green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
NATO waoga sana wakiona jinsi mnyamwezi Putin anavyoshusha maghorofa kua magofu lazima wakane kujiingiza kwenye mgogoroKwa hiyo Russia wanadhani kichapo wanachokula sio toka kwa wanajeshi wa Ukraine?Hadi ahisi Kuna mamluki,Basi Kuna kitu Russia kimewakuta