LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Duuh we jamaa ado hujaaamka usingizin emu stuka basi acha kuwa kama umenyweshwa methadon
Mi nimekuletea ramani ya kwenye uwanja wa vita kama inatofauti na ya kwako niambie
IMG_20220307_184327.jpg
 
Hao guerrillas watatoka wapi wakati karibu wote watakufa na kuzikwa kwenye mahandiki waliochimba wenyewe?? Russia imepanga hivi Vita au 'special operation' kwa karibu miaka 20...Halafu Russia haitaikalia hiyo west Ukraine...Russia itakuwepo huko Eastern Ukraine ambako wanaishi warusi na ambao ni asilimia 40 ya watu wa ukraine
Akili ndogo sana wewe. Hakuna unachojua ngoja tu nikuache kwa sababu unaongea kishabiki tu.
 
"Raise your words not your voice. It is rain that grows flowers not thunder."

Unaonekana haufuatilii wala kutizama taarifa za habari!

Putin kwenye hotuba yake aliyolihutubia Taifa lake na dunia kwa ujumla alisema kitakachofanyika Ukraine ni ".......special military operation"

Akasema "....it is not our plan to occupy the Ukrainian territory"

Kuliweka wazi zaidi lengo akasema "...to this end, we will seek to demilitarise and denazify Ukraine"

Hivyo brother, wewe unaandika na kujenga hoja kwa mizuka ya fikra yako na wala si kwa uhalisia wa kilichowekwa. Na huu ni mojawapo ya uraibu wa kutotaka kujishughulisha.

Kabla ya kunikosoa au kunijia na hoja jishughulishe kwanza. Mbali na hilo samahani kama lugha iliyotumika ni kali.
Apa hamna ligha kali yoyotw iliyotumika alafu apa sijaona hoja yoyote ile ya kujibu hoja zangu so labda urudie kuandika upya may be unaweza may unawez ukaja na point yenye mashiko

swali la msingi katika iyo vita yako uliyoianzisha ni kipi cha maana umeachieve mpaka sasa acha porojo bhana

Lete majibu ya ilo swali braza!! Nb (kama unayo lakini) sitaki hizi hoja zako za kitoto
 
Zaidi ya special operation in Ukrain kutaka kuiondolea uwezo wa kijeshi na unazi mambo leo. ankai jua wamefika hapa pia

View attachment 2142350
Mbona ni.pale pale tu tangia vita imeanza apo si ndo mlianzia siku ya mwanzo kabisa ya vita mbona sijaona advancing yoyote ya maana asee muda wote mko pale pale ni kaM vile mkwam kwenye matope
 
Putin spoke by phone with President of the European Council Charles Michel. We talked about Ukraine:

- The humanitarian aspects of the situation in the country were discussed in detail.

- The President of Russia outlined Moscow's position in connection with the conduct of a special operation to protect the republics of Donbass.

- According to Putin, the main threat in Ukraine comes from nationalists who use terrorist tactics and hide behind the population.

Putin called on the EU to make a real contribution to saving people and to put pressure on Kyiv to make it respect humanitarian law.

View attachment 2142185
Yeye aache ujinga, vita ameanzisha mwenyewe halafu anakuja kuongea tena mambo ya kipumbavu. Hovyo sana huyu jamaa.
 
hawa watu hawabackup hoja zao na facts ht kidogo, ukraine ni nchi yny historia yake ht crimea pia ina historia yake si mali ya ukraine wala urusi, watu wanasikiliza uongo wa putin wanabeba km ulivyo, kitu ambacho ni kweli ni kuwa hii ukraine ya sasa iliundwa kwa kuongezewa baadhi ya maeneo kutoka urusi,poland na romania, lkn ukraine ni nchi iliokuwepo tangu enzi na enzi,
Ikitawaliwa na familia ya kifalme ya Lithuania.
 
Mbona ni.pale pale tu tangia vita imeanza apo si ndo mlianzia siku ya mwanzo kabisa ya vita mbona sijaona advancing yoyote ya maana asee muda wote mko pale pale ni kaM vile mkwam kwenye matope
Tunakusanya ushahidi wa nini NATO walikuwa wanataka kufanya Urusi kwa kuanzisha bioweapons labs na hapo ndio tutapata justification ya kufuta kizazi za wanazi kwa silaha za silaha za kibailojia. Dunia nzima inatambua uwezo wa Urusi wa kutengeneza silaha hatari za kibaolojia
 
Jamaa reasoning capacity yako ni ndogo mno ivi unajua kati ya mrusi na mukrain nani kamvamia mwenzie tuanzie apo kwanza alafu uko mbele utapata jibu lako ukishajua kuwa kati ya hawa wawili ni nani kamvamia mwenzie basi hutokaa uulize tena swali la kijinga na kipumbavu namna hii
Wewe ndo kilaza.unaleta story nyingi wakati jibu ni moja tu kuwa nani ana miliki uwo mpaka
 
Hapana mkuu hawajaondoka hata sasa hivi barozi wa Tz nchini Ujerumani alikuwa anaojiwa na Dw ana sema Ukraine imegoma kuwaachia.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain

Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine

Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
 
Weka source ya taarifa yako kama huna basi izo ni ngonjera kama nyingine ama source yenyewe ni Rt nini ndo maana u naogopa kuiweka apa mzee
Source gani unataka wewe.nimekwambia kutoka( Manaz Net) ila kama una imani nayo nimekuwekea nyingine kutoka wikipedia.au nayo wikipedia ni ya Warusi
 
Weka source ya taarifa yako kama huna basi izo ni ngonjera kama nyingine ama source yenyewe ni Rt nini ndo maana u naogopa kuiweka apa mzee
Hali ya Hewa, terrain na uzoefu wa kivita vinaikwamisha sana Russia... Ukraine wakipata ndege 100 utaona Kila siku watakuwa wanawarudisha Russia nyuma... yaani leo tu wamekomboa mji mmoja
 
Back
Top Bottom