LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huna akili hata ya kuvukia barabara wewe.we unaon kabisa vikosi vinasonga mbele kila upande alafu unasema vimesimama.msipende kukurupuka.vita ipo nyumbani kwako alafu unajitangaza mshindi
 
Acha propaganda twambie Russia ameachieve nini cha maana mpaka sasa katika hii vita ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa Ukrai ndo mshindi maana kaweza kuilinda kwa nguzu zote mipaka ya Ardhi vip kwa Russia mvamizi yeye kagain kipi cha maana kwenye hii vita mpaka sasa
Utoto raha sana
 
Watoto wa wanyonge wanashughulikiwa kwenye vita isiyo na manufaa kwa Nchi yao.

Picha kama hizi Putin hataki watu wake waone ndio maana kazuia social network za binafsi na za Kimataifa.

Bila shaka kwao wanaonyesha walivyowaua Ukrainians ila wanashangaa siku zinaenda hakuna wanachoambulia cha maana.
 
Analyst: Baada ya hii vita kuna NEW ORDER itaanza

1. Hungary kakaataa kupitisha majeshi ya NATO kwenye ardhi na kusema haiusikii na hii vita

2. Brazil amepingana na EU kuhusu swala la vikwazo, na kusema itaendeleza mahusiano ya kibiashara na Russia.

3. India wapo kwenye trial ya kuanzisha mfumo mpya usiotegemea Dollar na kutumia Rupee na Ruble ili kuendeleza biashara na Russia.

4. Israel wamegoma kuonesha umoja wao na Ukrain maana Russia anashikiria maslahi ya Israel kule Syria

5. China wapo kwenye ku update mfumo wa union pay uanze kutumika kote Dunia kwa yyte atakayetaka kufanya biashara na Russia

6. France anapingana na US na NATO na kusema mawazo ya NATO yanaendeshwa na US na hii inapelekea vita kuwa kubwa hivyo ikaamua kutumia njia zake za kidiplomasia kuwasiliana na Russia bila baraka za US.

7. Russia kuanzisha mfumo wake wa malipo ya oil na gas hata kma vikwazo vikiondolewa.

8.Russia na washirika wake kuanzisha mashirika na idara za kimataifa kama ilivyo umoja wa mataifa baada ya China na Russia kuilalamikia baadhi ya mashirika hayo kuwa ni baraka wa marekani na yapo kutimiza matakwa ya marekani.

9.Uturuki kugoma kufunga bahari yke na kusema hawezi kuharibu mahusiano yake na Russia

10.Russia kuongeza uzalishaji wa silaha za juu na kuuzia washirika wake ikiwa ni njia ya kuwapatia nguvu washirika wake ili watengeneze umoja wenye nguvu
Umedadavua vyema
 
Huna akili hata ya kuvukia barabara wewe.we unaon kabisa vikosi vinasonga mbele kila upande alafu unasema vimesimama.msipende kukurupuka.vita ipo nyumbani kwako alafu unajitangaza mshindi
Kila upande kama upi? Viko stagnant maeneo hayo hayo wiki kadhaa sasa,mchana wanadai kuteka afu usiku mapigano yanaendelea pale pale
 
Hizi ni porojo za kwenye vijiwe vya kahawa, kuna mfumo wa ulipaji pesa ulioanzishwa na Russia lkn una changamoto kubwa kwamba ukijisajili kuitumia basi moja kwa moja unakuwa umejiondoa kwenye SWIFT na ndio maana hata China ameshindwa kujiunga nayo.

Sasa wewe unafikiri China akijiondoa SWIFT nani atakuwa amepoteza. Hakuna nchi hata moja duniani anayoweza kukubali kuacha kufanya biashara na nchi za magharibi ndio eti ifanye biashara na Russia ambaye hana chochote cha maana. Hivyo hizo ni porojo za vijiweni tu.
Anajikosha, maskini hawezi shindana na tajiri, yaani eti utumie mfumo wa India sijui Brazil and such nonsense.

By the way coalition ya Maskini hakuna cha maana itafanya.

Ndio maana Russia wame stuck kwa sababu pesa hawana.

Marekani anaweza kumuogopa Mchina tuu kwa sababu anaweza kumtikisa kwenye uchumi na sio pimbi wengine.

Hii vita ikiwa prolonged, Russia atafilisika and how it can be prolonged ni kwa Ukranian allies kuwapa silaha na msaada wa pesa.

Option pekee ya Russia ni kutumia silaha kali zaidi lakini atakuwa anajiweka kwenye hatari kubwa ya kupewa mbinyo zaidi na western.

Kwa sasa West wanamsibiria akiingia tuu wanaweka embargo maana kesho wanakutana kupanga hatua zaidi za kuchukua .
 
Hizi ni porojo za kwenye vijiwe vya kahawa, kuna mfumo wa ulipaji pesa ulioanzishwa na Russia lkn una changamoto kubwa kwamba ukijisajili kuitumia basi moja kwa moja unakuwa umejiondoa kwenye SWIFT na ndio maana hata China ameshindwa kujiunga nayo.

Sasa wewe unafikiri China akijiondoa SWIFT nani atakuwa amepoteza. Hakuna nchi hata moja duniani anayoweza kukubali kuacha kufanya biashara na nchi za magharibi ndio eti ifanye biashara na Russia ambaye hana chochote cha maana. Hivyo hizo ni porojo za vijiweni tu.
Du hii mzee umeitoa wapi
 
Daaa wee acha hawa warusi wa samvi la chole wana vituko sana aisee yaani wanajifanya kuwa wao pekee ndo wanzipata habari za vita na wao pekee ndo wana acces ya kupata taarifa za front line wakati sisi tunazo

Nimemuuliza anitajie ni mipaka mingapi ya Ukrain iliyo chini ya majeshi ya warusi kakimbia mita mpaka sasa ivi sijamuona kuja kukilijibu swali langu

Yaani anajiokotea tu vitaarifa uchwara uko porini anakuja kuvibwaga apa akidhani wote ni mambumbu kama yeye
Kwani russia wameingilia wapi kuipiga ukraine
 
Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain

Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine

Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo! Yaani wamechagua tu upande wanaoushabikia kwenye vita wakajua basi upande huo unajitawala kiasi cha kufanya lolote watakalo na kupenya corridor zote wasijue hata hao russia wanastruggle[emoji23][emoji23] nimecheka sana, na hapo ni wasomi wa viwango vya juu kabisa ndo wameumiza vichwa! Angekuwa Musukuma si ndo angebeba mabasi yake full tank na kuingia kama kwake akiwaita kwa majina, njooni tuamshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona utoto wa Russia hapa,labda mke wake Belarus ndio anaweza kubali masharti ya kijinga kama haya hapa 👇

Screenshot_20220307-193446.png


Screenshot_20220307-193455.png
 
Hao wavamizi wa Russia wanaambaa ambaa tu pembezoni na mpaka wao ikionyesha walivyo waoga. Hatuna sababu ya kuiogopa tena Russia.

Wamekuwa kumbe ni watu wa propaganda tu kumbe hamna lolote, wanabaki kurusha makombora hovyo kubomoa majengo na kuua tu raia wasio na hatia. Hopeless kabisa.
Miji muhimu yote ya Ukraine ipo pembezoni mwa hilo Taifa.

Kiev
Mariupol
Odessa
Maliutopol

Kumbuka mji muhimu baada ya kiev ulikuwa ni Donetsk ambao upo mikononi mwa pro Russia.

Haya mkuu niambie kati kati ya Ukraine Kuna nini Cha maana zaidi ya vijiji.

Mchekeshaji Zelensky jana alisema huku akilia lia kwamba Warusi wanapanga kuishambulia Odessa ambayo imepakana na Transtiria kama sijakosea.

Transtiria ni Jimbo lililo jitenga kutoka Urusi na Lina pro Russia.

Ila inauma sana mchekeshaji Zelensky kuharibu nchi, uchumi na roho za watu ili tu kujiunga NATO.
 
Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain

Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine

Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
Na wawatie kibindoni hivyo hivyo,ni upuuzi wa Hali ya Juu na hayo ndio madhala ya kuweka watu wasio na uwezo wa akili..

Ndio maana nawakubali Wakenya wako clear na Wana side na Nchi zenye uwezo sio maskini.

Sasa Tzn inajua kule kuna serikali na iko active unaenda kuwasiliana na wavamizi Ili wakusaidie nini?
 
Putin inatakiwa ampeleke mtoto wake kwenye hivi vita, aache kuswaga watoto wa wengine kuwapeleka kwenye hivi vita vya kipumbavu alivyoviasisi ona sasa watoto wa watu wanavyouwawa kinyama. Hovyo kabisa huyu dikteta.
Ulifikiri vita ni maji.
Kwamba mtapigana bila kufa.
Kaulize Wamarekani pekee walikufa wangapi Afghanistan.

Nenda kawaulize NATO askari wao walikufa wangapi.

Nenda kawaulize Wafaransa, Wamarekani walikufa wangapi Vietnam
 
Back
Top Bottom