MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
The number of registered users in the Russian video hosting Rutube has increased by 5.5 times over the past week, the press service of the company told TASSView attachment 2143443
Tena hao wanajiita Waisrael matapeli wakajikusanya kutoka USA& UE wakaenda kuwavamia wapalestina katika Nchi yao,watu ambao walikuwa wanaishi bila buguza yoyote.Leo Israel imeivamia nchi huru ya palestina,
inaua wapalestina kibao kwenye nchi yao na kujiongeza mipaka kinyume na michoro halali ya umoja wa mataifa,
USA wapo kimya,
NATO wapo kimya,
EU wapo kimya,
AU wapi kimya,
Umoja wa mataifa wapo kimya,
Wewe mwnyw pia upo kimya,
You Ni kuskilizia marekani anamtetea yupi, yupi anamkandamiza.
Sijaona comment yako ya kulaani Hilo, au unadhani wale wapalestina wanaokufa kila siku kwny ardhi yao walimkosea Nini mungu.
Hebu tuache double standard,
Hii Dunia Ni yetu sote, Hakuna many hati miliki ya kuwafanya wenzie watumwa kwny ardhi ya mungu.
Karma Ni Kama msumeno bwashee[emoji4][emoji106]
DRC inakuaje maskini?Nchi inayoongoza Dunia nzima kuwa na deposit ya Natural resources inakiwaje maskini labda wangekuwa hamna technology kama Kongo.
YoutubeBREAKING NEWS
Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.View attachment 2143616View attachment 2143615
Unajua maana ya GDP!?unafahamu kuwa GDP ya urusi ni almost nusu ya GDP ya california?
Takwimu za 2021
Russia GDP $1.77T
California GDP $3.35T
Hahahahaha ila nyie kwa propaganda mpo vizuri 18+ 11= 29 alafu wa Ukraine wamekufa 6 tu ila wameshinda Urusi kwenye mapigano.BREAKING NEWS
Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.View attachment 2143616View attachment 2143615
Upumbavu kabsa kuskia eti wanalaani wkt waisraeli hawaja walaani wanawaita eti Ni taifa takatifu.Tena hao wanajiita Waisrael matapeli wakajikusanya kutoka USA& UE wakaenda kuwavamia wapalestina katika Nchi yao,watu ambao walikuwa wanaishi bila buguza yoyote.
kwanza iran na venezuela hawataki marafiki wanafki wanaojali masilah tu,pili marekani hawezi kuruhusu kumtolea vikwazo iran ambaye ni adui mkubwa wa washirika wake israel na saudi arabia sababu kama wakilegeza mashariti kwenye mkataba wanaotarajia kwenda kuusaini unaohusiana na masuala ya nuklia ili tu wapate mafuta ya bei chee watakuwa wameisha... israel na saudi arabia itafikia mda nao watakuwa wanabweka kwa kulalama kila siku kama japan na south korea wanavyofanya kwa north korea....yeye marekani wakati anakurupuka kushinikiza kuweka vikwazo alikuwa anaona hapa tu sasa maji yamemfika shingoni anatapatapa kurudi kwa maadui zake kuomba msaada...anajidhalilishaHili mbona liko wazi. BAADA ya kutengwa Iran kiuchumi kwa mda Mrefu Sasa ni zamu ya Russia kuonja uchungu wa vikwazo kamili. Vikwazo kwa Russia havitakuwa vichungu bila Mafuta ya Iran,Venezuela na Iraq kuingia sokoni.
Ngoja tuone Kama Iran itamsaliti Urusi ili kuondolewa vikwazo.
NYUNDO YA MOTO huwa anadai anatoa taarifa zisizokuwa biased 😂.Mkuu hawa Pro Russia wenyewe wanaongea haya kuwapondea Mabeberu lakini wengine unakuta wanakula bata Nchi za Mabeberu au ndoto zao ni kwenda kuishi huko.Ikitokea wakapewa option ya kwenda kuishi Russia au USA sote tunajua watakimbilia kuishi USA.Twende nao hivyo hivyo hapa Jamvini lakini katika uhalisia wa maisha wote dreams zao ni kwenda kutafuta maisha au kuishi kwa Mabeberu
Swala la kuanzisha mashindano yake mwenyewe ya mpira nnje ya UEFA ni sawa na kuanzisha Ndondo Cup,hao Footbollers wa Russia wanadream na wanapenda kwenda kuchezea Clubs kubwa kubwa kwa Mabeberu leo hii uwafungie Russia na mashindano yako ya Ndondo Cup nani atakubali?
SLAVA UKRAINE.
Hata mimi naona hivyo. Pia kumbuka kuwa Iran hajasahau usaliti unaofanywa na Russia kwa kutoa COORDINATE ya kambi zake Syria kwa Israel na kisha Israel kutumia COORDINATES hizo kulipua Kambi za Iran kule Syria. Kwahiyo Russia ajue kwa hili Iran hayuko naye kabisa.Kwanini Iran akatae wakati kipindi kile amebanwa na vikwazo Urusi iliendelea kufanya biashara kama kawaida. Na Mrusi hakuonekana msaliti?
Wameanza vitisho,punde utaskia EU, UN na bendera fata upepo wengine nao wanatoa tamko la kulaani hivyo
Mwisho wa siku kila mtu anacheki maslahi yake.Hata mimi naona hivyo. Pia kumbuka kuwa Iran hajasahau usaliti unaofanywa na Russia kwa kutoa COORDINATE ya kambi zake Syria kwa Israel na kisha Israel kutumia COORDINATES hizo kulipua Kambi za Iran kule Syria. Kwahiyo Russia ajue kwa hili Iran hayuko naye kabisa.
Naked truthBiden said that Russia seeks to keep Ukraine under control, but will never be able to achieve this.View attachment 2143610
Ukivamia nchi yenye mshikamano Basi jiandae kushindwa hata Kama utashida kwa wakati huo. Hiyo ni historia ilivyo. Ukishindwa Theory ya DIVIDE and RULE Basi umekwisha.
Urusi imeshindwa kuwashawishi Raia wa UKRAINE kwanini inavamia ndio maana hata Raia wa kawaida wako kwenye foreni ya kuchukua Siraha kupigana dhidi ya Urusi.