LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
au tu eti zanzibar ikaamka siku moja asubuhi ikatuambia inaanzisha uhusiano wa kidugu na alqaeda/isis au taliban. hebu fikiria tutaamua nini kama sio kuufanya mkoa mmoja wapo wa Tanganyika republic
 
Kwa mtu yoyote akinunua shares za hayo makampuni kama investment ya muda mrefu. Nina uhakika uta gain 50% -100%.
Soma tena hii ipo baada ya miezi michache utanielewa nilichosema vizuri!
Nilitoa ushauri wa bure Jana. Leo hizo kampuni nilizozitaja Jana, leo kwenye soka la hisa London baadhi zimepanda kwa asilimia zaidi ya 40. Hii ni leo tu, Jana pia kabla ya soko kufungwa zilikuwa zimepanda kwa asilimia kadhaa.

My strategies: Huza asubuhi nunua baadae leo au siku chache zijazo!
 
au tu eti zanzibar ikaamka siku moja asubuhi ikatuambia inaanzisha uhusiano wa kidugu na alqaeda/isis au taliban. hebu fikiria tutaamua nini kama sio kuufanya mkoa mmoja wapo wa Tanganyika republic
Kwani Lini Huo mkoa wa Zanzibar umejiondoa kuwa sehemu ya mikoa ya Tanganyika?
 
We muongo, ni nchi gani Russia ameiteka na kuifanya yake? Sema ni nchi gani? Pale Ukraine kapeleka jeshi kulinda masilahi ya waliojitenga na nchi ya Ukraine. Kumbuka wale waliojitenga wana asili na historia ya urusi. Tatizo mashabiki wa USA minyoo ya safura inawatesa... ,"mdogo mdogo tutaelewana ngoja tuoneshane makali" dr shika
 
Tangu lini vikwazo vikawa vita kuu ya Dunia?
 
ni kheri Urusi iyumbe kwa uchumi kuliko aache Ukraine iwe kambi ya jeshi ya marekani
 
Breaking news:

Several explosions are heard in the Ukrainian capital Kyiv

There are reports of Russian troops advancing on Kyiv

Ukrainian officials say Russia has carried out missile attacks on the city

At least one apartment building in the capital badly damaged - reports say three people injured

Ukrainian President Zelensky addressed the nation and has appealed to Russia for a ceasefire

He says 137 Ukrainian citizens - both soldiers and civilians - died on Thursday

Zelensky spoke to UK PM Boris Johnson and pleaded with other Western allies to do more to stop Russia's assault

Russians seize control of the Chernobyl complex - site of the world's worst nuclear disaster

New sanctions on Russia, including asset freezes on banks, are imposed from Brussels to Canberra

President Vladimir Putin defends the invasion, saying there was no other way to defend Russia

BBC
 
US:, Russia inakwenda vamia Ukraine.

Zero brains:, uwongo, propaganda za US tu Urusi haina mpango wa kuivamia Ukraine.

Leo Ukraine inawaka moto.

Zero BRAINS:, chanzo ni US kasababisha Ukraine kuvamiwa.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sa100: Tunachanja , hatuchanji??
Wanachi: -walichojibu wanajua wenyewe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…