Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,245
Huyu jamaa hii swala la kulalamika ni moja ya silaha zake katika hii vita... Tena anaitumia vizuri...Russia imeshambulia uwanja wa Ndege wa Vinnytsia kwa makombora manane tu ya cruise (Cruise missiles).
View attachment 2141494