Mzee tatizo umekuja na ushabiki mkubwa na ushabiki unatabia ya kuondoa reasoning, hebu jiulize kwa nini Russia haikutumia nguvu sana mwanzoni kama inavyotumia sasa? Umeskia upinzani wowote kwa mashambulizi ya jana?
Leo camera zote zinaonyesha maafa tu yaliyotokea jana na hakuna resistance yoyote ya jeshi la Ukraine. Ukraine walifanya huo upinzani pale ambapo uvamizi haukua mkubwa ila kwa sasa Russia wamekua serious na operation yao hamna upinzani wowote Ukraine wenyewe wako kimya kila sehemu kunashambuliwa.
Hiyo akaunti ya twitter ilikua inajaza propanganda za Ukraine kuonyesha kwamba Russia wamezidiwa leo wenyewe wanatangaza sehemu zinazoshambuliwa na kuwaasa watu watafute nearest shelter.
Kwa mtazamo wako nguvu ya kijeshi kama hii ingetumika kuanzia mwanzo wa vita hii unafikiri leo Ukraine ingekua hatua gani? Wanajeshi wa Ukraine wako wapi kuonyesha upinzani waliokua wanaounyesha juzi?
View attachment 2136135View attachment 2136136