LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mbona wewe uko upande wa Russia na umetumia busara kulizungumzia Hilo suala?Pitia Uzi uone watu wanavyoshadadia....halafu kusema tuangalie Vita Kama movie hapo umepuyanga ndugu yangu
Kwanza kwenye kujadili suala la huu mgogoro ninachokiona wengi wana involve emotions, ukishahusisha hisia lazma utatoka out of control na kuanza kutukana watu, kujibishana kwa kejeli, hasira na mengine mengi.

Chukulia hii kama muvi tu sisi ambao tuko nje ya vita tuwe watazamaji, toa mtazamo wako juu ya vita inayoendelea bila kumkejeli/kumtusi mwenye mtazamo tofauti na wako. Kusema unamuona mjinga mtu anayemsapoti Russia?? Wewe mwenye mtazamo tofauti ndio mwerevu??

Ukweli wa Russia kumvamia ukraine wanaujua wenyewe hao Russia na Ukraine na hayo mataifa makubwa pia wanaujua ukweli. Kuna sababu tunazozijua na tusizozijua kwa nini Russia kavamia ukraine, Putin hajaamka tu alfajiri akaamuru majeshi yake yaivamie Ukraine kuna vingi sisi washabikia vita hatuvijui ila wenyewe wanavijua.

Athari nyingi ni sababu ya vikwazo ambavyo Russia imewekewa, umeshajiuliza kwa nini Israel na Palestina kwenye mpambano wao, UN walitaka wakae mezani waongee na kumaliza vita bila kuiwekea kikwazo chochote Israel? Kwa nini mfumo huo huo usingetumika kwenye mgogoro huu? Kwa nini hawakushinikiza Russia na Ukraine wamalize mgogoro wao kwa mazungumzo ila wakakimbilia kushinikiza kwa kuweka vikwazo na mwanzoni walikia wanaisaidia Ukraine silaha?
 
Screenshot_20220305-083413_Twitter.jpg

Kwisha habari yao.Sijawai ona jeshi la.kipuuzi kama.la kirussi ni nini lkn?hadi aibu naona mie
 
Aongezewe kuni za kutosha huko kuzimu ameua sana raia hadi Mungu kupitia taifa la Urusi amekuja kumteketeza mda huu. Mungu mwacheni aitwe Mungu
Anaefuata kufa ni Baba yenu Putin,tena huyu atakufa kifo kibaya sana cha kudharirika,kama siyo mimi basi watoto wangu watashuhudia Mungu akimwadhibu huyu shetani mkubwa cousin wa Rucifer
 
Anaefuata kufa ni Baba yenu Putin,tena huyu atakufa kifo kibaya sana cha kudharirika,kama siyo mimi basi watoto wangu watashuhudia Mungu akimwadhibu huyu shetani mkubwa cousin wa Rucifer
Umeandika kwa hisia sana yaani hadi naona sononeko lako juu ya yanayaoendelea Ukraine. Ila kama vipi njoo upande huu,sisi ni immortal
 
Umeandika kwa hisia sana yaani hadi naona sononeko lako juu ya yanayaoendelea Ukraine. Ila kama vipi njoo upande huu,sisi ni immortal
Hapana mimi nitasimama na Ukraine hadi dakika ya mwisho,wewe baki huko huko kwa mnywa damu za watu cousin wa Lucifer 😡
 
View attachment 2139414
Nini kinaendelea Ukraine?wanajeshi wa Russia ni kama wamesusa au?
Lazima wasuse ,hata uhakika wa chakula tu hawana na kama wanacho basi ni vilivyo expire hizo nguvu za kupigana wanatoa wapi? Kuficha aibu ya njaa za wanajeshi anakimbilia kubomb majengo matupu, Frustration wapelekeeni wali na maharage wanajeshi wenu wanakufa na njaa huko 😀
 
Anaefuata kufa ni Baba yenu Putin,tena huyu atakufa kifo kibaya sana cha kudharirika,kama siyo mimi basi watoto wangu watashuhudia Mungu akimwadhibu huyu shetani mkubwa cousin wa Rucifer
We ni nani unayetabiria watu kufa vifo vibaya? Tony, Obama,Bush, Benjamin na wao watakufa vifo vibaya? Is better you shut up your mouth!
 
We ni nani unayetabiria watu kufa vifo vibaya? Tony, Obama,Bush, Benjamin na wao watakufa vifo vibaya? Is better you shut up your mouth!
Nikusaidieje,peleka huko povu lako usinitemee mimate hapa aaargh 🤭
 
Unakosoa kwa kuzidi kukosea zaidi,punguza mihemko siyo 'Recifer" haya rekebisha comment yako ili uonekane mjanja zaidi 😎
Mods ndio walioedit, mie niliandika kama ulivyoandika wewe kimakosa ili nikurekebishe. Uwe wakiri makosa, sio warukaruka
 
5

Nasikia wanajeshi wa urusi wana njaa balaa, vifaru na magari ya mizinga yameisha mafuta,
Chakula wakitoe wapi kama tu mafuta ya magari yao wanaishiwa,muda si mrefu wataanza kuvamia makazi ya watu na kupora chakula
 
Back
Top Bottom