Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nae siku.akijielewa atajua nini maana ya chukiHalafu utakuta anajiita Mkristo ilhali amejaza chuki dhidi ya watu anaoamini siyo wa dini yake?
Makamasi, Makohozi, Kinyesi.Tunahitaji kuona nuclear bomb linavyolipuka. Hii hatua ni ya muhimu sana kuifikia
Hawa si rahisi kuingia vitani wao kwa wao, wanajua kile kitawatokea.nadhani Urusi na Usa wakiingia vitani wao kwa wao matumizi ya nuclear weapon lazima yahusike.
Mimi nauliza Islael ndio kitu gani?Haujui kuwa warusi wengi ni damu ya kiisrael! Mfano mliliki wa Chelsea Abromovic!Kipindi Rumi inaipiga Israel au uyahudi na kuidondosha Waisrael wengi walikimbilia ulaya hasusani ulaya mashariki ikiwa ni pamoja na ujerumani ambako walikumbana na mauaji chini ya Aldof Hitler! Kizazi kingi kilikimbia mashariki mwa ulaya kwa sehemu kubwa Urusi! Kwa hiyo Mrusi na Mwisrael nindugu wa damu! Piaukicheki warusi ni high IQ sana kama Israel!
Kuna mambo mengi sana, na kulishafanyika jaribio km hili 2014.
Putin hataki NATO kuwa karibu na Moscow, sasa Ukraine analeta kiburi alijua USA na umoja wa Ulaya watamsaidia.
Putin kasema hataichukua hata inch moja ya Ukraine na kuitawala ingawa ilikuwa Nchi ya Mababu zake akishaliondoa Jeshi la Nchi hiyo watakaa wajadiliane hataki maadui wakae karibu no sawa na Putin akakae CUBA
hii haiwezi kuwa WWIII
NI ubabe wa Putin tu kuwa Biden na wenzake waache kidomo fuatilia kideo utapata mengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]
Hizo zilikuwa nchi moja kwenye muungano wa Kisovieti..Oky nimekuelewa, kuna haja gani ya urusi kumuweka kiongozi wanaomtaka ukraine l, kwanini wasichukue nchi yote ya ukraine waunganishe na Urusi iwe nchi moja, iwe jimbo au mkoa wa urusi? Chini ya Rais Putin
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti mwabepandeUmoja wa Wamarekani wa Mwabepande na umoja wa wasiofungamana na upande wowote uko wapi?
Unaota wewe.. Israeli iitishe urusi? Akili z waisraeli zitasaidia Nn kwenye kukwepa mako bora!? [emoji23]Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.
Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Watashinda Vita ila hawataweza kuikalia kwa amani......Warusi wanazidi kusonga mbele, mji wa Buryn umeangukia kwenye mikono ya Warusi.
Sawa mtabiri.Acha tuone...Watashinda Vita ila hawataweza kuikalia kwa amani......
Yaliyoipata Marekani baada ya kuikalia Iraq mwaka 2003 yatampata Putin
Kwann asisome mdau.. jiamini wew.. putin yupo humu.. huonag jina vladmir humuPutin asome JF[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa seriousmarekani alipo jaribu kuivamia Syria kwa manowari za kivita
Urusi ilipeleka meli mbili tu! Mmarekani akakimbia
Urusi ikachukua jimbo la Crimea marekani hakufanya kitu
Noth Korea imejihami kwa Uchina na Urusi marekani hawana la kumfanya kiduku
Tangu hapo kikafahamu kuwa Marekani siyo super power tena
Ngoja awashikishe adabu (adabization of huligans and cunning boys)Ptin anawafagia CIA waliojificha ukraine