LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mabaharia wenzangu tuliotamani kwenda Eghaibuni huu ndio muda mzuri,,, tunaweza kuanzia na Ukraine
Nendeni huko mkabaguliwe kulingana na rangi zenu za ngozi au asili ya mlikotokea.
Tena nawakumbusha hawa ni extremely far right group aka Azob batallion.
Ndio mtajua anacho pambana nacho putin
 
Kwa sasa wamekata kabisa maana pesa ya Urusi imeshuka thamani

Sent using Jamii Forums mobile app
2007 Turkish Lira ilikuwa sawa na 0.84USD... ikaporomoka kwa zaidi ya 145% mpaka 0.18USD mnamo 2018. Yani hii iko 1USD kwa 1.19TRY mpaka 1USD kwa 5.5TRY.

Ila nukta hii tunavozungumza apa 1USD sa hivi ni sawa na Turkish Lira 14.

Swali la kujiuliza je ushawah kusikia tumelinganaa na Uturuki kiuchumi? Ushajiuliza Uturuki kashuka kichumi mara hiyo idadi ya kuporomoka kwa ela yake?

Haya Bahrain Dinar ni sawa na dollar 2.65... je kama thaman ya ela ndo uchumi wa sehem usika je Bahrain anamzidi kiuchumi mmarekan kwasabab ela ake ni kubwa kuliko?

Tufanyeni analysis tuache ushabiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuongeze vitu kichwani.

Kumshabikia Urusi au Ukraine hatuongezi kitu zaidi ya chuki mioyoni mwetu.

Kiasi naona wengine wamefikia hatua ya kutukanana "Pathetic" "Mjinga huna akili" wengine wanaenda mbali zaidi kuzkashifu iman za watu baina.

Ilhali sio Putin wala Zelensky anayetambuua kama tuna'exist kwenye huu ulimwengu. [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Ngoja waje watakuambia Al jazeera ni western media,watakushauri kwa habari za uhakika utazame RT.
 
Sikirimimimasikini njoo hapa pia ufanye masahihisho ya huu uandishi,mimi muhenga napata ukakasi kidogo kusomaπŸ™‚
 
Pata Coca-Cola baridi.
 
Sasa Ukraine kwanini hawashindi hii vita? Kwanini wanomba msaada? Kwanini wanataka no fly zone? Kwanini hawarudishi nyuma majeshi ya russia? Kwanini wananchi wakimbie? Kwanini walazimishe vijana na wananchi kushika silaha? .
Akili za kuambiwa changanya na zako, mda si mrefu tutaona nani atasarenda.
 
Naamanisha program ya Kuundia Application za Android Ina Android Studio...
Android Studio....

Nikuulize swali labda nipate kujua zaidi. Who owns android? Apa naeza kujijibu kua ni Google.

Swali la pili nani aliyetengeneza mfumo wa Android ntajib sio Google bali ni team ya Andy Rubin akiwa na Rich Miner, pamoja na Nick Sears.

Swali la tatu ikawaje Google na sio Andy kama Mmiliki... Ni kua Google waliinunua hyo OS kutoka kwao so ikawa hati miliki ya Google.

Swali la nne katika hayo majina tajwa apo juu kuna ata moja la Ukraine... Happana.

Android studio n nini... Najijibu tena android studio ni the official integrated development environment for Google's Android operating system....

Haya nauliza tena Developer wa AS ni nani... Najijibu tena ni Google Developers.

Haya sasa apo Ukraine kaingiaje [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Tuacheni ushabiki jaman dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aibu nchi inajitangaza superpower kuonekana na udhaifu wa kivita kiasi hiki- hadi leo Urusi inadhibiti mji mmoja tu Ukraine.
 
Aiseee. Sasa mradi putin asije tu akapanik na nuclear zake. Akipanik wampe tu hiyo ardhi halafu wampigie makofi kwa kushinda vita. πŸ˜‚
Na imagine anavyofura kwa hasira akiona kinachoendela huko,huenda kila mara anachungulia kilipo kitufe cha Nyuklia code. Kwakweli wampe tu japo ukweli unajulikana Mtu mzima kavuliwa nguo mchana kweupe 🀣
 
Jamani kuuliza si ujinga,naomba kueleweshwa hizo Tank Ni nini?...zikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…