Siasa sio comedy. Hivi alifikiri EU watakwenda uwanja wa vita sambamba na majeshi ya Ukraine ?Kweli huyu ni Nunda. Sasa kilichobaki ampigie simu Poutine waongee.Putin ni mwehu. Aongee wayamalize kwa amani.Anazungumza Raisi wa Ukraine, Zelensky.
"Leo niliwauliza Viongozi 27 wa ulaya Kama Ukraine itakua ndani ya umoja wa NATO, Niliuliza Moja kwa moja. Kila mtu anaogopa, hawajibu Simu zangu. Na Sisi hatuogopi, Hatutaogopa chochote."
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer my calls. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
Source: Al Jazeera news
kwasababu ni NATOKwanini
Mkuu ukiangalia hiyo clip mie sijasema hayo.Kwani ukreine ilishajiunga Nato?.au unaandika kishabiki.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mathread mengi yasiyo na tijaNdugu wanajamvi habari za jioni na poleni kwa kazi nzuri mliyoifanya tangu jumatatu na hata tunahitimisha wiki yetu.
Jambo moja kubwa limenifikirisha sana kiasi cha kunileta mahali hapa kuvuna maarifa.
Namtizama zaidi Rais Vladmir Putin kama kiongozi mwenye haiba nzuri Russia, mshawishi na mchapakazi. Pia namwona kama kiongozi mwana mikakati na hodari.
Je ana interest gani kuishambulia UKRAINE?
Mambo yataenda vizuri muda siyo mrefu
kweli la sivyo huo moto uliowaka hautozimwaSiasa sio comedy. Hivi alifikiri EU watakwenda uwanja wa vita sambamba na majeshi ya Ukraine ?Kweli huyu ni Nunda. Sasa kilichobaki ampigie simu Poutine waongee.Putin ni mwehu. Aongee wayamalize kwa amani.
Shukrani mkuuKuna mambo mengi sana, na kulishafanyika jaribio km hili 2014.
Putin hataki NATO kuwa karibu na Moscow, sasa Ukraine analeta kiburi alijua USA na umoja wa Ulaya watamsaidia.
Putin kasema hataichukua hata inch moja ya Ukraine na kuitawala ingawa ilikuwa Nchi ya Mababu zake akishaliondoa Jeshi la Nchi hiyo watakaa wajadiliane hataki maadui wakae karibu no sawa na Putin akakae CUBA
hii haiwezi kuwa WWIII
NI ubabe wa Putin tu kuwa Biden na wenzake waache kidomo fuatilia kideo utapata mengine
WayahudiIslael ndio wakina nani tena Mkuu?
Halafu utakuta anajiita Mkristo ilhali amejaza chuki dhidi ya watu anaoamini siyo wa dini yake?Ni chuki zake dhidi ya Uislamu tu hamna kingine
Swali nzuri!! Hivi kwanini Tanganyika wanakomaa na Zanzibar? Wanataka nini.?Kama mnavyojua huko mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Ukraini yameshika hatamu..
Cha kujiuliza ni kipi hasa raisi wa Urusi (Vladmir Putin) anahitaji???
ni kipi kitakachofanya wasitishe mashambulizi huko Ukraine??
au ndo tuseme wanahitaji Nchi washirika hasa mataifa ya Ulaya Magharibi na America wajoin vita ili iwe WW|||?
#StopWars
Wapo vitani. [emoji23]Hivi warusi wa kinondoni Moscow mbona hawatoi tamko