Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Labda nikuulize ambacho Putin alikuwa anataka kua achieve ameshindwa ni kitu gani?,tofauti na tunachokijua sisi-maana sisi sote tunachojua ni kupitia Speech yake kwamba lengo ni Ukraine kutojiunga na NATO na kuidhifisha Ukraine kijeshi,sasa unaposema ameshindwa katika hili sijui una maana gani maana Operation bado inaendelea.Kwani bro mtu anafanya operation ya kijeshi kwa kuvamia nchi nyingine kutokea sehemu tatu tofauti. Pia tambua Putin hawezi kuondoa majeshi yote kwenye mipaka yake na nchi kama georgia au china au north korea hata wawe marafiki vipi. At a moment go lolote linaweza kutokea likavuruga mipango yote ya Putin. Pia alichotaka kuachive ameshashindwa. Atashinda ila hatatawala. Watu wanaokimbia makazi yao ni hao hao waukraine anaotaka kuwatawala. Kusini mwa nchi kuna waukraine wenye asili ya urusi na wanaongea kirusi so ni rahisi kuwa win kwa propaganda. Kwa katikati ya nchi na magharibi ni vigumu mno. Pia watu wenye siasa za mrengo wa kulia kutoka Ufaransa na Ujerumani watapoteza nguvu. Hata Orban wa Hungary aliyekua rafiki yake ameshamgeuka. You don't show all your card in chess or gambling. Now all his moves are predictable. Jailing anyone who declare the war in Ukraine as a war is a cowardice stand. Now Moscow populace will start asking questions in their dreams. If you have studies the history of Russia from Ivan the terible, Catherine the great to the last Tsar you will learn that they are people who cant not be trusted especially those near the upper echelons of power.
Au kuna dhumuni lingine toafuti na hili alilolisema Putin ambalo sisi hatulijui Bali wewe pekee na ndio maana unasema ameshindwa??.
Na hapo unaposema kwamba atashinda vita lakini hata weza kutawala napo ni wewe tu ndio utakuwa anaelewa Duniani,maana Dunia yote haijui Putin atafanya nini baada ya kuikamata Kiev.