LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Atajulia wapi wakati akiamka tu anakimbilia kwenye page za Pro Russia anasoma huku kisha anakuja hapa kutuletea "breaking news" zake zilizopitwa na wakati
Kwenye vyombo vya habari Ukraine ni mshindi na shujaa ila kwenye uharisia Ukraine ina hali mbaya sana.

Ili kudhibitisha hilo ni kauli hii alio itoa raisi wa Ukraine ni kauli ya kukata tamaa.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Ifahamu historia ya vita utagundua kuwa si mara ya kwanza kutokea vita. Jikite kwenye mwisho wako wewe kama binadamu, mambo ya mwisho wa dunia huyajui.
 
Propaganda za wakenya hizi. Mwananchi na the Citizen linamilikiwa na wakenya.

Wakenya hao waliletwa na mkapa kwaajili ya kuleta chachu ya habari. Lakini wameshakuwa pro NATO, wanaleta taarifa za uongo. Walikuwa wakipata pesa kutoka serikalini.

Baada ya mzee Magu kuingia aliwachinjia baharini, walianza kuwa omba omba. Mwishoni mwishoni alianza kuwapa pesa. Sasa wameanza tena kulewa na kuleta taarifa za kubumba.

Subiri njaa iletwe tena.
 
Zelensky amewazila huku, eti raia wakifa wanakufa kwa ajili yenu alafu Nyamizi unasema Urusi ndio wamefarakana😂😂😂😂 rais wenu ametoa ya moyoni
Bora yeye anaetoa ya moyoni hadharani kuliko Baba yenu Putin anaewamaliza kimya kimya wale wote wanaompinga katika hii vita ndani ya Russia,amevimba kama kifutu kwa hasira 🤣🤣 anataka kupasauka huko anapoona mambo bado kabisa Ukraine leo siku ya kumi.
 
Wewe Nyamiji, umeolewa kweli!?
 
rais wa ukraine lazima aongee kadri awezavyo kupata aina yoyote ya msaada inayowezekana, yeye na yeyote mwenye ufahamu anajua kuwa tangu NATO iundwe hakujawahi kuwa na direct clash kati yake na USSR/RUSSIA, anaplay politics tu, support aliopewa ukraine pamoja na vkwazo vyote dhidi ya urusi visingewezekana bila NATO,
 
Angetaka Genocide mapema Sana .....
Aaaah nimecheka kaM mazuri yaani Urusi leo ndo ya kuongea maneno ya kinyonge kama haya daah ajabu sana aisee kiukweli putini kawapeleka chaka ile mbaya yaani hamna hamu mlivyokuwa mkijitapa sasa apo mwanzo mwanzo wala hata hamkujua kama mngekutana na balaa la waukraini wenye uzalendo na nchi yao yaani kifupi ni kwamba mpKa sasa vita ikisitishwa basi mshindi ni Ukrain kataa ukubali
 
nlikua nasoma breaking news hp kwe RT naona ghafla imeandika error na siipati tena cjui ndo ht mtandaoni imeondoka, nliona breaking news kuwa russia wametangaza ceasefire but RT imetoweka ghafla na haipatikan tena
 
Ila Nyamizi usinikasirikie, mie swahiba wako ujue

Mengine changamsha genge tu
Hapana Mkuu,uwe na amani kabisa unapojibizana na mimi,huwa sipendi mtu anaekuja na lugha chafu kisa tu mmepishana mitazamo. Kwa upande wako nimependa ustaarabu wako wa kutokutumia na maneno ya kashfa na lugha ya matusi ndiyo maana umeona tumeendela kujibizana hapa.Wewe na Frustration mko poa kabisa kutoka kambi ya Putin 🤝
 
nlikua nasoma breaking news hp kwe RT naona ghafla imeandika error na siipati tena cjui ndo ht mtandaoni imeondoka, nliona breaking news kuwa russia wametangaza ceasefire but RT imetoweka ghafla na haipatikan tena
Hiyo haiwezi kutokea mzee. Ceasefire ni mpaka pale Ukraine watakapo weka silaha chini.
 
Venus Star na Nyamizi mna attack personal each other sio poa kabisa. Uzi wetu unapambwa na ushindani wa maneno na vijembe vidogovidogo na hii inatoa afya kwa thread hii. Kwa mfano watu wanatafuta habari kutoka vyanzo tofauti tofauti na wanaleta hapa kwa lengo moja tu kujuwa nn kinaendelea Ukraine,kwa hiyo mm naomba mpunguze mumkari kwani wakushinda vita au kushindwa vita tutajua tu. Tusubiri dakika 90 za mtanange.
Natanguliza shukrani za dhati kwa Putin kwa kukubali kwake kutowadhuru na kuwasaidia wanafunzi wa kitanzania waliopo Ukraine.
 
Mzee unaanza kutupangia cha kuweka humu!? Wewe ni nani!?
 
Unakumbuka mikwala ya Putin akiwaamrisha wanajeshi wa Ukraine wamtoe Rais wao,sijui alikuwa anadhani anaamrisha Houseboy wa nyumbani kwake,lahaula majibu anayopewa kwenye uwanja wa mapambano hadi mtu mzima anapanic na kukimbilia kwenye Nyuklia
 
Uyo ndio comedian
 
Asante Kwa hisani ya myukreni wa buza Yombo Kwa limboa🏃‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…