LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The people's militia of the DPR reported that 104 Ukrainian soldiers laid down their arms and went over to the side of the republic.

 
Shida wati mnapenda ubishi tu na wakati kwenye uhalisia mambo ni tofauti unajua taarifa zinatoka kila siku na zinaonyesha casualities anazopata Russia mnasema nk.propaganda basi tupeni nyie za kwenu ambazo ni sahihi hamna pia je mnataka sisi tuwakubalie kwa hoja ipi na wakati stuation halisi inaonyesha kabisa kuwa nyie wavamizi mambo yanawaendea vibaya uko front line

Ivi Russia ni jeshi la kuishiwa mafuta kweli, Russia ni jeshi la kukosa madawa uko front line kweli Russia ni jesho ambalo askari wake wakishambuliwa wanakimbia na kutelekeza silaha zao tena zile nzito na sophscated kabisa

Ivi Russia ni jeshi la kisupply RME ambayo tayari iko expered tena zaidi ya miaka saba nyuma yaani logistically Russia no ziro kabisa hamna laa maana lolote ambalo logistic yenu imeweza kuliachieve zaidi ya kwatelekeza front line wenu na kuwaacha wafe na njaa kali na mwisho wa siku kuishia kutekwa Ma kuuawa na majeshi ya ukrain

Nakuuloza swali kama unayo hoja niambie leo hii baada ya siku 11 za vita yenu mlioianzisha emu miambie jeshi lenu la anga limefanya nini cha maana ama kulosaidia jeshi la Russia zaidi ya helcopter zake na jet fighter zake kuishia kuangushwa , kjlipuliwa na mwisho kabisa marubani wenu kitekwa ama kuuwa niambie kwa hoja na nionyeahe ushahidi kitu chochote cha maana kilichofanywa na jeshi lenu la anga.

Sijataka kabisa kulizungumzia kabisa jeshi lenu la ardhini kwa maana ilo ni mzigo na ziro kabisa kabisa katika jeshi la Russia jeshi lenu la ardhini halina weledi wa utaalamu wowote wa kimapigano

Aya nasubiri majibu toka kwako yenye hoja na ushahidi halisi
 
This is a fabricated story originating from the Russian government source and it cannot be independently verified. It's a mere propaganda from the frustrated government.
 
Hii mikwara tangu kabla ya vita ilikuwepo na Zelenskyy alisonga mbele hakutetereka
 
The United States would approve Poland's transfer of military aircraft to Ukraine, Secretary of State Anthony Blinken said.

“This will get the green light,” he said.
 
Russia mimi binafsi nilikuwa naamini hajatumia hata 20% ya jeshi lake sijui comment gani humu niliweka last week. Hata silaha zake ni outdated zaidi, silaha nyingi mpya ziko kwakwe uko ni hasara kufanya silaha zako latest zikamatwe kizembe. Nilikuwa najiuliza kwanini wanaokamatwa ni wadogo kiumri nikapata wanaojitetea wakikamatwa wanaonekana pia wapo conscripts wengi.

Hayo yote yanatokea kwa sababu niliyokwishasema wiki ya kwanza ya operation, Russia alikuja na jeshi kubwa na silaha nyingi kutishia Ukraine ikate tamaa ijisalimishe. Warusi waliamini kilichotokea Crimea wanajeshi wa Ukraine kujisalimisha, kuacha silaha na makamanda wengine kujiunga na jeshi la Urusi litatokea tena. Ndio maana siku chache baada ya assault yao kuwa repeled Putin aliomba wanajeshi wa Ukraine wampindue Zelensky, hakutegemea resistance na supply hakuwa nayo wala hakuwa na wanajeshi wa kupigana aliwapeleka watishie kwa show of force.

Wakati Ukraine ilipompata Zelensky asiye na washirika wa kutaka wapewe upendeleo akafuta uongozi wa nchi na kurekebisha uongozi wa jeshi.
Makamanda waliopigana na Russia mwaka 2014 karibia wote walisoma kwenye jeshi la Soviet Union hivyo walisoma na makamanda wavamizi wa Urusi na waliwahi kaa Urusi kwenye mizunguko ya kijeshi, kumbuka USSR imevunjika miaka 31 iliyopita. Within Ukrainian military kulikuwa na Russian symphathizers wenye Soviet nostalgia wengi ambao hawakupigana wala wasingepigana mwaka huu. Zelensky alitoa maofisa wenye tabia za Kisovieti (fuatilia tofauti ya wanajeshi wa Tanzania waliosomea Russia vs waliosomea NATO countries tabia zao) akaweka walio neutral au wamesoma Western. Nishasema humuhumu tafuta kwanini jeshi la Ukraine liliongozwa na Lieutenant General Valery Zaluzhny aliyepandishwa cheo kuwa General jana Jumamosi na Rais Zelensky. General Zaluzhny ana miaka 48 tu! Nilisema kuhusu alivyopigana frontline tangu 2014, kakaa sana field huyo hata mpaka vyeo ilikuwa ngumu kumpandisha haraka.

Haya mambo hayaitaji uyajue siku vyombo vya habari vinavyoyakazania. Nimeanza ufatilia mgogoro wa Ukraine since 2014 na huyu Zaluzhny kipindi bado mdogo jeshini hana vyeo, ni graduate wa 2007 kwenye military academy. Nimetazama sana documentaries zao, propaganda za Russia, mchafuko wa kisiasa ndani ya Ukraine. Leo hii anatokea mtu ambaye sijui kaijua Ukraine mwezi wa pili, ana matusi na hana hoja anasema ninalishwa propaganda za Westerns.
 
Hivi wewe na akili yako umeona kifaa gani cha kutisha pale ukraine??. Au furaha yenu ukraine iharibiwe ichakazwe??
Kama nini mlichoharibu cha maana pale Ukrain yaani ni aibu mno kwa jinsi mlivyokuwa mkijisifu na jeshi lenu uchwara kupiganavita na nchi underdog zaidi ya siku 11 na kushindwa kuteka ata asset moja ya maana katika nchi mliyo ivamia Russia was very ovarated yaani jeshi la Russia ni jeshi dhaifu zaidi kuliko majeshi kalibia yote ya balaa la Ulaya
 
Ndo apo sasa eti jeshi imara na wakati vikosi vyake uko mstari wa mbele wakufa kwa njaa supply route ya RME imekatwa na majeshi ya ukraine sasa wamebaki kuwa waiba vyakula kwenye masupermarket ya Raia jeshi imara linaishiwa mafuta, waheed!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…