LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Jamani hizi taarifa kuwa Leo huko Moscow na St Petersburg kunafanyika maandamano ya kufa mtu ni kweli au. Maana nimeona huko Twitter clip za maandamano makubwa leo hii wakipinga hii vita. Pia kuna clip inaonyesha wafanyakazi wa kiwanda kimoja kikubwa wakiandamana baada ya biashara kubuma.

Kama hii ni kweli basi warusi wameona hii vita ni ujinga tu. Japo juzi Putin alipiga mkwala kuwa mwananchi atakayetoa maneno ya uchochezi atakula miaka 15 jela.
 
Russia yalalamikiwa kutumia mbinuvita zake mbaya zaidi za kuizingira miji kwa kipindi kirefu na kunyeshelezea mvua za makombora. Mbinu hizo amewahi pia kuzitumia huko Syria na Chechnya.

Mbinu hiyo hukata usafirishaji wa resources (zikiwemo silaha na wanajeshi wa upande wa adui na pia vyakula) kati ya mji mmoja na mwingine.




 
British defence sources have told the BBC that Russian troops had been ill-prepared for the war in Ukraine. "They really did think they were conducting military exercises not preparing for an invasion," one said.

One source said President Putin thought he had the army he had seen at Moscow's annual Victory Day Parade, but "the army on parade ground has not turned out to be an army made for battle".

Earlier this week the UK defence secretary, Ben Wallace, accused President Putin of betraying his troops "by sticking them down roads to be killed and abandoned in the cold".

Russian troops, he said, had been left in a place where "potentially thousands could be killed".
 
Russia yalalamikiwa kutumia mbinuvita zake mbaya zaidi za kuizingira miji kwa kipindi kirefu na kunyeshelezea mvua za makombora. Mbinu hizo amewahi pia kuzitumia huko Syria na Chechnya.

View attachment 2141525
Na ndio maana sis pro comedian tunasapot kuzuia raia kutoka nje ya mji wa mapambano,kwan kuna ubaya gani tukipambana ktk kambi za jeshi na raia wakibaki majumban wakisubir taarifa za nan kasanda,na kwa nin raia waondoke anamalengo gani na wajeda wet u[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa nyuklia zinasaidia nini kwenye assassination mzee wangu wewe nawe bwana uwe unasoma mada na unaielewa kabla ya kujibu bwana unajiaibisha mzee!!
Kwamba yeye atakuwa anawasubiria mumfikie tu kizembe😅 wewe ndio hujiongezi mzee
 
Wanaoitwa wakereketwa wa haki za binaadamu wanahofia kuwa Putina huenda anatumia mpangovita alioutumia Chechenya miaka ya 1990s na 2000s ambapo kupitia mpangovita huo aliigeuza miji ya Chechnya kuwa vifusi. Hivyo tutegemee miji ya Ukraine kubaki vifusi. Yaani majengo mazuri ya miji hiyo yatasawazishwa na kubaki vifusi vilivyotawanyika huku na kule (vipande vipande vya mawe, matofali, udongo n.k.)

Hizo ndio gharama za kumkunjia ngumi Putin.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…