LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Haujui kuwa warusi wengi ni damu ya kiisrael! Mfano mliliki wa Chelsea Abromovic!Kipindi Rumi inaipiga Israel au uyahudi na kuidondosha Waisrael wengi walikimbilia ulaya hasusani ulaya mashariki ikiwa ni pamoja na ujerumani ambako walikumbana na mauaji chini ya Aldof Hitler! Kizazi kingi kilikimbia mashariki mwa ulaya kwa sehemu kubwa Urusi! Kwa hiyo Mrusi na Mwisrael nindugu wa damu! Piaukicheki warusi ni high IQ sana kama Israel!
Mimi nauliza Islael ndio kitu gani?
 
Kuna mambo mengi sana, na kulishafanyika jaribio km hili 2014.
Putin hataki NATO kuwa karibu na Moscow, sasa Ukraine analeta kiburi alijua USA na umoja wa Ulaya watamsaidia.
Putin kasema hataichukua hata inch moja ya Ukraine na kuitawala ingawa ilikuwa Nchi ya Mababu zake akishaliondoa Jeshi la Nchi hiyo watakaa wajadiliane hataki maadui wakae karibu no sawa na Putin akakae CUBA
hii haiwezi kuwa WWIII
NI ubabe wa Putin tu kuwa Biden na wenzake waache kidomo fuatilia kideo utapata mengine

All shi*"ts w'll be balanced by world war 111.
Dharau zimezidi sana.
 
FMbDtQ4XwAktdzb.jpeg
 
Mkiona wake zenu wanapiga story na wanaume wengine, mnakuja juu kwa kumshambulia mkeo.
Huku midume mkiiacha
Urusi karuhusu wababe wenzie waingie sasa sio nyo nyo nyo za kinafik
 
Oky nimekuelewa, kuna haja gani ya urusi kumuweka kiongozi wanaomtaka ukraine l, kwanini wasichukue nchi yote ya ukraine waunganishe na Urusi iwe nchi moja, iwe jimbo au mkoa wa urusi? Chini ya Rais Putin
Hizo zilikuwa nchi moja kwenye muungano wa Kisovieti..
Kuna makubaliano kadhaa ya ki usalama kati ya Urusi na baadhi ya nchi zilizokuwa USSR.
 
Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.

Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Unaota wewe.. Israeli iitishe urusi? Akili z waisraeli zitasaidia Nn kwenye kukwepa mako bora!? [emoji23]
 
marekani alipo jaribu kuivamia Syria kwa manowari za kivita
Urusi ilipeleka meli mbili tu! Mmarekani akakimbia

Urusi ikachukua jimbo la Crimea marekani hakufanya kitu

Noth Korea imejihami kwa Uchina na Urusi marekani hawana la kumfanya kiduku

Tangu hapo kikafahamu kuwa Marekani siyo super power tena
Kuwa serious
 
Back
Top Bottom