Google chrome
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 2,276
- 12,780
Unadhani Russia hawakufanya analysis ya madhara yatakayotokea wakiingia vitani na kujua nini kitafanyika baadae?Ukraine ni nchi ndogo mno kivita kulinganisha na URUSI, hakuna anayepinga kwamba URUSI atampiga Ukraine - tunachosemea sisi ni outcome baada ya vita - Mrusi atadhoofika vibaya sana sana kiuchumi na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Putin.