LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwani bro mtu anafanya operation ya kijeshi kwa kuvamia nchi nyingine kutokea sehemu tatu tofauti. Pia tambua Putin hawezi kuondoa majeshi yote kwenye mipaka yake na nchi kama georgia au china au north korea hata wawe marafiki vipi. At a moment go lolote linaweza kutokea likavuruga mipango yote ya Putin. Pia alichotaka kuachive ameshashindwa. Atashinda ila hatatawala. Watu wanaokimbia makazi yao ni hao hao waukraine anaotaka kuwatawala. Kusini mwa nchi kuna waukraine wenye asili ya urusi na wanaongea kirusi so ni rahisi kuwa win kwa propaganda. Kwa katikati ya nchi na magharibi ni vigumu mno. Pia watu wenye siasa za mrengo wa kulia kutoka Ufaransa na Ujerumani watapoteza nguvu. Hata Orban wa Hungary aliyekua rafiki yake ameshamgeuka. You don't show all your card in chess or gambling. Now all his moves are predictable. Jailing anyone who declare the war in Ukraine as a war is a cowardice stand. Now Moscow populace will start asking questions in their dreams. If you have studies the history of Russia from Ivan the terible, Catherine the great to the last Tsar you will learn that they are people who cant not be trusted especially those near the upper echelons of power.
Labda nikuulize ambacho Putin alikuwa anataka kua achieve ameshindwa ni kitu gani?,tofauti na tunachokijua sisi-maana sisi sote tunachojua ni kupitia Speech yake kwamba lengo ni Ukraine kutojiunga na NATO na kuidhifisha Ukraine kijeshi,sasa unaposema ameshindwa katika hili sijui una maana gani maana Operation bado inaendelea.
Au kuna dhumuni lingine toafuti na hili alilolisema Putin ambalo sisi hatulijui Bali wewe pekee na ndio maana unasema ameshindwa??.

Na hapo unaposema kwamba atashinda vita lakini hata weza kutawala napo ni wewe tu ndio utakuwa anaelewa Duniani,maana Dunia yote haijui Putin atafanya nini baada ya kuikamata Kiev.
 
Hakuna NATO aliyekaa kimya.Nato kuna watu wenye akili na wanaofanya hesabu vizuri.

Is Ukraine a member of NATO or EU? Kwa hiyo NATO wanatoa msaada wa kuwadaidia silaha za kujilinda,humanitarian aid,pesa nk kwa Ukraine kama mshirika.

Kuna njia za ku deal na kichwaa sio kumkimbiza ukiwa uchi.

View attachment 2138530
Mwaka huu December Putin ataanza kushindia uji.
 
The United States is using the Ukrainian crisis to discredit and slander China, thus trying to relieve itself of responsibility for the situation, Chinese Foreign Ministry spokesman Wang Wenbin said.
IMG_20220304_151715_940.jpg
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Putin:

We have no ill intentions towards our neighbors. I would also advise them not to aggravate the situation, not to impose any restrictions, we are fulfilling all obligations and will continue to fulfill them. We see no need to escalate the situation or worsen our relations. All our actions, if they arise, always arise exclusively in response to some unfriendly actions against Russia. I think that everyone should think about how to normalize relations and cooperate normally.View attachment 2138495
we si mwanaume pamabana mpaka mwisho hakuna kulia lia
 
Vikwazo anawekewa urusi Ila wanaoumia ni wabongo hadi akili zikae sawa tutakuwa tushachelewa sanaa.
Mm@marekan ni kama mzinifu anayehubiri na oukataza watu wasizini
 
Wewe kwa akili yako, kama kweli unazo, unafikiri huyo kibaraka watakayemuweka atawala nani wakati kwa muda sasa Ukraine imekuwa ni nchi ambayo imekuwa ikichagua viongozi wao kwa njia ya kidemokrasia tofauti na hao wavamizi wao.

Huyo kibaraka yeye ataendeshaje nchi pasipo kupata uungwaji mkono toka kwa mataifa mengine, huoni kwamba Russia watakuwa wanamdanganya na huku hata uwezo wa kukarabati nchi watakayokuwa wameharibu hawana ukitilia maanani kwamba na wenyewe watakuwa wameelemewa na vikwazo.

The picture we have is that Ukraine is going to be completely ungovernable with the people of Ukraine likely to unleash a protracted and bloody resistance against the Russian invaders a situation that will ultimately compel the aggressors to leave Ukraine.
kwa bahati mbaya, hauna akili kufikiri na kuelewa kwamba waukraine zamani walikuwa warusi, na hata mle mle ndani kuna idadi kubwa sana ya warusi, na majority ya waukrain wanaongea kirusi. ni rahisi wafanya waadopt urusi hasa kwa kiongozi watakayemweka. kama wameteketeza vituo vya kijeshi, na wanaweka wazi hawatakubali ukrain iwe na nguvu ya kijeshi, ni mjinga gani atakayekataa kuwa pamoja nao ili awe salama? ni wajinga kama wewe tu ndio watakubali.
 
Unabisha ujinga kweli ndugu, ufahamu na uelewa wako wa mambo no mdogo sana. Russia amewaona Ukraine kama ndugu kabisa wa damu ambao wame-share historia muhimu sana hivyo wamepeleka silaha zile hafifu sana na mpaka sasa haijatumika silaha vimetumika vijisilaha vya enzi za soviet. Ungetaka kujua Russia ni nini NATO angepeleka jeshi.

Mwanzoni eti NATO wakiongozwa na Ujerumani walikuwa wanatoa kauli za vitisho Putin aliposema tu usalama wa Russia upo shakani na kuviagiza vikosi vyote vikae tayari umeona kuna harakati zozote Poland ,umeona kuna kauli imetolewa tena.
Mataifa kibao yaliachana na Russia na kujiunga na Nato na ziko jirani kabisa naye, sasa akawapige basi awatoe huko asikotaka watu waende maanake si ana nguvu?
 
Labda nikuulize ambacho Putin alikuwa anataka kua achieve ameshindwa ni kitu gani?,tofauti na tunachokijua sisi-maana sisi sote tunachojua ni kupitia Speech yake kwamba lengo ni Ukraine kutojiunga na NATO na kuidhifisha Ukraine kijeshi,sasa unaposema ameshindwa katika hili sijui una maana gani maana Operation bado inaendelea.
Au kuna dhumuni lingine toafuti na hili alilolisema Putin ambalo sisi hatulijui Bali wewe pekee na ndio maana unasema ameshindwa??.

Na hapo unaposema kwamba atashinda vita lakini hata weza kutawala napo ni wewe tu ndio utakuwa anaelewa Duniani,maana Dunia yote haijui Putin atafanya nini baada ya kuikamata Kiev.
Kama lengo lake ni kuidhoofisha kijeshi Ukraine ina maana kwamba Ukraine ambayo ilitoa silaha zake zote za maangamizi baada ya kuanguka kwa USSR ndio ambayo Putin anaihofia? Hata kwa gharama gani NATO wasingeipokea Ukraine kama mshirika wao na sababu kubwa ni kwamba tayari chache za moto zilishaanza kuonekana toka 2004. Hapa ilikua inafanyika jockeying ya kumlazimisha russia kuinvest kwenye war industries badala ya kwenye uchumi na ndio maana uchumi wake ni kama upo stagnant. Sasa hivi marekani akiondoa vikwazo vilivyopo kwa wazalishaji wa kutumia fracking method then atafload market na mafuta yake. What will russia sell to the world? UAE, Saudia kwa kujua kwamba tayari fossil fuels zitaisha muda wake ameanza kuwekeza kwenye viwanda na vitu vingine ili asitegemee mafuta maana kushuka kwa bei ya mafuta kulikoshuhudiwa baada ya muanguko wa uchumi wa mwaka 2008.
Kama unaamini alichokisema Putin mbona wakati inteligensia ya marekani ilipoonesha anajipanga kwa vita toka mwishoni mwa October 2021 alikataa akasema anafanya normal exercise? Kuna excercise gani ya kupeleka battalion zaidi ya 135 mpakani mwa mwenzako ambae hata jani lako hajaligusa? Kwa nini aanze kuhamisha watu kutoka Donetsk na Luhansk kama sio vita alivyokua anajipanga navyo? Alifikiri atapokelewa kwa shangwe au bila upinzani kama alivyofanya Prague 1968 au yale ya Poland ya 1956? People change. Ukiamini maneno ya aggressor sawa mimi siyaamini
 
kwa bahati mbaya, hauna akili kufikiri na kuelewa kwamba waukraine zamani walikuwa warusi, na hata mle mle ndani kuna idadi kubwa sana ya warusi, na majority ya waukrain wanaongea kirusi. ni rahisi wafanya waadopt urusi hasa kwa kiongozi watakayemweka. kama wameteketeza vituo vya kijeshi, na wanaweka wazi hawatakubali ukrain iwe na nguvu ya kijeshi, ni mjinga gani atakayekataa kuwa pamoja nao ili awe salama? ni wajinga kama wewe tu ndio watakubali.
Kama Russia ni wajinga kihivyo kwa kufikiria kuidhoofisha Ukraine kijeshi basi wanajidanganya sana, hiyo Ukraine itakuja kuwa mwiba utakaowachoma hadi watatafuta mlango wa kutokea wenyewe.

Ndani ya Ukraine kamwe Russia hawatakuwa na amani hali itawawia vigumu zaidi ya ilivyokuwa kule Afghanistan. Hawatamudu kukaa Ukraine wakati uchumi wao utakuwa umesambaratika. Never.
 
Sanctions haziwezi fanya kazi kwenye Nchi kama Urusi,nyie watu mbona vichwa vyenu vigumu kuelewa.Ni mara ngapi Urusi amewekewa sanctions na Nchi za NATO&USA???.Urusi sio Kenya wala Tanzania ukimuwekea vikwazo vunakuumiza na wewe pia,sababu Ulaya inamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyoihitaji-it is simple economics brother
Jamani someni,someni ni swala la elimu!

Sanctions haziwezi fanya kazi kwenye Nchi kama Urusi,nyie watu mbona vichwa vyenu vigumu kuelewa.Ni mara ngapi Urusi amewekewa sanctions na Nchi za NATO&USA???.Urusi sio Kenya wala Tanzania ukimuwekea vikwazo vunakuumiza na wewe pia,sababu Ulaya inamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyoihitaji-it is simple economics brother
Jamani someni,someni ni swala la elimu!
😂😂😂mkuu imenichekesha Ulaya inamuhitaji Urusi kuliko Urusi inavyohitaji ulaya?Bro kabla ya kuongea fanya tathmini kwanza.Putin vikwazo alivyowekewa sio vya kitoto.Embu jibu hoja kwa facts na sio mihemko
 
Back
Top Bottom