LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Yeah ni kweli wala jsmaa hana kosa.
 
Brother Pumzika Pata kawaha kidogo, Nitalipia snacks
 
😂😂😂mkuu imenichekesha Ulaya inamuhitaji Urusi kuliko Urusi inavyohitaji ulaya?Bro kabla ya kuongea fanya tathmini kwanza.Putin vikwazo alivyowekewa sio vya kitoto.Embu jibu hoja kwa facts na sio mihemko
Sawa brother,kwa kuanzia lete takwimu zako zikisaport madai yako.Kwa kuanzia
Lete takwimu za kiuchumi za Export & Import kati ya Russia vs EU tuone nani anamtegemea mwingine.
 
Scholz phoned Putin. Here is what the German government says:

- The President of the Russian Federation said that the third round of Russian-Ukrainian negotiations is scheduled for "the end of the week";
Scholz and Putin agreed to hold new talks on Ukraine soon.
 
Wayahudi ndio akinani
 
Umeongea mengi kuona kama unaelewa sana kumbe bado uwela wako wa medani uko chini, kama hujui vita ni sanaa sio kama unavyofikilia wewe, kuna vitu vingi vinatokea kwenye vita ambavyo vinahusisha uwezo wa makamanda wa vikosi ambavyo viko front, najua wengi humu ni civilian hawaijui vita in its technical sense, in fact urusi amezudiwa mbinu za medani na mabeberu ambayo yanampa backup Ukraine, cha kwanza alitumia military showoff kuwa intimidate wa ukraine na pili kitendo kufanya drilling mpakani kili wa alert ukraine na washirika wake kujiandaa kivita. Inaonekana wazi kabisa mpango wao wa uvamizi ulivuja ndio maana beberu mkuu USA aliwaomba raia wake kuondoka Ukraine alijua nini kitatokea. Kwa mwenye uwezo wa kutumia common sense Niko tayari kukoselewa mabeberu yamemzidi Putin mbinu, vikosi vyake vimeshindwa kabisa ku advance richa ya kutumia powerful fire support lakini group assualt hawapenyi kila wakisogea wanabondwa
 
Baada ya putin kusema msipige majengo ya raia sasa wanajeshi wa ukraini wakaamua kujificha kwenye makazi ya raia kichapo kikawakuta humo humo huu ni mji wa kharkiv
 
Wanahitaji utulivu wa Hali ya juu sanaaaaaa. ...
 
Nimeheshimu mawazo yako kama ulivyoheshimu mawazo yangu.

Ila kaa ukijua Urusi hii vita kaamua kupigana kwa njia hiyo mnayotumia kumbeza ila akitaka kushambulia huo mji anaweza kuushambulia na kuua makumi elfu ya raia wa Ukraine na wa kigeni.

Pia elewa kuwa hizo nguvu unazoona kwa Urusi hazifiki hata asilimia 50 ya nguvu zake kijeshi. Umesikia kuna kombora lolote la maangamizi limerushwa Ukraine tangu kuanza kwa vita hiyo? Jibu ni hapana, Urusi inatumia missile za kawaida sana tena usikute ni vile za Kisovieti.

Urusi angekuwa kaonesha uwezo wake wote wa kijeshi dhidi ya Ukraine amini usiamini angekuwa kavamiwa na hao wanaojiita wakubwa. Hawana uwezo wa kumvamia kwani hawajaona mashambulizi yale waliyotegemea kutoka Urusi. Urusi kacheza vita vya 1940 zama hizi za teknolojia.

Kikubwa ni kuombea Ukraine maana Urusi hata akipoteza wanajeshi 50000 si hasara kwake kuliko Ukraine ambayo inaenda kupoteza nchi yao na kukimbia machafuko.

Putin kasema HATA WAKUBALIANE NA UKRAINE LAZIMA MATAKWA YAKE YATIMIE.

Urusi lazima amalize kile ambacho amekilenga kwa Ukraine hata kama atachukua muda mrefu kufanikisha zoezi.
 
Kadyrov published a new video where he addressed the devils and nationalists.

Source:
Your browser is not able to display this video.

Kadyrov R.A.
 
Nato member wakiwa mkutanoni wanaulizana ni nani atamfunga paka kengele hadi saiv hakuna aliyenyoosha mkono. Tuliona marekani akinyoosha tukamwangalia akasema mie hapana najinyoosha tu viungo.

Source of water
Chezea Putin wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…