LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Wanakolekea usije shangaa hata app store na Android zikawa disabled kwa Russia,warudi kutumia Huwaei za xinji Pi kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mbona watafanyiwa hivyo soon chezea western countries hao ndo SUPERPOWERS siyo huyo mzee puto yeye ni kapagawas
 

Waafrika siyo tunakenua mno?

 
Kuusema ule ukweli,Russia ameishazingirwa na nchi wanachama wa NATO.
 
Mkuu nimekwambia utaweka maelezo marefu sana lakini mwisho wa siku unajaribu kuficha aibu ya Super Power aliyoipata,endeleeni kuteremsha mvua ya mabomu lakini aibu Russia keshaipata.
 
Urusi anachpaika nje ndani kaa Kwa kutulia
 
Urusi wako wanakosa target , walidai wanashambulia vituo vya kijeshi imekuwa ni ngumu kwao kufanya hvyo sababu ya stiff resistance, now wanafytua ovyo ovyo Kwa raia , hyo ni sababu tosha ya wahuni kumpiga mdogo mdogo nje ndani , .... Kiuchumi wanakukazia alaf mdogo mdogo wanapeleka silaha Ukraine
 
Rais wa Ukrain analalamika kuwa Russia wanataka kuifutilia mbali Ukraine katika uso wa dunia.

Mwambieni aache kulilia kutafuta huruma, apambane, hiyo ndio maana ya vita. Yeye si anadai toka vita ianze Russia ndio yapoteza maelfu ya wanajeshi wake huku Ukraine idadi ya wanajeshi waliokufa haizidi 500.

Tunaendelea kumkimbiza mwizi kimyakimya pasi na kupiga mayowe

 
The price of gas in Europe has exceeded 2.2 thousand dollars per thousand cubic meters, this is a historical maximum.

 
Mkuu tangu lini Ukraine amekuwa mwanachama wa NATO?
 
wao wako busy na kinachoendela Kiev,wakati Baba yao anabanwa mbavu kote kote,ngoja amalize kushusha mnvua ya mabomu arudi akutane na Wanachi wake wakiwa na njaa ya kufa
Punguza ushabiki wa kipumbavu.
CHINA, UTURUKI, BRAZIL, MEXICO, INDIA hao wote wanaendelea na biashara na URUSI
 
Masanja makandamiza isijekuwa alikuwa anatania tuu putin akatake seriously
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…