Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Warusi wa JF wamepagawa,vumilia tu Mkuu,utaporomoshewa lugha zote za kejeli na matusi kisa unatofautiana nao ki mtazamo hapaI never was foolish. I won't call you one to justify my opinion. Ukraine is a free state wana haki ya kufanya chochote kile wanachopendezwa nacho.