LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
In other words: Bendera fuata upepo! Tungebaki na Mrusi au Mchina tangu enzi za Nyerere, ila dhana na falsafa ya ^donor country,^ leo ingekuwa zaidi ya halisi!
Tulijifunza kitu baada ya MRUSI kuyumba....tumeamua kuichagua njia hiyo kwani DUNIA inabadilika kila uchao....mwenye nguvu leo kesho zinampungua.....

#Siempre JMT🙏
 
ni kheri Urusi iyumbe kwa uchumi kuliko aache Ukraine iwe kambi ya jeshi ya marekani
Sawa lakini hiyo inakuwa inawasaidiaje sasa hao Russia? Hili ndio tatizo la Nchi za kijamaa ,wao ustaarabu hakuna,humanity hakuna unashindwa kuelewa kwamba fate yao ni ipi ikiwa tabu ndio sehemu ya maisha yao..

Kwamba what are they fighting for?
 
Ukraine's military chief Valerii Zaluzhnyi said Friday that the country's army was successfully resisting Russian forces advancing from the north.

Zaluzhnyi said Ukrainian forces had been able to repel the breakthrough of Russian troops in the Chernihiv area north of the capital, Kyiv.
Porojo hizi,Rais wao asingekuwa analia Lia.
 
Ukraine's military chief Valerii Zaluzhnyi said Friday that the country's army was successfully resisting Russian forces advancing from the north.

Zaluzhnyi said Ukrainian forces had been able to repel the breakthrough of Russian troops in the Chernihiv area north of the capital, Kyiv.
KWa kuvunja daraja lao wenyewe?
 
Sawa lakini hiyo inakuwa inawasaidiaje sasa hao Russia? Hili ndio tatizo la Nchi za kijamaa ,wao ustaarabu hakuna,humanity hakuna unashindwa kuelewa kwamba fate yao ni ipi ikiwa tabu ndio sehemu ya maisha yao..

Kwamba what are they fighting for?
They fighting for their security kama vile America alivyotumia kuivamia Iraqi na Afghanistan
 
Kansela wa Ujeremuni Angela Merkel amesisitiza kuwa hakuna suluhisho lolote la kijeshi katika mzozo wa majini kati ya Ukraine na Urusi katika pwani ya Crimea.

Jumapili iliyopita, wanajeshi wa Urusi ilipiga risasi manuari tatu za Ukraine ambazo zilikuwa safarni kuelekea kwenye lango la bahari ya Azov, na kuwakamata wafanyakazi wa manuari hizo.

i mierkel ameilaumu Urusi kwa mzozo huo, lakini akasema kwamba unaweza kutatuliwa kupitia "majadiliano ya wazi".
Merkel amezungumza hayo akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Ukraine, Volodymyr Groysman kwenye kongamano la kibiashara lililofanyika mjini Berlin.

Unaweza tazama hapa yanayojili sasa
 
Mk
Ndugu yangu, mimi nime subscribe na kufollow account tofauti tofauti kuhusu hii vita na bahati nzuri zote za Ukraine.

Anachokifanya kwa sasa Ukraine kwa % kubwa ni ambush! Wanapofanikiwa ndiyo hizo taarifa unazoziona. Na hayo mambo ni machache na ndiyo maana taarifa za hayo matukio ni chache na nyingi zinajirudia hata ukizitafuta Internet. Ni suala la propaganda na kwenye vita ni suala zuri.

Nimebahatika kuona video za Urusi mashambulizi wanayoyafanya Ukraine na matokeo yake inasikitisha sana. Wanajeshi wa Ukraine wameungua ungua. Wengine wamepigwa risasi wamekufa. Magari yao na vifaru vyao vimelipuliwa na maiti zao zinatolewa.mkuu

Ndugu yangu, mimi nime subscribe na kufollow account tofauti tofauti kuhusu hii vita na bahati nzuri zote za Ukraine.

Anachokifanya kwa sasa Ukraine kwa % kubwa ni ambush! Wanapofanikiwa ndiyo hizo taarifa unazoziona. Na hayo mambo ni machache na ndiyo maana taarifa za hayo matukio ni chache na nyingi zinajirudia hata ukizitafuta Internet. Ni suala la propaganda na kwenye vita ni suala zuri.

Nimebahatika kuona video za Urusi mashambulizi wanayoyafanya Ukraine na matokeo yake inasikitisha sana. Wanajeshi wa Ukraine wameungua ungua. Wengine wamepigwa risasi wamekufa. Magari yao na vifaru vyao vimelipuliwa na maiti zao zinatolewa.
Mkuu naomba hiyo ya Urusi,mm na propaganda za Ukraine tu!
 
Sawa lakini hiyo inakuwa inawasaidiaje sasa hao Russia? Hili ndio tatizo la Nchi za kijamaa ,wao ustaarabu hakuna,humanity hakuna unashindwa kuelewa kwamba fate yao ni ipi ikiwa tabu ndio sehemu ya maisha yao..

Kwamba what are they fighting for?
Mkuu viongozi wa nchi za kijamaa mara nyingi hujali matumbo yao/ namna ambavyo wataendelea kutawala kwao hakuna issue za utu. Hiyo russia viongozi wao wameiba pesa wanaenda ficha london na kuwekeza western. Ujamaa na ushetani ni pua na mdomo muda wote viongozi na vyama vya kijamaa huwaza kuendelea kutawala hata watu mamilioni wakifa hawajali.
 
Take it from me, hakuna vita hapo!

Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora.

Mungu yule wa Gharika na Sodoma na Gomora ndiye yule yule ambaye tunaye sasa. Hajabadilika.

Amekuwa na subira kwa muda mrefu, sasa:"Enough is enough "
Bado unasimamia haya?
 
Chochote kinachotokea hapa duniani huwa kina chanzo. Ukiangalia chanzo cha mgogoro uliopo kati ya Urusi na Ukrane, ni mmojawapo kuwa tayari kujiunga na NATO, ambapo kwa hali ya usalama kwa Urusi, ungekuwa ni mdogo.

Ni sawa na ujenge nyumba kubwa nzuri , uoe mwanamke mrembo aliyemaliza chuo mwaka jana na ukaishi naye; baada ya mwezi mmoja , ukasikia jirani yako mnaeshea naye ukuta, anataka apangishe nyumba yake kwa mpenzi wa zamani wa mkeo aliyesoma naye chuo.

Hapo lazima, uwe mkali kwa sababu itakuwa ni hatari kwa ndoa yako. Hicho ndio chanzo cha mgogoro unaoendelea kwa sasa.
Sasa mbona mpangaji mwenyewe hajapanga nyumba hiyo kwanini uanze kumshambulia?

Ukraine hajajiunga na Nato ila alikuwa na kusudio hilo tu sasa imekuwaje Urusi iishambulie kijeshi wakati hata hajajiunga?
 
Romania yatoa Tamko,inapokea wakimbizi wote kutoka Ukraine, kama una ndugu yupo huko plz contact me
🤣🤣🤣🤣 mnataka muwatoe Figo ndugu zetu, wasiliana na monalisa , anamtoto wake huko, vipi lakini ni wakati wa kuenda kukusanya Mali huko Ukraine, wao wanakimbia nchi, fursa nje nje.
 
Mkuu viongozi wa nchi za kijamaa mara nyingi hujali matumbo yao/ namna ambavyo wataendelea kutawala kwao hakuna issue za utu. Hiyo russia viongozi wao wameiba pesa wanaenda ficha london na kuwekeza western. Ujamaa na ushetani ni pua na mdomo muda wote viongozi na vyama vya kijamaa huwaza kuendelea kutawala hata watu mamilioni wakifa hawajali.
Unawezaje kuficha pesa ULAYA??? fafanua hapa... huu ujinga mnauendekeza kila siku.
 
Back
Top Bottom