mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Utoto raha sanaAcha propaganda twambie Russia ameachieve nini cha maana mpaka sasa katika hii vita ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa Ukrai ndo mshindi maana kaweza kuilinda kwa nguzu zote mipaka ya Ardhi vip kwa Russia mvamizi yeye kagain kipi cha maana kwenye hii vita mpaka sasa
Watoto wa wanyonge wanashughulikiwa kwenye vita isiyo na manufaa kwa Nchi yao.
Umedadavua vyemaAnalyst: Baada ya hii vita kuna NEW ORDER itaanza
1. Hungary kakaataa kupitisha majeshi ya NATO kwenye ardhi na kusema haiusikii na hii vita
2. Brazil amepingana na EU kuhusu swala la vikwazo, na kusema itaendeleza mahusiano ya kibiashara na Russia.
3. India wapo kwenye trial ya kuanzisha mfumo mpya usiotegemea Dollar na kutumia Rupee na Ruble ili kuendeleza biashara na Russia.
4. Israel wamegoma kuonesha umoja wao na Ukrain maana Russia anashikiria maslahi ya Israel kule Syria
5. China wapo kwenye ku update mfumo wa union pay uanze kutumika kote Dunia kwa yyte atakayetaka kufanya biashara na Russia
6. France anapingana na US na NATO na kusema mawazo ya NATO yanaendeshwa na US na hii inapelekea vita kuwa kubwa hivyo ikaamua kutumia njia zake za kidiplomasia kuwasiliana na Russia bila baraka za US.
7. Russia kuanzisha mfumo wake wa malipo ya oil na gas hata kma vikwazo vikiondolewa.
8.Russia na washirika wake kuanzisha mashirika na idara za kimataifa kama ilivyo umoja wa mataifa baada ya China na Russia kuilalamikia baadhi ya mashirika hayo kuwa ni baraka wa marekani na yapo kutimiza matakwa ya marekani.
9.Uturuki kugoma kufunga bahari yke na kusema hawezi kuharibu mahusiano yake na Russia
10.Russia kuongeza uzalishaji wa silaha za juu na kuuzia washirika wake ikiwa ni njia ya kuwapatia nguvu washirika wake ili watengeneze umoja wenye nguvu
Kila upande kama upi? Viko stagnant maeneo hayo hayo wiki kadhaa sasa,mchana wanadai kuteka afu usiku mapigano yanaendelea pale paleHuna akili hata ya kuvukia barabara wewe.we unaon kabisa vikosi vinasonga mbele kila upande alafu unasema vimesimama.msipende kukurupuka.vita ipo nyumbani kwako alafu unajitangaza mshindi
Hizo ni propaganda za RTRaisi wako mpendwa ame wagomea raia wa kigeni kuondoka wakiwemo watz wenzako sijui anataka kuwatoa kafala ?
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Warusi wakitoka hapo wanaenda piga nguruwe na vodkaUpande wa Urusi wapo comfortable sana naona Waziri wa ulinzi wa Ukraine hana amani anamchek mwenzake hapo na jasho linammtiririka
Anajikosha, maskini hawezi shindana na tajiri, yaani eti utumie mfumo wa India sijui Brazil and such nonsense.Hizi ni porojo za kwenye vijiwe vya kahawa, kuna mfumo wa ulipaji pesa ulioanzishwa na Russia lkn una changamoto kubwa kwamba ukijisajili kuitumia basi moja kwa moja unakuwa umejiondoa kwenye SWIFT na ndio maana hata China ameshindwa kujiunga nayo.
Sasa wewe unafikiri China akijiondoa SWIFT nani atakuwa amepoteza. Hakuna nchi hata moja duniani anayoweza kukubali kuacha kufanya biashara na nchi za magharibi ndio eti ifanye biashara na Russia ambaye hana chochote cha maana. Hivyo hizo ni porojo za vijiweni tu.
Du hii mzee umeitoa wapiHizi ni porojo za kwenye vijiwe vya kahawa, kuna mfumo wa ulipaji pesa ulioanzishwa na Russia lkn una changamoto kubwa kwamba ukijisajili kuitumia basi moja kwa moja unakuwa umejiondoa kwenye SWIFT na ndio maana hata China ameshindwa kujiunga nayo.
Sasa wewe unafikiri China akijiondoa SWIFT nani atakuwa amepoteza. Hakuna nchi hata moja duniani anayoweza kukubali kuacha kufanya biashara na nchi za magharibi ndio eti ifanye biashara na Russia ambaye hana chochote cha maana. Hivyo hizo ni porojo za vijiweni tu.
Kwani russia wameingilia wapi kuipiga ukraineDaaa wee acha hawa warusi wa samvi la chole wana vituko sana aisee yaani wanajifanya kuwa wao pekee ndo wanzipata habari za vita na wao pekee ndo wana acces ya kupata taarifa za front line wakati sisi tunazo
Nimemuuliza anitajie ni mipaka mingapi ya Ukrain iliyo chini ya majeshi ya warusi kakimbia mita mpaka sasa ivi sijamuona kuja kukilijibu swali langu
Yaani anajiokotea tu vitaarifa uchwara uko porini anakuja kuvibwaga apa akidhani wote ni mambumbu kama yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo! Yaani wamechagua tu upande wanaoushabikia kwenye vita wakajua basi upande huo unajitawala kiasi cha kufanya lolote watakalo na kupenya corridor zote wasijue hata hao russia wanastruggle[emoji23][emoji23] nimecheka sana, na hapo ni wasomi wa viwango vya juu kabisa ndo wameumiza vichwa! Angekuwa Musukuma si ndo angebeba mabasi yake full tank na kuingia kama kwake akiwaita kwa majina, njooni tuamshe.Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain
Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine
Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
[emoji102][emoji848]View attachment 2142294
Naombeni kujua Russia ina matatizo gani?Naanza kupatwa na wasiwasi sana nilikua naamini ni nchi yenye nguvu sana.Ni nn hasa kinaendelea?hii mbn aibu?
Miji muhimu yote ya Ukraine ipo pembezoni mwa hilo Taifa.Hao wavamizi wa Russia wanaambaa ambaa tu pembezoni na mpaka wao ikionyesha walivyo waoga. Hatuna sababu ya kuiogopa tena Russia.
Wamekuwa kumbe ni watu wa propaganda tu kumbe hamna lolote, wanabaki kurusha makombora hovyo kubomoa majengo na kuua tu raia wasio na hatia. Hopeless kabisa.
Na wawatie kibindoni hivyo hivyo,ni upuuzi wa Hali ya Juu na hayo ndio madhala ya kuweka watu wasio na uwezo wa akili..Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain
Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine
Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
Ulifikiri vita ni maji.Putin inatakiwa ampeleke mtoto wake kwenye hivi vita, aache kuswaga watoto wa wengine kuwapeleka kwenye hivi vita vya kipumbavu alivyoviasisi ona sasa watoto wa watu wanavyouwawa kinyama. Hovyo kabisa huyu dikteta.
Hilo sio swali ,hiyo ni mbinu ya medani.Kama ukraine wana uwakika wa kuwarudisha nyuma warusi sasa kwa nini wanavunja madaraja yao wenyewe waliyoyajenga kwa ela ndefu
Hapo utagundua eastern flank yote inatawaliwa na Russia.Mi nimekuletea ramani ya kwenye uwanja wa vita kama inatofauti na ya kwako niambieView attachment 2142377