LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ni dhahiri hivi vikwazo vitaiathiri sana Russia, Jana niliongea na boss wangu, a Russian colleague, kweli wamefungiwa kila kitu, can't send money via swift (MasterCard n visa card not functioning), can't send over $10,000 hata kupitia njia za wachina, hakuna ndege hata za kwenda Kazakhstan, life's just within Russia, nje ya hapo hakuna maisha na dunia nyingine. Imagine I had a project with these burgers...won't workout, at least for now!
 
Propaganda katika level nyingine hii, sasa na wewe unaamini huyu bibi analinda nchi? bunduki yenyewe kashika kama analenga paka na manati. acheni ujinga wanaopigana hata kwenye media hutawaona hawa wa kwenye media kila siku wauza sura tu wanaume wako frontline huko camera zenyewe hazifiki.
 
Kipindi iran na Venezuela wamewekewa vikwazo ,russia haligoma kuuza nin ulaya,adi ionekane wakikubal wao kuuza itakua usalit
 
unataka kusema hii habari sio ya kweli?

[emoji116]
Poland ilitoa hiyo ofa jana kwamba itazipeleka kwenye airbase ya Marekani iliyopo Ujerumani na kisha Marekani ndio izipeleke yenyewe Ukraine. Leo msemaji wa Pentagon kakataa eti it will rise serious concern for the entire NATO alliance. Sasa walitaka Poland aingie mkenge
 
 
Mbona marekani alizuia Russia kuweka military base Cuba?USA ilimwambia Russia kuwa meli zake za Kivita atazishambulia kabla hazijafika Cuba na kama itatokea vita ya 3 ya Dunia,so be it!
Alichokifanya USA ndicho anachifanya Russia!
 
kwa mabomu ya nyukria
aliyonayo urusi hakuna nchi inayopenda au itakayopenda kuishambulia urusi
hata kama dunia nzima ikijiunga NATO
alichofanya ni ubabetu
wa kumuonea mnyonge
hata hivyo jesh la urusi limepata aibu kubwa,
haliko vile weng walivokuwa wanahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…