LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwa hiyo Russia wanadhani kichapo wanachokula sio toka kwa wanajeshi wa Ukraine?Hadi ahisi Kuna mamluki,Basi Kuna kitu Russia kimewakuta
NATO waoga sana wakiona jinsi mnyamwezi Putin anavyoshusha maghorofa kua magofu lazima wakane kujiingiza kwenye mgogoro
Screenshot_20220304-162309.jpg
Screenshot_20220304-162938.jpg
 
Nimeangalia mazungumzo ya Rais wa Ukraine, nikiri wazi anaonekana halali, muda wote yuko na hofu kubwa san. Sasa inatosha wakae mezani, huwezi bishana na Urusi. Wafanye makubaliano maisha yaendelee.
Usingizi utakuja wakati kasha ambiwa watu wameandaa mafuta ya nazi
 
Huwa namuonea Huruma Sana Yule Raisi tangu kuanza kwa Vita,sura take umejaa hofu,Huruma na mashaka...yaani Hadi imefanya niwe upande wake,huyu Putin angewaacha tu aisee
Acha apate kipigo cha paka mla mboga na tutapiga Carpet bomb kumtoa kwenye mapango apelekwe Kremlin kuna Wachechen wanatembea na mafuta kwenye sikio wanamsubir
 
Unaanza kuwasingizia tena Marekani Mkuu,rudi nyuma hapa kwa comments za pro Russia kabla ya vita utaona na source walikuwa wnaweka wao,sasa sijui na hao wameshiba propaganda za USA?
Marekani hasingiziwi ndilo taifa lililoongoza uvamizi wa nchi nyingi duniani...Marekani ni taifa la kinyama kabisa...ni taifa la kishetani...USA imevamia zaidi ya nchi 15 duniani na kuwaondoa viongozi...Panama, Irak, Chile, Haiti, Libya, Serbia na nchi nyingine kadhaa duniani...hata Syria Kama siyo Russia saa hizi Assad ingekuwa ni historia...Mimi nimesoma historia na politics za USA na nchi nyingine ambazo ni Industrial States duniani..na nimefika Marekani...kwa wasiojua watu wa asili wa Marekani ni Wahindi Wekundu...lakini waliuawa kwa mamilioni ...More than 20 million Red Indians died...ni genocide ya Aina yake...Wahindi Wekundu waliobaki huko Marekani hivi Sasa wanaishi kwenye maeneo yaliyotengwa Kama wanyama kwenye zoo...Wamarekani kwa Sasa huwa hawataki kabisa kuzungumzia issue ya Red Indians kwani kwao ni fedheha...USA Ina jela ya kutisha ya Guantamano iliyoko Cuba...democracy???!!! Stupid...suala la Ukraine walioharibu ni USA na mashoga zake wa ulaya...stupid guys...wanajacili Uhuru wa kutoa maoni lakini wao wenyewe ni washenzi na ambao wanafungia vyombo vyote vya habari vinavyotoa taarifa tofauti na za kwao kuhusu Ukraine.....

Sasa wamekutana na Putin ambaye amejiandaa for almost 20 years ili kuwaangamiza Wamarekani na vibaraka wait...wakileta za kuleta Putin anafyatua nuclear...kutakuwa hakuna mshindi katika Vita hivyo...kwani dunia nzima itateketea...Wamarekani hawataki hilo...wamekuwa outsmarted..Russia ndiyo inayoongoza kwa silaha za nyuklia duniani....makombora mengine ya nyuklia ya Russia yakirushwa tu hewani hujjigawa katika vipande zaidi ya 20 huku Kila kimoja kikiwa na uwezo wa kuua mamilioni ya watu...stupid Americans ..
 
kila mmoja anaonesha msimamo kwa mwenzie. Hawa ilipaswa wafungiwe kama mahabusu hadi mmoja aiubali msimamo wa mwenzie
Tukikumbuka mwanzo Russia alihitaji yale majimbo na Ukraine kutokujiunga Nato.

Lakini deep inside Aligundua mambo yaliyokuwa yanaendelea ndani ya Ukraine Mengi yakihatarisha usalama wa nchi yake, Ikiwemo kuwepo kwa vinu vya Nuclear.

Utagundua huu mgogoro Putin wala haitaji Negotiations, Negotiations zipo kwajili ya Kuwagelesha Mataifa mengine asionekane rude.​
 
Back
Top Bottom