LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
BREAKING NEWS

Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.
Screenshot_20220308-194608.jpg
View attachment 2143615
 
Leo Israel imeivamia nchi huru ya palestina,
inaua wapalestina kibao kwenye nchi yao na kujiongeza mipaka kinyume na michoro halali ya umoja wa mataifa,

USA wapo kimya,
NATO wapo kimya,
EU wapo kimya,
AU wapi kimya,
Umoja wa mataifa wapo kimya,
Wewe mwnyw pia upo kimya,

You Ni kuskilizia marekani anamtetea yupi, yupi anamkandamiza.
Sijaona comment yako ya kulaani Hilo, au unadhani wale wapalestina wanaokufa kila siku kwny ardhi yao walimkosea Nini mungu.

Hebu tuache double standard,
Hii Dunia Ni yetu sote, Hakuna many hati miliki ya kuwafanya wenzie watumwa kwny ardhi ya mungu.

Karma Ni Kama msumeno bwashee[emoji4][emoji106]
Tena hao wanajiita Waisrael matapeli wakajikusanya kutoka USA& UE wakaenda kuwavamia wapalestina katika Nchi yao,watu ambao walikuwa wanaishi bila buguza yoyote.
 
BREAKING NEWS

Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.View attachment 2143616View attachment 2143615
Hahahahaha ila nyie kwa propaganda mpo vizuri 18+ 11= 29 alafu wa Ukraine wamekufa 6 tu ila wameshinda Urusi kwenye mapigano.
 
Tena hao wanajiita Waisrael matapeli wakajikusanya kutoka USA& UE wakaenda kuwavamia wapalestina katika Nchi yao,watu ambao walikuwa wanaishi bila buguza yoyote.
Upumbavu kabsa kuskia eti wanalaani wkt waisraeli hawaja walaani wanawaita eti Ni taifa takatifu.

Upumbavu wa wapi ule
 
Hili mbona liko wazi. BAADA ya kutengwa Iran kiuchumi kwa mda Mrefu Sasa ni zamu ya Russia kuonja uchungu wa vikwazo kamili. Vikwazo kwa Russia havitakuwa vichungu bila Mafuta ya Iran,Venezuela na Iraq kuingia sokoni.

Ngoja tuone Kama Iran itamsaliti Urusi ili kuondolewa vikwazo.
kwanza iran na venezuela hawataki marafiki wanafki wanaojali masilah tu,pili marekani hawezi kuruhusu kumtolea vikwazo iran ambaye ni adui mkubwa wa washirika wake israel na saudi arabia sababu kama wakilegeza mashariti kwenye mkataba wanaotarajia kwenda kuusaini unaohusiana na masuala ya nuklia ili tu wapate mafuta ya bei chee watakuwa wameisha... israel na saudi arabia itafikia mda nao watakuwa wanabweka kwa kulalama kila siku kama japan na south korea wanavyofanya kwa north korea....yeye marekani wakati anakurupuka kushinikiza kuweka vikwazo alikuwa anaona hapa tu sasa maji yamemfika shingoni anatapatapa kurudi kwa maadui zake kuomba msaada...anajidhalilisha
 
Hiyo haikuwa tarifa, It was fun, People wanaigiza that's all. Nothing personal, Nothing serious, mfano tu mdogo, Binadamu tuna matamanio na vitu vizuri, Unaweza kutamani kuwa na maisha kama flani au kuishi mahali flani. But huna choice sasa ndio upo hapo.

Vita ni Uzalendo na ndio mana watu bado wapo nchini kwao regardless hakueleweki au kumepigwa mabom. Desire zipo na nyingine utakufa na hutokuwa umezifikia au kuzifanya.

Amini Nyumbani ni nyumbani no matter what, Tunasikia na nyingine kuona watu wanabaguliwa nchi za watu, lakini ukiwa nchini kwako una amani.
NYUNDO YA MOTO huwa anadai anatoa taarifa zisizokuwa biased 😂.Mkuu hawa Pro Russia wenyewe wanaongea haya kuwapondea Mabeberu lakini wengine unakuta wanakula bata Nchi za Mabeberu au ndoto zao ni kwenda kuishi huko.Ikitokea wakapewa option ya kwenda kuishi Russia au USA sote tunajua watakimbilia kuishi USA.Twende nao hivyo hivyo hapa Jamvini lakini katika uhalisia wa maisha wote dreams zao ni kwenda kutafuta maisha au kuishi kwa Mabeberu

Swala la kuanzisha mashindano yake mwenyewe ya mpira nnje ya UEFA ni sawa na kuanzisha Ndondo Cup,hao Footbollers wa Russia wanadream na wanapenda kwenda kuchezea Clubs kubwa kubwa kwa Mabeberu leo hii uwafungie Russia na mashindano yako ya Ndondo Cup nani atakubali?

SLAVA UKRAINE.
 
Kwanini Iran akatae wakati kipindi kile amebanwa na vikwazo Urusi iliendelea kufanya biashara kama kawaida. Na Mrusi hakuonekana msaliti?
Hata mimi naona hivyo. Pia kumbuka kuwa Iran hajasahau usaliti unaofanywa na Russia kwa kutoa COORDINATE ya kambi zake Syria kwa Israel na kisha Israel kutumia COORDINATES hizo kulipua Kambi za Iran kule Syria. Kwahiyo Russia ajue kwa hili Iran hayuko naye kabisa.
 
Ukivamia nchi yenye mshikamano Basi jiandae kushindwa hata Kama utashida kwa wakati huo. Hiyo ni historia ilivyo. Ukishindwa Theory ya DIVIDE and RULE Basi umekwisha.

Urusi imeshindwa kuwashawishi Raia wa UKRAINE kwanini inavamia ndio maana hata Raia wa kawaida wako kwenye foreni ya kuchukua Siraha kupigana dhidi ya Urusi.

Putin hakutegemea resistance
Yeye alijua watawapokea wanajeshi wake kwa shangwe na nderemo
Bahati mbaya haikuwa hivyo kwa hiyo akaenda na plan B
Ndio hii ya kuvamia na kuwa vita kamili

Tunajua kuwa Ukraine ni Warusi pia na wameishi pamoja na ni ndugu mpaka kuna mawaziri Kremlin ambao ni Ukrainian
 
RUSSIA AKI SURVIVE HAYA MAPITO YEYE MWANAUME.

The main thing from Biden's statements about the new anti-Russian sanctions:

- The United States prohibits the import of energy products from Russia;

- Biden understands that allies in Europe will not be able to join this ban;

- The states should become an energy independent country. Now they are discussing with the EU the prospects for their withdrawal from Russian oil and gas;

- gasoline prices in the United States, according to Biden, will continue to grow due to anti-Russian sanctions;

- US authorities urge the private sector not to inflate prices because of this. They intend to fight speculators;

- The United States will fulfill its collective defense obligations in NATO;

“Russia seeks to keep Ukraine under control, but will never be able to achieve this.

SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom