LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Makamanda wa Putin waendelea kupoteza maisha Ukraine View attachment 2141888
Zelenskiy alitangaza wanajeshi wake waliyo kisiwa cha Zminyi(sina uhakika kama nimepatia jina lake) wakakipa jina la uongo Snake Island wale waliyoambiwa wasalimu wakatoa tusi la kejeli kwa Russia kuwa wamekufa na akawapa shahada ya ushujaa.

Taarifa rasmi ni kuwa hawakufa bali walijisalimisha. Ushahidi wa video upo ukihitaji tembelea RT utawaona na wanaonyeshwa taarifa iliyotolewa na rais wao kuwa wamekufa.


Ukraine walitangaza wamemuua kamanda wa jeshi la Chechen lakini juzi kati kaonekana video clip iliyorushwa wakiwa wameteka moja ya kambi za Ukraine na silaha walizozikamata.

Ukraine walisema kuna ghost of Kieve. Ukweli ni hakuna! Ile kipande cha meme kutoka kwenye game. Imethibitishwa kuwa ni kweli.

Ukraine wameweka vipande vya video clip wakionyesha Russia wanachoma na kuteketeza makazi ya raia. Imekuja kuthibitika ni kipande cha movie ya nchini Serbia.

Ukraine walionyesha rais wao yupo mstari wa mbele naye kaingia vitani. Picha zote walizosisambaza zikimuonyesha na magwanda ni za mwaka 2016 kama sijakosea na uthibitisho upo! Wakati huo alienda kutembelea mazoezi ya kijeshi.


Hii juu ni taarifa iliyotolewa na Zelenskiy


US wakaona propaganda hii ni chungu. Taarifa ni ya uongo wakaamua kuipotezea kwa kuwataarifu mabalozi wasi re tweet hiyo habari.


Ni hii hapa ikiendelea kukanushwa taarifa ya Zelenskiy.



Polish wakikanusha kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.
Huyo jamaa wa chini anawajibu Polish baada ya tweet yao kuwa inabidi azungumze na rafiki yao US kuhusu hilo kwa sababu matangazo anayoyatoa yanatofautiana na wao.


Kwenye hii vita kuna propaganda nyingi sana zinafanyika. Nilizokuwekea ni chache. Kuwa makini mahali unapozipata taarifa.
 
Iraq ya sadam Ni borA kabisa kuliko Ukraine ya leo coz kwa kipindi kile air Force yao ilikua y nne kwa ukubwa duniani
Vita vya Iraq vilikuwa vita vyepesi sana kwa sababu saddam alikuwa ameligawa taifa lake kwa sababu ya udini na undugu.vikosi vingi viliweka makubaliano ya amani na majeshi ya mungano, kwa iyo awakuwa wapo pamoja katika vita na vikosi vya magharibi.
 
mkuu, nimekuwa nazifatilia post zako
kwa hakika unajua mambo mengi ya kijeshi kuliko hata baadhi ya wanajesh wenyewe,
lakn kuna swali najiuliza kuhusu hii vita
mbona kama vifaru na magari ya urusi yanahalibiwa kwa wingi sana? Au
Urusi ana kikosi kibovu cha ardhini,
au ant tank javalin zimeosha ufanisi mkubwa?
au yaweza kuwa propaganda za vyombo vya habar vya west,
lakn kama ingekuwa ni propaganda, kwa sasa urusi ingeshateka miji mingi na muhimu,
cha kushangaza jeshi linaloogopeka dunian hadi sasa limefanikiwa kuutwaa mji mmoja wenye wakaz 280000 hapo ni pamoja na wanawake wazee na watoto,
kama hutojari naomba unidadavulie ukraine wanapata wap nguvu ya
kuwasimamisha urusi hadi sasa,
 
The Russian delegation flew to Brest for the third round of talks with Ukraine. There is no information from the Ukrainian side about the movement towards Belarus yet.
 
Uniqlo stays in Russia despite international pressure - Bloomberg.

“Clothing is a vital necessity. The people of Russia have the same right to life as we do,” said Tadashi Yanai, CEO of the parent company Fast Retailing Co.

Yanai said he questions the trend that is forcing companies to make political choices.
 
Hizi ni propaganda,tunasubiria mshindi sio maneno.
Russia operation yao walishaitangaza mapema kabla ya kuingia Ukraine: Mpango wao ni kulidhoofisha jeshi la Ukraine. Ndiyo maana wanashambulia kambi, viwanda na maghala ya kuhifadhia silaha za kivita.

Ukiitizama hali ya Ukraine kuna mengi utang'amua na mojawapo ni kuwa Russia inaonekana anaihitaji Ukraine. Hivyo hawezi akaharibu miundombinu, majengo pamoja na rasilimali watu.

Ukiangalia kwa sasa hivi kuna maeneo tofauti ya Ukraine yanapatiwa msaada wa vyakula na Russia. Hakuna shughuli ya kiuchumi ambayo inaendelea Ukraine. Kuna kitu Russia anajaribu kukiwekeza kwa raia wa Ukraine.

Kuhusu ushindi/Mshindi: Nafikiri ni busara tukawasikiliza wenye ubobezi kwenye hii tasnia ya masuala ya kivita. Na wanayoyasema wakiwemo majenerali wa US ni kuwa; Russia hajatumia hata 20% ya nguvu yake ya jeshi.

Nafikiri tutosheke na hili. Ijapokuwa swali muhimu ni kujiuliza kwa nini ametumia chini ya 20% ya nguvu yake ya kijeshi(?)
 
A soldier of the 58th separate motorized infantry brigade of the Armed Forces of Ukraine complained about the order of the command to contain Russian tanks without issuing anti-tank weapons
Your browser is not able to display this video.
 
Kapate Chakula cha mchana Mkuu, Nitalipa kwa Simbank.
 
According to the American media, a delegation from the United States flew to Venezuela to find an alternative to Russia in the oil market.

According to the New York Times, this is the highest level of contact since 2019, when the US closed its embassy in Venezuela, ended contacts with Maduro and imposed bans on oil exports from that country.
 
Deputy Prime Minister of Ukraine Irina Vereshchuk said that the humanitarian corridors proposed by Russia are unacceptable and Kyiv refuses them.
 
The meeting of the Russian and Ukrainian delegations may begin around 15:00, @sputnikby reports.

But due to problems with the logistics of the Ukrainians, the start of negotiations may be delayed.

According to @sputnikby, the Russian delegation arrived in Brest in the same composition, there is no data on the Ukrainian side.
 
Vifaru na vifaa anavyo tumia Urusi kwenye hivi vita ni vya kizamani kwa hiyo vingi havina mifumo ya kujinda wakati Ukraine anatumia silaha za kisasa alizo pewa kutoka kwa wamagharigi.

Kuhusu kuharibiwa kwa vifaa Nadhani mengine ni propaganda maana wangekuwa wameharibu kwa kiwango wanacho kisema nadhani Ukraine vikosi vya Urusi vingekuwa vimesha rudishwa nyuma.

Alafu kingine mkuu vita ni rahisi kuiongea mdomoni tu lakini vita ni kitu kimoja kigumu sana, na ndio maana hata Marekani akitaka kwenda vitani huwa ana tafuta washirika tena wenye nguvu hajawahi kuanzisha vita na taifa lingine bila uhakikisho ya kwamba atapata usaidizi kutoka kwa washirika wake.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Hii ishu wanaigiza sahizi eti wanapumzika kupigana ili waendelee baada ya kuwatoa wananchi.... ukraine ilishasema wananchi wachue silaha sahizi inaonekana jeshi linajificha nyuma ya raia.. waondoke waende wapi wapo kwenye nchi yao....
 
Luhansk direction. Ukrainian soldiers of the Allied Forces firmly hold their positions, inflicting losses on the enemy. Made several successful counterattacks. As a result, the occupiers lost about 40 personnel, 8 infantry fighting vehicles, 1 MT-LB, a Ural truck, an SUV and artillery systems (number to be determined).



 
Watakuambia wanasonga mbele..Vita sio taarab kwamba unachukua unaweka waaa👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…