Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Walau umejitahidi kutochanganya matumizi ya 'R' na 'L'Nyuma geuka,shoto kulia,shoto kulia,mbelee tembea
ilikuwa ni tatizo kubwa sana kuwaamini wamagaribi.lakini watu wajifunze. all in all, akili zao zimefumbwa ili kutimiza tu maandiko ya siku za mwisho. at the end of the day, jeshi kubwa toka mashariki litashuka mashariki ya kati pamoja na mpinga kristo. dunia imefika ukingoni, mwenye masikio ya kusikilia afue nguo zake katika Damu ya Mwana wa Kondoo, Yesu Kristo. nje ya hapo, kiuna aibu na kudharaulika milele katika ziwa la moto.Huyo hapo baba yenu ameanza kuwalaani mpaka walio kuwa wana msaidia.View attachment 2139429
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Angetaka Genocide mapema Sana .....Warusi wa Babati na Kateshi vip mpo tupeni habari ni mji gani hapo Ukrain wa maana mliofanikiwa kuukamata baada ya wiki moja na siku tatu za nyie kuanzisha vita
Aaaaah nacheka kama mazuri vile lakini daah warusi wa Hai mmepatwa na aibu sana kwa kweli kwa jinsi mlivyokuwaga mnajitapa kuwa mna jeshi lenye nguvu duniani na mmekutana na kipigo heavy kutoka kwa kitaifa kidogo kama Ukrain haya ni maajabu aisee
Urusi sasa mlipofikia hali ni mbaya zaidi ya kupiga tu mabomu ovyo ovyo na kupiga makazi ya Raia basi hakuna kingine cha maana mlichokipata kwenye hii vita mpaka sasa
Yaani ata jeshi lenu la anga ni mdebwedo kweli kweli , jeshi la majini ndo usiseme kabisa yote tisa kumi ni jeahi la ardhini kila likiiinua mguu linakula kipondo heavy kil likisogeza pua linakuala kipondo cha kufa mtu na ndo maana mpKa sasa mmeshindwa kufanya advancement ya maana yoyote ile
Kisu kinaanza kugonga mfupa taratibu. Somo litasomeka vizuri tu baadae.Watu wote wanaokufa wanakufa kwasababu yenu'
Akiripotiwa kuzungumza kutoka katika ofisi yake katika mji mkuu Kyiv rais wa Ukraine Zelensky amelaani kutendo cha viongozi wa Nato cha ' kukataa Ijumaa kuanzisha eneo la anga ambalo ndege hazipai -no-fly-zone juu ya nchi yake.
Zelensky alisema: "Watu wote wanaokufa wanakufa kwasababu yenu, kuanzia leo, watakufa kwasababu yenu. Kwasababu ya udhaifu wenu, kwasababu ya kutoungana."
Aliendelea kusema kuwa: " Mkutano wa Nato ulifanyika leo. Mkutano dhaifu. Mkutano uliokanganyikiwa. Mkutano unaoonyesha kwamba sio kila mtu anayechukulia mapambano kwa ajili ya uhusu kwa Ulaya kuwa lengo namba moja.
"Mashirika yote ya ujasusi yan chi za Nato yanafahamu fika kuhusu mipango ya adui. Walithibitisha kuwa Urusi inataka kuendeleza mashambulizi.
"Kwa makusudi Nato iliamua kutofunga anga juu ya Ukraine. Nchi za Nato zimebuni fikra kwamba kufunga anga za juu ya Ukraine kutakuwqa ni uchokozi wa moja kwa moja dhidi wa Urusi dhidi ya Nato.
“Haya ni mawazo ya kipekee ya wale ambao ni dhaifu, wasio jiamini, licha ya ukweli kwamba wanamiliki silaha silaha ngingi zaidi ya zile tulizo nazo."
Zelensky baadaye aliuhutubia umati mkubwa wa waandamanaji wanaoendelea kuandamana katika mataifa ya Ulaya, akiwaambia waandamanaji : " Iwapo Ukraine haitanusurika, Ulaya yote haitanusurika.
"Kama Ukraine itaanguka, badi Ulaya nzima itaanguka."
Source:BBC
Ngoja tukusaidie kukuza upeo wako, maana huwa wapiga makelele pasi na kujua uongealoHicho chakula wanachokigawa si ndicho kile kilicho expire 😂,nachojua wao wana njaa sana wapelekee wali na mandondo ya nazi wakale washibe wapate nguvu ya kushusha makombora kwenye majengo na makazi ya watu. Anyway ngoja niende kwa BBC nikajisomee na nitakuja kukujibu tena hapa.
Mungu wa wapi tena atakaemfanyia wepesi Cousin wa Lucifer? Huyu Mungu atasimama daima siku zote na upande wa wanyonge ambao ni Ukraine,Russia anasimamiwa na Lucifer katika hii vita 🙂Hata mkiungana,mkiandamana,mkisua,mkitununia sisi tutashinda tu vita hii. MUNGU atufanyie wepesi
Hoja yako ina msingi ila mambo ya drs la saba hayakuwa na umuhimu. Angekuelewa tu hata usingesema.Unafanya analysis kama mtoto wa Darasa la 7 vile, Putin hana sababu za kiusalama kuivamia Poland, ila ana kila sababu ya kuivamia Ukraine, na ndicho alichofanya, NATO hawawezi pigana na Russia, same as Russia unless it is absolutely necessary.
Watu hawapigani vita tu kama pwagu na pwaguzi, vita zina sababu yake. Kama akili yako inakwambia NATO haiiogopi Russia then utakuwa mjinga. Na ujinga wako utakuwa hapa haujiulizi hili swali, Kwann NATO? Na kwann mataifa yote hayo ya NATO yaungane mostly kujilinda na threat ya Russia? Unaweza fanya hivyo kama hakuna security threat?
Zelensky amesema NATO na USA ni wadhaifu sana hawawezi kumshinda PutinNgoja tukusaidie kukuza upeo wako, maana huwa wapiga makelele pasi na kujua uongealo
View attachment 2139438
Ameshalikoroga ndg yetubahati mbaya sana, wamagaribi wanamtumia yeye kama chambo tu.wanamtesa sana mshikaji huyu.
Aiseee mshikaji anateseka sanabahati mbaya sana, wamagaribi wanamtumia yeye kama chambo tu.wanamtesa sana mshikaji huyu.
Hatari kwelikweli.Wanaujua mziki wa ma former KGB
Tupe kwanza chanzo cha habari kinacho sema eti kinu cha Nukilia kime rudi kwa Ukraine.Uyu ni mwehu kabosa akili zake zimekuwa cracked sijui anaongelea Urusi gani iyo kama ni hii ambayo ndani ya siku kumi za vita imeshindwa kuuteka ata mji mmoja mkubwa ndani ya nchi ya Ukrain alafu uniambie kuwa eti ina jeshi imara labda waongopee wenzio nimesoma hili gazeti lako nikaishia katikati maana ni ujinga tu umeandika braza
Wapelekeeni chakula wanajeshi huko wanakufa na njaa.Ngoja tukusaidie kukuza upeo wako, maana huwa wapiga makelele pasi na kujua uongealo
View attachment 2139438
Kusema tuangalie vita kama muvi ni kwamba tusijihusishe sana mpk inafikia hatua watu wanakua na uhasama humu kisa vita visivyotuhusu unakuta watu wanazinguana wanapeana maneno makali wengine wanatukanana n.kMbona wewe uko upande wa Russia na umetumia busara kulizungumzia Hilo suala?Pitia Uzi uone watu wanavyoshadadia....halafu kusema tuangalie Vita Kama movie hapo umepuyanga ndugu yangu
Wewe Nyamiji unatudhalilisha wa kukaya.Wapelekeeni chakula wanajeshi huko wanakufa na njaa.
May be hakuliona hilo embu tuendelee kuwa wapenzi watazamaji tuombe tu yasije yakawa makubwa zaidi ya hapa.Aliambiwa kitu kirahisi sana. Kuwa waambie wanajeshi wako waweke silaha chini. Lakini kajiona yeye anajua sana.
Sasa baada ya hapa kuna kesi zitamkabili. Huyu jamaa atanyea debe.