Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
[emoji23][emoji23][emoji23] uzi zingine inabidi tu ucomment ili siku ukipoast na ww, wana kama mtoa mada msinyime japo like ilaaaa mmmh,,,,,,kama taifa kazi tunayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna nchi iliyo tayari kwa sasa kutumia silaha za nyuklia mkuu...Ni wakati gani yanatumika?
Achukue nchiNdugu wanajamvi habari za jioni na poleni kwa kazi nzuri mliyoifanya tangu Jumatatu na hata tunahitimisha wiki yetu.
Jambo moja kubwa limenifikirisha sana kiasi cha kunileta mahali hapa kuvuna maarifa.
Namtizama zaidi Rais Vladmir Putin kama kiongozi mwenye haiba nzuri Russia, mshawishi na mchapakazi. Pia namuona kama kiongozi mwana mikakati na hodari.
Je ana interest gani kuishambulia UKRAINE?
😂😂😂 Kibatala anasemaga wacha ibaki ivyoivyo.Hapa uliposema YOUR NEXT una maana gani maana sijaelewa.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
USA yuko wapi? Kimyaaaaa!! Anayepigana ni mwenye nchi peke yake.Bado unasimamia haya?
Hakuna nchi iliyo tayari kwa sasa kutumia silaha za nyuklia mkuu...
Silaha za nyuklia walizonazo Urusi na Marekani zanaweza kuingamiza Dunia zaidi ya mara tano......
Haujui kuwa warusi wengi ni damu ya kiisrael! Mfano mliliki wa Chelsea Abromovic!Kipindi Rumi inaipiga Israel au uyahudi na kuidondosha Waisrael wengi walikimbilia ulaya hasusani ulaya mashariki ikiwa ni pamoja na ujerumani ambako walikumbana na mauaji chini ya Aldof Hitler! Kizazi kingi kilikimbia mashariki mwa ulaya kwa sehemu kubwa Urusi! Kwa hiyo Mrusi na Mwisrael nindugu wa damu! Piaukicheki warusi ni high IQ sana kama Israel!Islael ndio wakina nani tena Mkuu?
Bora angeandika tu #UziTayari akatembea mbele kuliko kuandika pumba na kuzidi kujiaibisha.[emoji23][emoji23][emoji23] uzi zingine inabidi tu ucomment ili siku ukipoast na ww, wana kama mtoa mada msinyime japo like ilaaaa mmmh,,,,,,kama taifa kazi tunayo
🤣🤣 nivumilie tu mkuu mimi mmarekani wa kimbiji.You are next ✓ # Your next ×
Hukumbuki hata waliotumia za ww2 walishtakiwa? Na ilikuwa Ni vita?Kuliko ushindwe vita si bora utumie nuclear weapon kama unayo?
Nilishangaa sana alicho fanya mrusi syria na venezuela nikawa sijaamini lakini sasaivi rasmi najua US amepata mbabe.Marekani ameprove Hana lolote. Hii itasaidia nchi kuingia kwenye mrengo wa Russia. Maana naye Ni mbabe haingiliwi.
Sia lazima atumie nyuklia. Wana makombora mengi ya kutumia na kuichakaza Ukrain, Cha muhimu sio kuichakazi nchi, utapata nini?? kuna wanachotaka baada ya vita..ikiwa hamna mtu wa chochote baada ya kupiga nyuklia kuna fiada gani. Vita hii sio ya umwamba kama wengi wanavyodhani, ni ya kupata wanachotaka..Urusi wanataka kumtoa Kiongozi wa nchi na waweke anaewaunga mkono kwa maslahi yao.Sasa Urusi atakubali ashindwe vita ili hali ana nuclear weapon?
Iweje leo ndio majeshi ya putin yaende kulinda hayo majimbo?Kaelezea mwaka 2014
Tangu zamani Kijeshi Urusi ni mbabe kama USA ila ki uchumi ni mnyonge sana....Nilishangaa sana alicho fanya mrusi syria na venezuela nikawa sijaamini lakini sasaivi rasmi najua US amepata mbabe.