LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

Tupe source ya hizi habari zako na sisi tukasome sio umesoma twitter umecopy umepaste huku
 
Sasa nyuklia zinasaidia nini kwenye assassination mzee wangu wewe nawe bwana uwe unasoma mada na unaielewa kabla ya kujibu bwana unajiaibisha mzee!!
 
Toa data uzipendazo wewe kuzisikia ama laa nenda kazibandike chumbani kwako ziwe zinakufariji pale ukutani maana nyie pro putin mnatabia ya kuukimbia ukweli hamtaki kabisa kuukubali ukweli
Umechukia mimi kutoa opinions zangu?? Mbona kama una utoto mwingi
 
Hizi sababu mbona mwanzoni hazikuwepo,mambo yamekuwa si mambo mnaanza kumsemea Urusi kuwa hatumii modern weapons🤣🤣
Modern weapons gani wakati ndizo silaha alizonazo. Wanajeshi wa Russia hawataki hii vita wanalazimishwa tu na dikteta Putin na wamepanga kuisaliti nchi yao kwenye hivi vita.
 

Ausioo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wewe hujasikia Roman tajiri wa Chelsea anakwambia baada ya kuiza timu fedha zote zitakazopatikana zitakwenda kusaidia Ukraine [emoji1255]?
 
Kwanza Urusi yeye amrpeleka vijana wa JKT huko Ukraine na wamepewa silaha ambazo za kawaida sana na hayo mengine ya kuishiwa mafuta ni propaganda tu. Kurudi nyuma mnapozidiwa ni kawaida vitani kwani hukumuona Rambo au Kachupi anakimbizwa mpera mpera polini ila baadae wanajipanga na kushinda vita
 
Mmmh mkuu uko beyond humanity aises japo jamaa wala hajafa na bado yuko pale kiev kama kawaida anendelea kutoa order kwa makamanda wake lakini si vyema kufurahia kifo cha binadamu mwenzako mimi ni mpinzani wa Putin lakino siwezi kufurahia kifO chake kwa namna unayofanya wewe kumbuka ni kiumbe mwenys utashi tofauti na wanyama!!
 
Hayo mapipa ya sijui S-300/S-400 hayana lolote ni utapeli tu wa warusi, yalishampiga nani acheni bwana.
Mkuu acha kuyadharau maana Wachina, Wahindi na Waturuki waliyanunua pamoja na hatari ya vikwazo na kununa kwa Marekani, kabla ya kununua walifanya testing. Iran alitaka kuuziwa ila Urusi hakukubali, ukiona silaha ikitaka kuuzwa Marekani anatishia kuweka vikwazo na ananuna usidhani anapoteza muda, ndege latest za Urusi mbona hata Algeria na Egypt wananunua bila shida.

S-400 inaizidi mbali MIM Patriot ya Mmarekani. Marekani iligoma kuiuzia Uturuki F-35 ili S-400 za Uturuki zisisome characristics na kwa kuwa Russian maintenance engineers wanakuwepo wasije jua siri. Nakumbusha mwaka jana UK ilipodondosha F-35 bahari ya Mediterranean walileta submarines na robots kuitoa kilomita kadhaa baharini chini ili Urusi au China zisiibe. S-400 sio ya kuipeleka Ukraine ambako kuna Su-25 na Mig-29
 
Putin and Israeli Prime Minister Bennett exchanged views on the situation in connection with Russia's special operation to protect Donbass, the Kremlin reported.
 
Kuna vilaza humu walikuwa wanasema SANCTIONS haziwezi ihathili Urus kwasababu Putin alishajipanga muda mrefu kabla.
Wengine wakasema hela za serikali ya urusi zipo kwenye cryptocurrency hivyo hakuna namna mebeberu wataiyumbisha Urusi.
Yaan pesa ya serikali itunzwe kwenye shiling ya kubet!!

Pro Russia wengi ukiwafuatilia wanamatatizo ya akili.
 
If You support Ukraine ,but Not Palestine, Iraq, Syria, Afghanistan,Smoalia,Libya etc If you condemn Russia but not Isreal and USA.
Then Congratulations Mate , Your on the Highest Tier of Hypocrisy.[emoji174]
Don't force everyone to support your opinions. Eg, some of us are War Mongers, so we just enjoy the tactics, use of war machines,battles, the war grounds etc.

By the way, do u know how it feels to hear the outgoing bullets from AK 47? So awesome...
 
Danone announced the suspension of investment projects in Russia.

It is noted that the production of dairy products and baby food will continue.
 
Mwanangu umenifanya nicheke mnoo daaaah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…