LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Screenshot_20220311-052646.png
 
zelensky ataondoshwa je kwamba RUSSIA wataweza kuitawala UKRAINE baada ya kuivamia ama ndio itakua failled state
Russia Kwa vikwazo alivyowekewa hata weza kukaa Ukraine hata mwezi mmoja.Ameshaanza kukumbwa na ukata wa hatari.
Vinginevyo,askari wake Putin asipokuwa makini wanaweza kuanza kupora raia wa Ukraine sababu ya njaa!
Boko Haram,Alshabab design!
Ni hatari sana kuwapeleka askari vitani bila mahitaji!
 

Satellite photos show breakup of Russian convoy outside Kyiv​

Satellite photos have shown that a massive Russian convoy that had been mired outside the Ukrainian capital since last week appeared to have dispersed.

Kwa sasa msafara wa KM 64 Wa Russia umetawanyika ovyo ovyo...

Kwa Hali hii Tanzania tununue zile Drones za Uturuki
 
Hii Operation malumu Ukraine imeanika udhaifu wa NATO.
Kwanza kwa kuitii kauli ya Putin, " msiingize pua Ukraine".

Pili kwa kumzilia Zelensky, wameonesha ubinafsi. Washirika wa NATO hasa eastern Europe wasiutegemee sana NATO kiulinzi.
Russia anaweza kuivamia Poland na NATO isifanye chochote. US atakachojalia ni iwapo yeye mwenyewe atavamiwa, au UK au Canada. Wengine itategemea.
 
Kwa Uk, wengi wa mashabiki wa timu za mpira ni wale vilaza wa maisha ya kuungaunga na vikazi vya viwandani na magodown...
Starehe yao ni pombe , mpira n kubeti...
Na ndio wabaguzi(racist) kindakindaki....
Sasa mashabiki wa Chelsea wanajulikana kwa haya, sababu wengi wanatoka nje ya London, na kwahiyo wakija mjini ni pombe na ushenzi wote...
Wakicheza na Arsenal ya weusi, lazima kutakuwa na fujo za kibaguzi, pia wakicheza na Totenham ya Wayahudi, ni matusi ya kibaguzi kwa kwenda mbele....

Sasa juzi wameingia cha kike, wakati Serikali ya UK ina support Ukraine, wao wakaanza kuimba Abramovic wakati ufungizi wa mechi...

Boris akaona isiwe shida, na baada ya siku mbili tatu kuamua kuifili Chelsea, yaani ndio mwisho wa Chelsea huu......kweshneiii.......
umeongea meengi ila sidhanii kama yana maana kabla ya huu mgogo haeakuyajua haya uyasemayo
pia unawapangiaje watu chakupenda c wana demoghasia wao
VIVA ROMAN
 
Russia Kwa vikwazo alivyowekewa hata weza kukaa Ukraine hata mwezi mmoja.Ameshaanza kukumbwa na ukata wa hatari.
Vinginevyo,askari wake Putin asipokuwa makini wanaweza kuanza kupora raia wa Ukraine sababu ya njaa!
Boko Haram,Alshabab design!
Ni hatari sana kuwapeleka askari vitani bila mahitaji!
kwamba RUSSIA wananjaa
 

Satellite photos show breakup of Russian convoy outside Kyiv​

Satellite photos have shown that a massive Russian convoy that had been mired outside the Ukrainian capital since last week appeared to have dispersed.

Kwa sasa msafara wa KM 64 Wa Russia umetawanyika ovyo ovyo...

Kwa Hali hii Tanzania tununue zile Drones za Uturuki
Urusi yuko overrated, nimeamini kweli wanapokea kichapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom