Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
The President of Ukraine Zelensky reports that they eliminated over 6000 Russian invading troops in Ukraine.
View attachment 2136357
Huyu komedi ndio mana watu wake wanapigwa spana huko kwamba wanashinda Kwenye social media,Kwenye uhalisia wanapigika wanasambaza sana uongo walisema yule mjeda wa Chechen wamemuua jamaa kapost video yupo hai,kuna picha kibao za uongo zinasambazwa,hizi propaganda zake zinafanya moto uendelee kutembezwa shauri yake