LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
I never was foolish. I won't call you one to justify my opinion. Ukraine is a free state wana haki ya kufanya chochote kile wanachopendezwa nacho.
unaongea kirahisi sanaa ingekuwa kila mtu anahaki ya kufanya chochote tungekuwa salama kitungwa kwa sheria kuna maksudio yake.
Kuna wanaopenda
Wizi
Ubakaji
Ujangiri
Ujambazo n.k
Vipi hawa nao si mnawaonea sasa
 
Hizo habari ulizitoa kwenye online tv za usaku.
Jamaa anamzungumzia kiduku ambae toka alipopeana mkono na Trump amekuwa akiumwa ugonjwa usiojulikana kila mara. Kuna muda alikuwa haonekani kabisa mpaka ikasemekana jamaa yuko hoi bin tabaan. Kwa sasa kiduku anaishi na sumu mwilini, japo anajikongoja lkn inasubiriwa siku tu watu watangaze msiba. Unacheza na Mmarekani nini.
 
unaongea kirahisi sanaa ingekuwa kila mtu anahaki ya kufanya chochote tungekuwa salama kitungwa kwa sheria kuna maksudio yake.
Kuna wanaopenda
Wizi
Ubakaji
Ujangiri
Ujambazo n.k
Vipi hawa nao si mnawaonea sasa
Inasikitisha sana. Hawa ndio vijana tunaotegemea wadai katiba mpya na wapiganie taifa lao. Kwa uelewa huu I rest my case
 
Ungemuuliza yeye labda yuko Kyiv. Kwani kila linaloongelewa na wa bongo unalichukulia serious? hapa Bongo hata hao washabiki wa Simba na Yanga ukiwachulia serious unaweza kudhani hata wakienda Champions leugue huko Ulaya watachukuwa kombe, Ni kujiongeza tu
Walau kuna Pro Russia wachache mnaongea vitu vyenye mantiki,ngoja tuwapuuze wanaotuletea hadithi za kyiv kugeuka majivu kuanzia sasa Mkuu.
 
SmartSelect_20220302-104652_Chrome.jpg
SmartSelect_20220302-104717_Chrome.jpg
SmartSelect_20220302-104735_Chrome.jpg
SmartSelect_20220302-104748_Chrome.jpg
SmartSelect_20220302-104816_Chrome.jpg
 
View attachment 2135881This legendary Ukrainian fighter jet pilot shot down 10 Russian enemy aircrafts. His nickname is "Ghost of Kyiv".
Acha kuokota okota taarifa na ku-post bila kuzifanyia upembuzi. Usiwe kama mshenya kuni wa usiku ambaye anakusanya hadi wadudu hatari (nyoka, nge, tandu) kwenye kuni pasi na kupambanua.

Hiyo taarifa ya video ni fake imechukuliwa kwenye video game iitwayo Digital Combat Simulator World. Na wala haihusiani na vita vya Ukraine.

=====

This is a sequence from the video game Digital Combat Simulator World. "This footage is from DCS, but is nevertheless made out of respect for the 'Ghost of Kiev,'" the person who uploaded the video to YouTube on February 24 writes, using an alternate transliteration for Ukraine's capital. "If he is real, may God be with him; if he is fake, I pray for more like 'him.'"

A spokesman for Digital Combat Simulator World has confirmed to the Reuters news agency that the material is indeed from the game.


 
Dunia nzima iko nyuma ya Ukraine sababu Putin ame miss calculate. Alitegemea atakutana na EA na western powers instead amekua mvamizi wa free country so turned out he is criminal and for that hoja zake za kuivamia Ukraine hazina mantiki wacha dunia imtenge.
 
warusi wanaojitambua wanataka apple mzee apple ina hadhi yake huwezi linganisha na huyo mchina ila kwa sababu kun shida now warusi wanatumia mpaka itel na bontel maana tokana vikwazo vya kiuchumi hata uwezo wa kubuy huawei au tecno hawana tena😀😃😄😁😅😂🤣 sasa hivi ukidate online na mdada wa russia hachomoi bongo anakuja hata kwa miguu maana SUPERPOWERs wanaipiga russia kiuchumi mpaka huruma
Wanakolekea usije shangaa hata app store na Android zikawa disabled kwa Russia,warudi kutumia Huwaei za xinji Pi kabisa 😂😂😂
 
Kwani kipindi Russia anaenda kuweka Base ya kijeshi Cuba unafikiri Cuba ilikuwa koroni la America? Lilikuwa taifa huru kama sasa Ukraine na wao ndo walikuwa na urafiki na Russia na wakakubali Russia aweke Base pale Cuba ila jirani akakataa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lile gari la washa washa ulilotuwekea hapa jana likikatiza mitaa ya Kyiv limefikia wapi 😂
 
Ukraine ni nchi ndogo mno kivita kulinganisha na URUSI, hakuna anayepinga kwamba URUSI atampiga Ukraine - tunachosemea sisi ni outcome baada ya vita - Mrusi atadhoofika vibaya sana sana kiuchumi na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Putin.
Amepigana vita 7 na mataifa makubwa na bado ni super power

Leo ka Ukraine ndo afilisike tuachie komedy zenu


Amejiandaa kwa zaid ya miaka 25 anapambania Ukraine Leo anatimiza adhma yake

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
I need power shift, I'm tired of the US telling us what and how to do things. Only Russia or China are able to do so, power shift toka west kwenda East.
 
Back
Top Bottom