LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu

Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020

Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata

Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine

Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba

Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300

Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?

Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli

Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.

Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo

Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?

Hii nchi ni ya ajabu sana. Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa

Ukraine hawafai kuigwa
Kumbe sio kweli, Ukraine walikuwa bado wanausoma mchezo na baada ya kuona farmation wanayotumia Russia ndipo sasa walipoanza kuwamudu hadi Russia ikashindwa kupata air superiority.

Russia wamedhibitiwa na kupunguzwa kasi hadi kushindwa kuteka miji hadi wameamua kutegemea sana mazungumzo ya mezani. Vilevile vifaru vyao vimeshaharibiwa na helikopta kadhaa na ndege kudondoshwa.

Huko tunakoelekea ni wazi tutashuhudia kile kinachoitwa "The Afghanistanization of Ukraine".
 
Officially: the films "Brother" and "Brother 2" will appear in theaters on March 24
IMG_20220306_142939_468.jpg
 
Beware, very hard shots!

A room in an abandoned location of nationalists in the liberated village of Kryakovka, Slavyanoserbsky district, Luhansk region. According to locals, there was a torture chamber here. The victim is a civilian, he was shot before the retreat, but before that he was severely interrogated.

Source: Mash
 
KWANI CORONA IMEENDA WAPI? MBONA WAMERUNDIKANA

Ukrainians continue to leave the cities - giant queues lined up at the railway station in Lviv

People stand on the street for hours waiting for evacuation trains to Poland.
 
Tukiachana na nuclear weapons, siwezi panga majeshi bora ya conventional weapons Urusi ikawepo kwenye top 4. Huwezi kuwa na jeshi la ovyo la ardhini na angani linaposhindwa kupigana na vijeshi vidogo kama Ukraine alafu unataka tukuite superpower kwenye majeshi. Ujerumani kwenye WW2 ilipigana na Poland, Ufaransa, Urusi, Marekani na Uingereza ikiwa pamoja na Commonwealth zake zenye nchi imara kama New Zealand, Australia na Canada, et. Hata South Africa ilishiriki dhidi ya Mjerumani, hao ndio walikuwa na jeshi la kupigana na maadui wengi sio hii Russia.

Huu uzi nimeutelekeza kwa siku tatu hizi baada ya kuona kile ninachokijua kimezidi kupwaya. Jeshi la anga la Urusi ndio la kufanya mashambulizi usiku ili lisidondoshewe ndege zake kweli? Juzi ndege 6 ziko confirmed kuangushwa, source zipo nyingi za kudhitibisha hilo na ndege ambazo hakuna uhakika hazijahesabika. Wiki ya pili sasa bado Ukraine imesimamisha S-300 zinafanya kazi. Ingekuwa Israel siku ya kwanza tu, trust me siku ya kwanza tu hakuna air defence system ungeona iko kazini!

Urusi inashindwa kulinda convoy zake, inapaki magari kibao mpakani kule Belarus ila inaogopa kuingia nayo mengi ziko Bayraktar TB2 zinayasubiri, hawana air cover wanaenda as if tuko 1980s. Urusi wana systems zao kama S-300 (S-400 si rahisi ikaletwa kufanya kazi ndogo hizi) ziko mbali uko kwao ambavyo wala Ukraine hana mpango wa kuishambulia Urusi hivyo zinatoa air cover mpaka pembeni mwa Ukraine ila nao wanaendesha ndege level za chini kukwepa radar.

Russia haina coordination nzuri ya airstrikes, artillery na troops. Hata airforce yao haina uzoefu na combat missions, Urusi wako busy na kuendesha ndege kwenye maonesho na kwenye mazingira rafiki wakati NATO wanakuwa na mazoezi magumu yanayofanyika kwenye maeneo tofauti duniani kama Mediterranean sea, Marekani na maeneo ya Ulaya. Marubani wa UK na US hukutana kufanya mazoezi magumu kila mwaka yanaitwa 'Red flags', hutumia makombora ya kisasa, ndege za kisasa na hutumia hali ya hewa mbovu kwenye mvua kubwa, fog na upepo. Last year mwishoni hapo kuna F-35 mpya ya Uingereza ilidondokea kwenye maji wakiwa kwenye mazoezi makali na Marekani. Marubani wa NATO wana simulation rooms za kisasa zinazofanana na mazingira halisi ya vitani, rubani anapewa simulator inayofanana kila kitu na ndege yenye hata VR anazoea mazingira, buttons, emergencies, maamuzi ya haraka. Hata movements za ndege, acrobatics na mitikisiko anapewa anachokosa ni ile hofu inayotofautisha mazoezi na reality. Russia hana kampuni ya kutengeneza modern simulators marubani wake wana disadvantage hapa. Marubani wa Russia wakifanikiwa sana wanatimiza masaa 100 ya kurusha ndege kwa mwaka wakati Marekani na members wakubwa wa NATO wa kwao wanazidi masaa 200 kwa mwaka.

Ndege za Urusi zingekuwa mbovu India isingekuwa inazitumia vizuri na kushinda angani, tena India iliwahi fanya mazoezi na members wa NATO wakakubali sana uwezo wake. India ndio airforce inayoongoza kupata ajari, wale jamaa hawakai miezi miwili bila ndege ya jeshi kuanguka, kamanda wa jeshi la anga alidai bora wafanye mazoezi kwenye mazingira magumu wafe kwenye wakati wa amani ila vita ikija wawe strong wafanye mission kwenye mazingira yote.

Hapa tatizo ni training mbovu isiyokidhi, na washirika wa Urusi hawafanyi mazoezi pamoja. Russia inafanya mazoezi na India, China kidogo sana na watu wa kawaida kama Belarus. NATO wanaunganisha mbinu za wageni kama South Korea, Japan na Israel which I think ndio airforce inayojua sana air warfare kuliko hapa duniani. Israel imeanza operations Syria miaka zaidi ya 10 na sijawahi sikia imepoteza ndege hata moja. Leo hii Urusi ndani ya wiki mbili ana hasara kibao angani.
Nimeshangaa kwa urusi kutuma wanajeshi wasio na uzoefu na wengi wao hawajaambiwa kuwa wanaenda kupigana Ukraine.
Pia sijaona s400 hata moja.
 
The Armed Forces of Ukraine deliberately collect children in two cities, an anonymous source from Kramatorsk told RT.

“They took them from Volnovakha to Velikaya Novosyolka, and from there they took the children to Kramatorsk. They [Ukrainians] deliberately stuff two cities - Kramatorsk and Slavyansk - with children, ”the source said.

Earlier, a resident of Nikolayevka reported that the APU was holding children in Slavyanogorsk and Kramatorsk.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Putin informed Erdogan about the course of the special military operation to protect Donbass, and also explained to him the main goals and objectives set.

The Russian President stressed that the special operation is going according to plan and in accordance with the schedule.

SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]nakuonea huruma maana Nina hakika bila Ud na ifm kua dar ungepaskia tuu kwenye bomba !shukuru sana![emoji2][emoji2][emoji2]
Wazawa wa Ocean road hatunaga mbwembwe tunaheshimu watu wote na miji yote ya Tanzania!
Wakati huo Russia mwenye manguvu kama ya hawafu alikuwa wapi kuwakataza NATO wasiwaue hao unaowasema waliuawa na NATO si mnasemaga Russia ana minguvu mingi sasa kwanini hakuwazuia hao NATO
 
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
Putin, in a conversation with Erdogan, said that the Russian Armed Forces are doing everything to preserve the lives and safety of residents in Ukraine, and strikes are carried out only at military facilities.

He also confirmed Russia's readiness for dialogue with the Ukrainian authorities and foreign partners to resolve the conflict.

At the same time, the head of state drew the attention of his Turkish counterpart to the futility of any attempts by Kyiv to drag out the negotiation process.
@rt
 
The suspension of the special operation to protect the Donbass is possible only if Kiev stops fighting and fulfills the requirements of Russia, Putin told Erdogan.

@rtSmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
ndio maana putin kaweka sheria ya miaka 15 jela kusambaza taarifa kuhusu jeshi la urusi maana hizi picha za casualities zinasikitisha na kuiabisha nchi kwakweli, ndio maana wakalazimika kutoka na namba za wanajeshi wao waliouawa ukraine kitu amacho kimeshangaza maana putin alipitisha sheria huko nyuma kuwa takwimu za wartime casualities ni classified, hii vita huenda ikawa na matokeo yasiyotarajiwa kwa future ya urusi yenyew, kwann casualities ni kubwa ndani ya muda mfupi tena dhidi ya adui dhaifu!!!
Marekani walipovamia Somalia, wanajeshi wao waliuawa na kutembezwa mitaani jijini Mogadishu, kwenye vita, hata uwe na nguvu kiasi gani casulties haziepukiki
 
Erdogan, in a conversation with Putin, gave a critical assessment of the West's frenzied campaign to discriminate against Russian culture and its figures, the Kremlin said.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom