duniani, hizo sumsung unatumia ni za korea, na viwanda vingi. huwezi amini zamani walikuwa nchi moja, lakini kwa kutenganishwa na mpaka tu na sera za nchi, wanaishi kwenye ulimwengi wa aina mbili kabisa. north korea bado wanalima kwa mkono kama bongo, south hawalijui hilo, north wanatumia hela zote kwenye silaha, south wanatumia kwenye maendeleo na kwenye uhuru wa biashara. wewe nafikiri hata uwezo wa kujiongoza mwenyewe huna, na akili yako imeishia hapo.Mkuu kwa huu msimamo wako,ingekuwa una ndoto za kuwa kiongozi,hata kuongoza kitongoji hutakiwi kuwa kiongozi.Kwa hiyo kina Kiduku wanavyokuwaga wanasimamia maslahi ya Nchi zao huwa ni wajinga? Yani umwache tu jirani yako aje alale mpaka kitandani kwako na mkeo kisa unapima madhara ya kupambana nae yatakuwa makubwa zaidi kuliko maslahi ya Ndoa yako?
Ukraine ni nchi ndogo mno kivita kulinganisha na URUSI, hakuna anayepinga kwamba URUSI hatampiga Ukraine - tunachosemea sisi ni outcome baada ya vita - Mrusi atadhoofika vibaya sana sana kiuchumi na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Putin.Shabiki mchele subir muda
Jioni ya Leo kufikia saa 1 tuwasiliane kupeana update
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Mkuu hebu fikiri kwanza kabla ya kuandika. Unaposema Marekani na NATO washa surrender bila kutuambia wame surrender kivipi ina maana gani? Je kuna mmoja wao alivamiwa kati ya Marekani au NATO? Kama hakuna alievamiwa kati ya hao niliowataja unawezaje kusema wame surrender? Kama ulivyoandika hapo juu kuwa sheria au mkataba wa NATO na baba yao Marekani unaruhusu nchi hizo au umoja huo kuingia vitani pindi tu mmoja wao anaposhambuliwa, je Ukraine ni mmoja wa wanachama wao? Jibu hapana sio mmoja wao, na kama sio mmoja wao, unawezaje kusema kuwa wame surrender? Ukweli ni kwamba Putin mwenyew anaiogopa NATO ndio maana ameacha kuzishambulia nchi za NATO ambazo zingine zipo mlangoni kwake (hapa nazungumzia nchi zile za nato anazopeana nazo mpaka) na badala yake kaenda kuishambulia Ukraine ambayo haina uanachama wa umoja huo. Kama lengo ni kuzuia silaha hatari na upanuzi wa NATO katika eneo hilo, kwann kaishambulia nchi ambayo sio mwanachama, na kuacha kushambulia zile ambazo ni wanachama halisi tena zenye majeshi na silaha hatari za NATO karibu yake? Hii ni sawa na kwenda kumkamata mtoto wa jiran yako, eti kisa rafiki yake (ambae pia ni jirani yako) amekuibia kuku wako. Russia anajua fika kuwa Ukraine sio mwachama wa NATO, kwahiyo uvamizi wake hauwezi kuigusa Marekani moja kwa moja, au kuleta madhara yoyote kwa NATO. Angethubutu kufanya hivyo kwa nchi yoyote ya NATO iliyo jirani yake bila kuchukuliwa hatua, hapo ndo tungesema jamaa kweli ni mwanaume. Nakutupia ramani hapo uangalia nchi ambazo zina jeshi kubwa na silaha hatari za NATO tena zinapeana mpaka kabisa na Russia lkn jamaa hakupima kuzivamia kuharibu silaha zao kama anavyodai kwa upande wa Ukraine.kwa hadi sasa vita ya ukraine na urusi , marekani na member wa nato washasurrender ina maana ukraine inamalizwa soon,kinachosubiliwa endapo akimaliza kwa ukraine je atashambulia member kamili wa nato walioko karibu na urusi,na hapo ndo nadhani vita kamili itaibuka kwa sababu mkataba wa NATO unasema mmoja akivamiwa lazima wengine wampe sapoti ya kijeshi