The President of Ukraine Zelensky reports that they eliminated over 6000 Russian invading troops in Ukraine.
View attachment 2136357
Naomba Muache mtoto Aendelee kulilia wembe.Huyu komedi ndio mana watu wake wanapigwa spana huko kwamba wanashinda Kwenye social media,Kwenye uhalisia wanapigika wanasambaza sana uongo walisema yule mjeda wa Chechen wamemuua jamaa kapost video yupo hai,kuna picha kibao za uongo zinasambazwa,hizi propaganda zake zinafanya moto uendelee kutembezwa shauri yake
Tunawasubiri wazee wa 'Putin anakiwasha" walitwambia leo ni deadline kiev inakuwa majivu,naona wanasubiri Putin afanye yake ili waje hapa kama nzige kuvamiaJamani mbona tunapoa humuuu!! Amshaamsha imepoa sana leo.
Maafisa habari wawakilishi wa pande zote mbili humu JF tupeni za ndani.
Anyway itakuwa mpo kwenye vikao mkitoka muongee kwa Mamlaka
Kwa kiasi kikubwa hawa ndugu wanafanana kuanzia muonekano wa sura hadi sare za jeshi... Sio wa kuwaamini sana.Huyu komedi ndio mana watu wake wanapigwa spana huko kwamba wanashinda Kwenye social media,Kwenye uhalisia wanapigika wanasambaza sana uongo walisema yule mjeda wa Chechen wamemuua jamaa kapost video yupo hai,kuna picha kibao za uongo zinasambazwa,hizi propaganda zake zinafanya moto uendelee kutembezwa shauri yake
Kamanda aliyechokaMtoa mada ni mpuuzi
Kwani Warusi wakipigwa risasi hawafi?Huyu komedi ndio mana watu wake wanapigwa spana huko kwamba wanashinda Kwenye social media,Kwenye uhalisia wanapigika wanasambaza sana uongo walisema yule mjeda wa Chechen wamemuua jamaa kapost video yupo hai,kuna picha kibao za uongo zinasambazwa,hizi propaganda zake zinafanya moto uendelee kutembezwa shauri yake
Tatizo ni akili finyu mulizonazo, tunapoongelea maisha mazuri tunaongela kwa kigezo cha HDI human development index, ambayo inahusisha educational systems, healthcare, employment, education nk. Sasa niambie nchi yako imeweza kwenye nini hapo? Kama dishi limeyumba tafadhali usijibu chochote, kama una hoja niambie hapa.When your good friend who has helped you in many situations in your life now has started to eat garbages,
Tanzania tuna maisha mazuri,labda kwako kuko vibaya sababu ya uvivu w kucheza magemu ya simu mida ya kazi.
Bado haijawa majivu.😆Tunawasubiri wazee wa 'Putin anakiwasha" walitwambia leo ni deadline kiev inakuwa majivu,naona wanasubiri Putin afanye yake ili waje hapa kama nzige kuvamia
Unamaanisha leo 2.3.2022? Maana Kesho ni leo ya keshokutwaNarudia tena leo ndio mwisho wa Ukraine kutunisha mkia wake. Kuna mpango ina operate background huko ni so dangerous na Ukraine macho yapo juu kuangalia kitu gani kinafika. Jana tu radi zilipiga huko wakaripoti ni milipuo ya Urusi, wanaweweseka sana bush baby hawa
Sorry kuna kitu kimoja cha muhimu wote hamjakitaja hapo,au tuseme huwa hakitajwi,na hicho ndicho huwa kinaweza kupelekea jeshi lako kishindwa au kishindwa vita,kitu hicho ni "motive" yaani nia,hiyo nia inazalishwa na sababu ipi inawapeleka kupigana.kamdanganye shangazi yako wa buza distance ya kutoka urusi mpaka ukraine ni 4681km ni sawa na 2909miles kwa ndege yenye speed ya 560miles per hr ni masaa 5 na kitu usichokijua vita sio washirika wala propaganda vita ni vitu vikuu vitatu tu 1)uchumi 2)intelejensia na 3)teknolojia ukiwa vizuri kwenye haya maeneo ma3 hakuna kenge anayeweza kukugusa hapa duniani urusi hana kimoja tu hapo uchumi mzuri na urusi hana uchumi mzuri ukimlinganisha na mataifa makubwa km usa,france,uk,china etc na sio panya kama ukraine nchi inayozalisha mafuta inawezaje kukosa lita 50 za kuweka kwenye kifaru? ndege na makombora ya japan yanawezaje kutoboa mbele ya s-300 s-500 s-700
SourceRussia imewataarifu mamlaka ya udhibiti wa nyuklia duniani AEA Ikuwa sasa inadhibiti kituo kikubwa cha nyuklia cha Ukraine kilichopo katika mji wa Zaporizhzhia .
Russia tiyari ilikwishateka kituo kingine maarufu kwa jin la Chernoby mwishoni mwa juma lilopita.
View attachment 2136376
Kituo cha nyuklia cha Chernobyl
Wafanyakazi katika vituo hivyo wanaendeleza kazi chini ya uangalizi wa majeshi ya Russia.
nikiripoti kutoka semanaye wilaya ya muundo huku hali ni tete hadi ukoo wa ugali tumewekewa vikwazoBreaking news:
Vikwazo.
wakina mama ntilie wa Buza ambao ni wafuasi wa NATO wamegoma kutuuzia wali ndondo sisi wakina Vradmir wa Buza.
hali ni tete kwa sisi warusi wa huku Buza.
mtuombee.
Una akili Sana brother kwenye military ranking Ukraine hawezi ku match na Russia ndio maana mabeberu yanampa backup, hapa Putin yuko vitani na mabeberu na this time amejaa mzima, mabeberu yanazidi kutwanga propaganda kama zote urusi inachukiwa pande zote mpaka wapiga gambe 😂😂😂wamegoma kunywa vodica za urusiUkraine ni nchi ndogo mno kivita kulinganisha na URUSI, hakuna anayepinga kwamba URUSI hatampiga Ukraine - tunachosemea sisi ni outcome baada ya vita - Mrusi atadhoofika vibaya sana sana kiuchumi na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Putin.
Leo tarehe 2 march 22 tunamaliza kazi labda tutachelewa kuwatangazia tu ila mchuzi wote tunakunywa leo na bakuli litatupwa leo ila sijajua mlio wa kudondoka kwa bakuliUnamaanisha leo 2.3.2022? Maana Kesho ni leo ya keshokutwa