LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Today's Urkrainian defense reports

Verified by actual Urkrainians, in Ukraine. The source os clearly listed in the graphic, feel free to find your own sources.

These are the indicative estimates of Russia's losses as of March 10, according to the Armed Forces of Ukraine.

Any questions? Ask the source
The Kyiv Independent
 
mkuu imenifikirisha sana kuna documentary naangalia nashangaa mu ukrain kaua sana majinbo hayo ya luhans na denosk ila sijaona aliye tangaza au habar isiyokuwa ma maslah nao hawaitak.
mwisho kwa eu ndo mana sishabikii
watot wa kipaleastin na yemen na somalia wale sio watu?
na watwangane sana
 
Pamoja na kusaidiwa silaha za kuzuia makombora, wanaona haitoshi sasa waingereza wanajipenyeza kuwasaidia waukraine. Possibility ya NATO kuwa na watu wake pia ni kubwa.
 
Watu wanasema usimpige nyoka ambaye hujui kichwa chake kiko wapi.
Na unaweza ukawa na vitu vya kufanya na hujui ni
Ni namna gani ya kufanya.
Hiyo ndio imemghalimu sana mrusi. Na ukiona mtu anakazana sana kusema ukraine lazima ashindwe hii vita basi ujue haiuji vita.
Hebu piga hesabu nchi za ulaya wamegoma kuisaidia ukraine lakini wamewapa siraha pesa na makomandoo wa kujitolea bado urusi amewekewa vikwazo vya kufa mtu.
Dunia isipo muangalia vizuri putin anadamu ya hitra kwa sababu wanasema hata hitra naye alianza hivyo hivyo alikuwa na Malengo ya kuwa rais wa dunia kwa sababu alikuwa anasema hivi vya mipaka vilikuwa vinamchanganya.
 

Pumba
 
“Biden got one thing wrong: he ***ed sanctions in Russia, and now the American people will suffer.”

A resident of the United States recorded a video in Russian about a sharp jump in fuel prices in the United States after the introduction of anti-Russian sanctions.

In the video, a gallon (3.785 liters) costs $5.89, although, according to the author of the video, the price was $4.7 a day earlier.

Gasoline prices in the US have reached record levels, according to the American Automobile Association.

Biden has already managed to blame Russia for the rise in fuel prices, while Putin noted that the rise in prices is the result of exclusively miscalculations by the West, since the Russian Federation fully complies with all its obligations for the supply of energy resources.
 
The United States paid Ukrainian scientists for the development of biological weapons from $2.5 to $5 per hour.

For an eight-hour working day, employees of various biological laboratories in Ukraine received from $20 to $40, according to documents published by the Russian Defense Ministry.

According to the papers, the US military department has signed contracts with at least eight laboratories in Ukraine. The work was paid on behalf of the Defense Threat Reduction Agency (DTRA) - this is one of the divisions of the US Department of Defense.

The sheet refers to the project codenamed UP-8. As part of this project, Crimean-Congo hemorrhagic fever and hantaviruses were studied.
 
The United States does not intend to send troops to Ukraine even if non-conventional weapons are used there, the White House said
 
The pinch won't be felt by Ukrainians and Russians alone, the whole world will feel it, just that the severeness will differ. Oil prices will be high, first in the US...then the rest of the world
 
The transfer of Polish MiG-29s to Ukraine would not bring a significant change in the country's capabilities, Jen Psaki believes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…